Miji yenye wanaume wenye mvuto (handsome)

Miji yenye wanaume wenye mvuto (handsome)

Wanaume hawa hawa wa Dar ndio wanaona mtu anaibiwa mchana wanafunga vioo gari zao na kuanza kujamba....hawa hawa wanaomuona scorpion na kumuamkia leo eti ndio wa kwanza uhandsome...mwanaume ni ujasiri...uwezo mkubwa wa kukabili mambo mazito kama kumkabili scorpion ambae Mkoa kama Mara angepigwa na akinamama tu...ofcoz la mhimu pia pesa baaaasi sura kauzie huko nollywood
duuuh... umenfanya nicheke barabaran kama kichaaa[emoji23] [emoji23]
 
Bado hamjamaliza haya mashindano ya Umiss? Mamiss wa wapi wanaongoza mpaka sasa?
 
Wanaume wa dar ma HB lakin ni hovyo,waliniudhi kumuacha mwenzao anatobolewa macho wao wanatizama tu
 
Duuuh maolokai wa arusha tumetupwa namba mbili, anyway handsome wanapatikana popote TZ, mtwara,simiyu,katavi,songwe na sehemu mbalimbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom