Miji yenye wanaume wenye mvuto (handsome)

Miji yenye wanaume wenye mvuto (handsome)

Acheni wivu vijana wa mikoani..hao wachafu sio wazaramo, ni hao hao vijana wenzenu wanaotoka mikoani kuja kutafuta maisha mjini ,asili ya wenyeji wa Dar/Pwani ni usafi, kujipenda,wanaokwenda na wakati(fashion) na kiasili ni Ma- HB (wanaume) ma-beauty(kwa wanawake)ndio maana hata vi-house girl vikitoka huko kwenu mikoani baada ya wiki kadhaa vina-adopt tabia ya usafi wa Dar na vikirudi kijijini vinang'arisha na vinakuwa vinatakata.
😛😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom