Miji yenye wanaume wenye mvuto (handsome)

Miji yenye wanaume wenye mvuto (handsome)

Wanaume hawa hawa wa Dar ndio wanaona mtu anaibiwa mchana wanafunga vioo gari zao na kuanza kujamba....hawa hawa wanaomuona scorpion na kumuamkia leo eti ndio wa kwanza uhandsome...mwanaume ni ujasiri...uwezo mkubwa wa kukabili mambo mazito kama kumkabili scorpion ambae Mkoa kama Mara angepigwa na akinamama tu...ofcoz la mhimu pia pesa baaaasi sura kauzie huko nollywood
hahahahahahhahahahahah we jamaa funga kaziii...Aisee nimecheka mno!!!!
 
Majiji sio ndio kila kitu ulitaka nitaje vijiji wakati hukokuna wakulima tangu lini mkulima wakijijini akawa smart
ulisoma ukaish
Majiji sio ndio kila kitu ulitaka nitaje vijiji wakati hukokuna wakulima tangu lini mkulima wakijijini akawa smart
ia la ngapi? by th way TZ ina majiji na miji mfano jiji la arusha mji washinyanga upo apo? tofautisha mji na jiji.
 
1, Dar-es-salaam
2, Arusha
3, Mwansa
4,Mbeya
5, Moro
Hivi hiyo namba 3 hiii hii mwanza ya wasukuma wazee wa mabugando au kuna nyingi mpya ambayo mimi siijui????

kama ni hii ya mabugando basi acha uchochezi aisee!!!

mahandsome nenda singida, tanga, arusha, manyara na baadhi ya wilaya za dodoma hasa kondoa!
wagogo NO.

Hii mikoa mingine inayobaki watu wake hawaeleki kwa ujumla!
 
Wanaume hawa hawa wa Dar ndio wanaona mtu anaibiwa mchana wanafunga vioo gari zao na kuanza kujamba....hawa hawa wanaomuona scorpion na kumuamkia leo eti ndio wa kwanza uhandsome...mwanaume ni ujasiri...uwezo mkubwa wa kukabili mambo mazito kama kumkabili scorpion ambae Mkoa kama Mara angepigwa na akinamama tu...ofcoz la mhimu pia pesa baaaasi sura kauzie huko nollywood
scorpion nae ni mwanaume wa Dar
 
Wenyeji mbona walishahama kitambo
Jipendekeze kisha jipe moyo,Dar ina wenyeji wake.
Kumbe unasifia wanaume wenzako alafu unashindwa kujitambua.Watu wa mikoani mna shida inawezekana katika mikoa uliyotaja mmojawapo ndio unapotoka.
 
basi sio

ni haja ya kutaja mji maana kuna wazaramo wachafu hawana ata uhandsom ila wakisikia ha jiji limetajwa wanavimba vichwa.
Acheni wivu vijana wa mikoani..hao wachafu sio wazaramo, ni hao hao vijana wenzenu wanaotoka mikoani kuja kutafuta maisha mjini ,asili ya wenyeji wa Dar/Pwani ni usafi, kujipenda,wanaokwenda na wakati(fashion) na kiasili ni Ma- HB (wanaume) ma-beauty(kwa wanawake)ndio maana hata vi-house girl vikitoka huko kwenu mikoani baada ya wiki kadhaa vina-adopt tabia ya usafi wa Dar na vikirudi kijijini vinang'arisha na vinakuwa vinatakata.
 
Acha upendeleo wewe, weka kigoma namba moja hapo alaaaaah!
 
Acheni wivu vijana wa mikoani..hao wachafu sio wazaramo, ni hao hao vijana wenzenu wanaotoka mikoani kuja kutafuta maisha mjini ,asili ya wenyeji wa Dar/Pwani ni usafi, kujipenda,wanaokwenda na wakati(fashion) na kiasili ni Ma- HB (wanaume) ma-beauty(kwa wanawake)ndio maana hata vi-house girl vikitoka huko kwenu mikoani baada ya wiki kadhaa vina-adopt tabia ya usafi wa Dar na vikirudi kijijini vinang'arisha na vinakuwa vinatakata.
Well said mkuu. Afu si unajua mti wenye matunda ndiy upigwa mawe. Wa mikoani wanaopiga kelele kuhusu dar ni wale ambao hawana access ya Kuja kuishi dar japo wanatamani na kuishia kuona Jiji kwenye bongo muv.
 
Shit!!!! emancipate yourself from that mental slavery!!!..and who told you those shit lies???
..i can see so many people are poor-minded and now i do believe that thoughts define a brain of a person!!!...for sure you have a poor brain
 
Mwansa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mbeya na mwanza [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] utafiti wako ni zaidi ya TWAWEZA
 
Kigoma ndio inaongoza.
Luhanyula
Alikiba
Abdukiba
Diamond
Dipoz kwa pozi
Mnazareti
.
.
.
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom