Acha kumpotosha wengi wenu mnamaisha magum sana ,nimehudhuria sana seminar zenu and I was doing a research ,hii mambo ya kulipa laki tano ili uchukue biashara zenu then uanze kutrade ni taabu kidogo ,ni ngum pia kumshawishi MTU atoe laki tano ili uendelee kufaidika kutoka kwake, hii chain yenu si nzuri na ni ulaghai tuu ,hivi unadhani one million per month ni mchezo? Yani usemavyo one million kwa mwezi ni kama elfu moja bro. Hamna jipya hapo kijana atapoteza tuu pesa yake bora ajiajili tuu ila sio kuwekeza globalNakushauri ufanye biashara ya mtandao(Multilevel markerting/network marketing) kwa hiyo hela ulio Nayo inatosha kabisa. Kuanza biashara
Karibuni sana kwenye kampuni yetu ya Alliance in motion global ambayo kiingilio kwa akaunti moja ni 560000 . baada ya miezi michache utakuwa na uwezo wa kuingiza zaidi ya milioni kwa wiki
Kwa Maelezo zaidi tuwasiliane kwa whatsapp namba 0757409103
Nitakupa detail pia Maelezo kuhusu mahali semina zinapofanyikia. Zinazohusiana mfumo wa ulipaji katika kampuni