Hao ni ma HB kwa level ya Tabora ila kwa nchi nzima hawajulikani kabisaEh,,jaman hata kaka zangu wa kule tabora ni ma HB. Ukikataa naandamana
Hao ni ma HB kwa level ya Tabora ila kwa nchi nzima hawajulikani kabisaEh,,jaman hata kaka zangu wa kule tabora ni ma HB. Ukikataa naandamana
Mbeya itoe hapo.1, Dar-es-salaam
2, Arusha
3, Mwansa
4,Mbeya
5, Moro
Huo mkoa namba 3 upo nchi gani?1, Dar-es-salaam
2, Arusha
3, Mwansa
4,Mbeya
5, Moro
Wazuri kiyasi chao lakini bado hujajua kuchagua ebu Zunguka Tanzania ujione wanaume wazuri...1, Dar-es-salaam
2, Arusha
3, Mwansa
4,Mbeya
5, Moro
Acheni wivu vijana wa mikoani..hao wachafu sio wazaramo, ni hao hao vijana wenzenu wanaotoka mikoani kuja kutafuta maisha mjini ,asili ya wenyeji wa Dar/Pwani ni usafi, kujipenda,wanaokwenda na wakati(fashion) na kiasili ni Ma- HB (wanaume) ma-beauty(kwa wanawake)ndio maana hata vi-house girl vikitoka huko kwenu mikoani baada ya wiki kadhaa vina-adopt tabia ya usafi wa Dar na vikirudi kijijini vinang'arisha na vinakuwa vinatakata.[/QU
Kaka nimecheka sana. Mbavu zinaniuma. Sikuwahi kujua kama kuna wanaume wazuri wa sura. Ndo najua sasa kwa nini wanaume mashoga wengi wako Dar. Halafu mwanaume anaandika uzuri wa wanaume wenzake, hii nayo kiboko. Shikamoo wanaume wa DarNdiyo maana mdogo mdogo wangu alimkataa mwanaume wa dar akaolewa na mwanamme wa Mara kumbe aliona mbali maana mwanamme rijali hashindanii uzuri na kujipaka poda bali KAZI.
yaani Dar ni Babeli ndogo, kuna best yangu alisomea Dar form 5 & 6 tulipokutana chuoni, nilimshangaa sana maana alikuwa na mambo kama hayahaya ya kwenye hii posti.Kaka nimecheka sana. Mbavu zinaniuma. Sikuwahi kujua kama kuna wanaume wazuri wa sura. Ndo najua sasa kwa nini wanaume mashoga wengi wako Dar. Halafu mwanaume anaandika uzuri wa wanaume wenzake, hii nayo kiboko. Shikamoo wanaume wa Dar
Ndo mana mashoga hawaishiWazuri kiyasi chao lakini bado hujajua kuchagua ebu Zunguka Tanzania ujione wanaume wazuri...
Kwa mtazamo wako na dhani,kwani unathani mashoga wote wanasura nzuri eeh! zidi kuchunguza utaona na utashangaa..Ndo mana mashoga hawaishi
braza mshana na we upo uku unachangia thread ya ma hb me nilikuwa napita kimya kimyaKote huko sura ngumu kama parachichi la kishimundu[emoji2] [emoji2]
ila apo pa mbeya tu naona umekosea mana awa wanyaksyusa sijui wanyachusa, mhh!,1, Dar-es-salaam
2, Arusha
3, Mwansa
4,Mbeya
5, Moro
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]braza mshana na we upo uku unachangia thread ya ma hb me nilikuwa napita kimya kimya
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]braza mshana na we upo uku unachangia thread ya ma hb me nilikuwa napita kimya kimya
1, Dar-es-salaam
2, Arusha
3, Mwansa
4,Mbeya
5, Moro
Jamani mabandiko mengine,mmm.Mbona mnatulisha pumba?Mwansa n wap jmn anaepajua uko mm nko dilemma
Mm naulza uko mwansa n wap coz alietoa post ndo kaandika na wala sio mmJamani mabandiko mengine,mmm.Mbona mnatulisha pumba?