Hizi drama zimetuchosha sasa. Mbona hakuna juhudi za Escrow, Epa au Lugumi bali juhudi ziko kwenye uchochezi uchwara na kesi za mitandao tuu?
Hata killaza namna gani anatambua wamechoka
Nitakayokomesha haya machaga.
Katibu alibeba meno ya tembo kwa kutumia meli zake na akakataa kwamba hakujua meli ilibeba nini.
Mike Mushi kuwa na hisa jamii media imekuwa shida?
Uprimitive unaliangamiza taifa
Hii inaonyesha wanzilishi wa Jamii forum waliona mbali, ingekuwa imefutwa tu. Naomba msaada wa kufahamishwa [Yahoo, gmail hotmail] zimesajiliwa Tanzania?Mimi ninachojua hawana ubavu wa kuifunga JAMIIFORUMS wanatimiza wajibu tu
ah wapi huyu kiazi ataishia akisema nibangue kwa ndumu tu hawezi lolote!! ataishia kupigwa kusaga lami hadi 2020 bila kitu mwache!!
Nitakayokomesha haya machaga.
Katibu alibeba meno ya tembo kwa kutumia meli zake na akakataa kwamba hakujua meli ilibeba nini.
Mike Mushi kuwa na hisa jamii media imekuwa shida?
Uprimitive unaliangamiza taifa
Na ndicho 'mtukufu' anachokitaka. hakuna kitu kibaya kama kuishi mazingira ambayo bosi mkubwa kabisa anachukia watu wanao ishi vizuri akiamini ndiyo wanaowasababishia wengine umasikini walio nao.Kwa hali ilivyo ni bora kutomiliki chochote,uishi kama shetani
wakimaliza kwa mike watakuja kwa member waanzilishi hawa watu wana shida sanaOhoooooo Mike naye tena?
Hivi ni kwamba hawakujua kama kuna kumhoji Mike kipindi chote walichokuwa na Max au baada ya kuona wamekosa ushahidi ndio wanaanza figisu?
Hii nchi bwana!
naona hilo halijui maana angejua asingeangaika na jfMimi nafikiri magu alipata urais ili aje kuwakamata wabaya wake. Lakini kwa taarifa yake asidhani anataka kuwashughulikia anaodhani ni vidagaa humu kuna mpaka mawaziri na baadhi ya watu waliomo ikulu ambao pia wanakosoa utawala wake