Ghanapha
New Member
- Feb 18, 2018
- 3
- 1
Uko wapiNaomba unipe tenda ya kukuletea maharage kilo moja inauzwa 1300,maharage aina yoyote upendayo,,usafiri juu yangu
Uko wapiNaomba unipe tenda ya kukuletea maharage kilo moja inauzwa 1300,maharage aina yoyote upendayo,,usafiri juu yangu
Naomba mawasiliano yako tafadhali au nitafute kupitia namba 0653873338, 0755501433Naomba unipe tenda ya kukuletea maharage kilo moja inauzwa 1300,maharage aina yoyote upendayo,,usafiri juu yangu
Mkuu hebu fungukaaa hapa fursa za zambiaNitakuunganisha na mtu kule uendelee mwenyewe
Yani kama mimi mkuuKama kichwa cha habari kinavyojieleza nimeshajaribu kufanya biashara tofauti tofauti,nilikuwa na mtaji mkubwa sasa naona unazidi kuporomoka na sijawahi acha kulipa kodi, kwa sasa naona nimebakiwa na hako ka m1 pekee akili inataka kuniruka nifanye biashara gani ili niweze kuhudumia familia?
Muanzisha uzi nadhani hayupo serious tangu jana hajajibu swali.Upo wapi?
Akija anakuja na Uzi wingineMuanzisha uzi nadhani hayupo serious tangu jana hajajibu swali.
upo mkoa ganiJamani Wakuu mi nikijana wa miaka 24 Nipo njia panda nimewaza sana bila Majibu nahisi kukata tamaa kwa malengo yangu niliyo jiwekea Ila bado na matumaini na leo matumaini yangu yataongezeka kwa msaada wenu nina mtaji wa 400,000-700,000 Tafadharini mnielekeze NIFANYE BIASHARA GANI kwa mtaji huo apo.
Anza na kuuza nguo za watoto haswa msimu huu wa sikukuu zitakupa faida sanaNina laki 6 na ninataka kuanzisha bishara ila bado sijajua biashara nzuri ya kuanzisha
Jamaa jiusishe na biashara za uuzaji Wa vifaa vya electronic like laptops na simu utafurai mwenyewe iyo pesa inatosha sana mengine jiongezeJamani Wakuu mi nikijana wa miaka 24 Nipo njia panda nimewaza sana bila Majibu nahisi kukata tamaa kwa malengo yangu niliyo jiwekea Ila bado na matumaini na leo matumaini yangu yataongezeka kwa msaada wenu nina mtaji wa 400,000-700,000 Tafadharini mnielekeze NIFANYE BIASHARA GANI kwa mtaji huo apo.
Hongera yako tajiri.Ila hiyo biashara sijui ina nini maana wengi wenu Huwa wanachoka balaaaMkuu Mimi Niko huko Niko huko
Nafurahia sana kuwa huko maana nimeishaanza kupata faida. Nilifanya kazi ya kuleta watu wawili tu lakini sasa nina timu kubwa iliyotokana na hao watu.
Biashara yangu inazidi kukua kuja kufika mwezi wa nane nategemea nitakuwa na timu ya watu 2000 wote hao watakuwa wananifanyia kazi.
Milioni 7 Kwa siku naona kama ni uongo kama wapo Basi ni 1/100Huwezi ukakosa watu hata kama huna uwezo wa kushawishi watu kampuni ina.mfumo wa wajuu kumwekea mtu, wa chini yako kwa hiyo hata kama huna uwezo wa kushawishi watu sio rahisi kukosa watu
Hudhuria semina ujionee watu wanaoingiza 7mil / siku