Hapo duuuu,,Waluguru? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haiwezekani Dada wawe wazuri eti wanaume wawe Wabaya sura,, duu et na MoroEh,,jaman hata kaka zangu wa kule tabora ni ma HB. Ukikataa naandamana
Nazaniiii ipo kule manda. .@feittyMkuu Mwansa ndo wapi?
Ipo Tanzania hii hii ya Magu?
Wewe umenenaWanaume hawa hawa wa Dar ndio wanaona mtu anaibiwa mchana wanafunga vioo gari zao na kuanza kujamba....hawa hawa wanaomuona scorpion na kumuamkia leo eti ndio wa kwanza uhandsome...mwanaume ni ujasiri...uwezo mkubwa wa kukabili mambo mazito kama kumkabili scorpion ambae Mkoa kama Mara angepigwa na akinamama tu...ofcoz la mhimu pia pesa baaaasi sura kauzie huko nollywood
hahahahahaaha umenisaidia kuulizaMwansa n wap jmn anaepajua uko mm nko dilemma
Mkoa wa wanaume tu ndo utawapata.Ikiwa unamaanisha wale wanaopaka lotion,kuoshwa miguu,kujicream naweza kukubaliana na wewe1, Dar-es-salaam
2, Arusha
3, Mwansa
4,Mbeya
5, Moro
Hii Mwansa iko nchi gani?1, Dar-es-salaam
2, Arusha
3, Mwansa
4,Mbeya
5, Moro
Inaonekana uko kuna wanaume wazur balaa ndo nataka pajua n waphahahahahaaha umenisaidia kuuliza
Mkoa wa wanaume tu ndo utawapata.Ikiwa unamaanisha wale wanaopaka lotion,kuoshwa miguu,kujicream naweza kukubaliana na wewe