Mijimama kumbe nomaaa

Mijimama kumbe nomaaa

We mijimama isikie tuuuuu! Vijana nyie jipelekeni tuuuu! Kuna kijana alijifanya kauzu huyooo, kachukua jimaa la Kino huku kwenda kupiga kazi KASHANGAA MPAKA VIPIRA VIMEZAMAAAA!!!!!!!!!!! Katoka mbio bila nguo!!!! Kama mwehu! Toka tukio hilo, kakomaaaa! Mtu mwlili engine ya vitz afu unavamia Catapiller!!!!!!! LAZIMA UMEZWEEE!
Usiwatishe vijana wape mbinu mbadala kama jimama huko ndio hivyo wabadili laini majimama wanapenda sana express yourself.
 
Katika kipindi cha Mboni Talk Show cha EATV ambacho kipo hewani sasa wanajadili mijimama inayopenda vijana wadogo (Serengeti Boys). Yupo kijana anatoa ushuhuda kuwa jimama lale halikuwa na choyo yoyote katika mapenzi alikuwa anatiririka katika mwili wa jimama bila kizuizi.

Je tutumie njia zipi ili kuwaokoa vijana wetu wasinase kwenye mitego yao.


daa nina mshikaji wangu....alipedwaga na jimama maeneo ya sinza.....

jimama likamjengea nyumba na kumpa gali la kutembelea....sasa hivi jamaa yupo uingereza.....jimama limempeleka akasomeee apate at least diploma ya business administrations ili ....akirudi amsaidie katika biashara zake........

kwa kifupi.....hiizi inshu ni vigumu kuzuia maana.....vijana wengi....wanapenda kuishi maisha mazuliii
 
tukubali jimama lina utamu wake kosa lao wivu wa mapenzi hawataki uoe. tusome alama za nyakati vijana jimama ni hela tu akupe ule mzigo kisawasawa maisha hakuna tupoooooo
 
We mijimama isikie tuuuuu! Vijana nyie jipelekeni tuuuu! Kuna kijana alijifanya kauzu huyooo, kachukua jimaa la Kino huku kwenda kupiga kazi KASHANGAA MPAKA VIPIRA VIMEZAMAAAA!!!!!!!!!!! Katoka mbio bila nguo!!!! Kama mwehu! Toka tukio hilo, kakomaaaa! Mtu mwlili engine ya vitz afu unavamia Catapiller!!!!!!! LAZIMA UMEZWEEE!

Hilo ndo nalihitaji nilipe mambo hadi lirizike lenyewe, katapila kwa katapila.
 
kweli majimama wamezidi hasahasa mkoa wa Kilimanjaro mama zetu wanaaibisha kwa kutembea na watoto wao hasa wale waliofiwa na waume zao kwa ngoma tubadilike jamani.
 
kwanza kabisa vijana wanaopenda mijimama ni wale wote wasiopenda kujituma kwenye kazi kwa hiyo wanapenda kuenjoy bila kutokwa na jasho lakini sio mijimama tu ndio wanaopenda serengeti boys hata wazee nao wanapenda dogodogo hivyo ni viceverser.
 
Wale mlio upande wa age is nothing kwenye debate msiji contradict hapa...

Mimi mwanangu ntaanza kumkanya angali mdogoa kuwa si vizuri kumpenda msichana aliye juu yake ki umri....

wanaanzaga hivo hivo mara nina girlfriend kanizidi miaka mitatu; wakiachana anaamia kwa alomzidi miaka mitano...baadae wanatembea na wake za watu...kwa ufupi kupenda mwanamke alokuzidi ni kasoro kisaikolojia...ni utegemezi...unapenda kulelewa...unapenda kuwa na wa kuku care etc....mwanamme unakuwa kama binti...unategemea utapenda wa size yako? thubutu....

Ni kweli kabisa mtu mkaka anajisifia kabisa et nimetembea na mtu kanizidi miaka saba unabaki unashangaa!ni mapenz kweli au ni kitu kingine ulifata?mwanangu nitajitahid kumwelimisha kuwa ukiwa na mwanamke kakuzid umri unaonekana unamtegemea na huwez kuwa huru
 
We mijimama isikie tuuuuu! Vijana nyie jipelekeni tuuuu! Kuna kijana alijifanya kauzu huyooo, kachukua jimaa la Kino huku kwenda kupiga kazi KASHANGAA MPAKA VIPIRA VIMEZAMAAAA!!!!!!!!!!! Katoka mbio bila nguo!!!! Kama mwehu! Toka tukio hilo, kakomaaaa! Mtu mwlili engine ya vitz afu unavamia Catapiller!!!!!!! LAZIMA UMEZWEEE!

wewe yako ya nini
 
Tatizo ni ugumu wa maisha, Mara nyingi hakunaga mapenziiii....
 
We mijimama isikie tuuuuu! Vijana nyie jipelekeni tuuuu! Kuna kijana alijifanya kauzu huyooo, kachukua jimaa la Kino huku kwenda kupiga kazi KASHANGAA MPAKA VIPIRA VIMEZAMAAAA!!!!!!!!!!! Katoka mbio bila nguo!!!! Kama mwehu! Toka tukio hilo, kakomaaaa! Mtu mwlili engine ya vitz afu unavamia Catapiller!!!!!!! LAZIMA UMEZWEEE!

Hayo yenye kubwa mi ndio nayapenda sasa ili yanipwelepwete tu
 
We mijimama isikie tuuuuu! Vijana nyie jipelekeni tuuuu! Kuna kijana alijifanya kauzu huyooo, kachukua jimaa la Kino huku kwenda kupiga kazi KASHANGAA MPAKA VIPIRA VIMEZAMAAAA!!!!!!!!!!! Katoka mbio bila nguo!!!! Kama mwehu! Toka tukio hilo, kakomaaaa! Mtu mwlili engine ya vitz afu unavamia Catapiller!!!!!!! LAZIMA UMEZWEEE!
Ety vipiraa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom