Bado naamini adui mkubwa wa Waislamu wengi ni uhaba wa elimu, umbumbu utokanao na uduni wa mazingira na falsafa ya dini yenyewe....kiukweli, Uislamu umejengwa kwenye mazingira yakutishana sana, na ni dini pekee duniani ambayo Mungu wao hupiganiwa na wako tayari kukuua kwasababu Allah ametukanwa, ila wao ni mabigwa wakukashifu na kutukana Imani za wenzao....rejea sakatta la Suleiman Rushiidie na AYA ZA SHETANI, rejea mchora katuni wa Dernmak ...hapa ni udhihirisho jadidi wa namna dini hii ilivyochipuka katika sura ya magomvi na mitizamo hafif kua Allah hawezi kujipigania.
Kama ni kweli kua mnamualikaga Mtikila kwenye mijadala ya Kidini Diamond, hivyo ndio ilipaswa kua, kuliko kupigia watu kelele hadi usiku wa saa7 huku ukitusi Imani za wengine ambapo nyinyi wenyewe si wavumilivu pale imani zenu zinapoguswa...rejea mikutano ya kina Moses Simbaulanga kule Korogwe ,mbapo masheh na waumini WAliwafanyia vurugu waumini wa Kikristo waliokua wakitoa ufafanuzi kwanini Muhamad SWA si mtume wa MUNGU na wala Allah kama anavyolejewa kwenye msahafu wa Kiislamu si Mungu w kweli mwenye NGUVU na uwezo, MUNGU hapiganiwi.
Mnayowafanyia wenzenu nyinyi mnaweza kuvumilia pindi dini zenu zikitukanwa ?