Mihadhara ya namna hii ni sahihi...?

Status
Not open for further replies.
Huyo allah kiumbe wenu ndie aliye watuma kutukana watu? Kwanini hivi?

Ndugu SCHMIDT naona ukweli unauma,

Allah = Mwenyezi Mungu kwa Kiswahili.

Hilo ni jina la Mwenyezi Mungu kwa lugha ya kiarabu.
 
Tumain..... NINACHOJARIBU KUJENGA NI KUA MIHADHARA , ILA HII YA TANDIKA, tEMEKE , MBAGALA HUKO , INAKERO SANA, KWANINI ISIFANYIKIE MAENEO YA NDANI KAMA dIAMOND. SASA KUNILAZIMISHA NISILALE KISA SHEHE PONDA ANANIAMBIA YESU SI MUNGU , THAT NOT FAIR, NA NDIO MAANA KINA PONDA WANAENDA MAENEO DUNI WAKIDHANI WATAPATA WAJINGA.
PIA UKINIAMBIA YESU SI MUNGU , UWE TAYARI KUAMBIWA ALLAH WA AWQURAN NI JINI, AMA MUHAMAD SAW SI MTUME ILA ALIKUA MMBANGAIZAJI, MSIPROVOKE, MAANA MIMI NIKIWA DAR NILIKULIA MAENEO YENYE VURUGU HIZO....Mihadhara hadi saa 5
aah,
Kumbe tatizo location na time?..nafikiri hilo niko pamoja na wewe.lakini mimi najua zinazofanyika kwenye kumbi kama diamond jubilee

kukataza watu wasi-debate..hiyo mkuu hatuko pamoja...

ukiweza ku-proof argument zako hizo either kwenye biblia au quran hakuna ugomvi..lakini kama unasema ili utukane watu na dini zao hapo huwezi kuachwa hivi hivi.
 
aah,
Kumbe tatizo location na time?..nafikiri hilo niko pamoja na wewe.lakini mimi najua zinazofanyika kwenye kumbi kama diamond jubilee

kukataza watu wasi-debate..hiyo mkuu hatuko pamoja...

ukiweza ku-proof argument zako hizo either kwenye biblia au quran hakuna ugomvi..lakini kama unasema ili utukane watu na dini zao hapo huwezi kuachwa hivi hivi.
Kwa mtu yoyote, awe Mwislamu ama Mkristo au hata MPAGANI anapenda kuheshimiwa na kulindwa Utu wake.
Mijadala hiyo inayoendeshwaa na kina Ponda mara nyingi imekua ni kero sana, kwanza inaanza saa moja Usiku na kuisha saa5 au 6 baada ya hatua ya mwisho yakuwachangisha wasikilizaji swadaka. Muda ambao mtu yoyote makini anahitaji kupumzika sasa ndipo pale kwa kutumia LOUD SPEAKERs utasikia wakiungurumisha kejeli zao kwa upande wa dini nyingine.
Nijuacho mimi hakuna ambae anahaki zaidi ya kumjadili YESU WA NAZARETH. lakini imekua kinyume pale Wakristo wakimjadili hadharani Mohammad SAW, kwa namna yoyote huyu ndio mtume pekee anaepiganiwa na wafuasi wake duniani, maana yeye hawezi kujipigania.
sasa upelekapo mashambulizi ya kejeli kwa dini ya mwenzio ukirudishiwa uwe mpole.
Nimetoa mfano mdogo wa kile kilichojili Korogwe, ambapo kina shehe Ponda na wadau wake wengine walikwenda kumwaga sumu ya Imani, kwa mbwembwe na Kejeli dhidi ya Ukristo, hakika Waumini wa kanisa la Mungu hawakuleta shida, baada ya wiki nao wakaomba Biblia ni jibu wakafundishe maada mbili, Je Allah wa Qurani ni Mungu alie hai na mada ya pili ilikua inasema je Uislamu ni njia sahihi ya kukufikisha mbinguni.mada hizo zilikua ziwasilishwe kwa siku tano. siku yakwanza ikaungurumishwa pale viwanja karibu na chuo cha Ualimu, siku ya pili jamaa/Waislamu wakaenda kwa mkuu wa Wilaya kuomba Msaada wakuwafutia vibali vya kuhubiri kina Simbaulanga na wenzie, siku iliofuata ikatangazwa Fatwa dhidi ya wanaoishambulia dini ya MNYEZI MUNGU.
Sasa tuna double standard haya mambo, kipimo upimiacho wenzio be ready kupimiwa nacho, otherwise jiuzulu na endelea kuheshimu dini za wenzako ilihali kua hulazimishwi kuingia kanisani , kama ilivyo kua sitarajii kuingia msikitini.
 
Ndugu SCHMIDT naona ukweli unauma,

Allah = Mwenyezi Mungu kwa Kiswahili.

Hilo ni jina la Mwenyezi Mungu kwa lugha ya kiarabu.

neno Allah lina maana ya Mungu kwa kiswahili ni sawa na GOD kwa kingereza, ila dhana nzima ya Mungu inategemea na falsafa ya dini husika, kwangu mimi Mungu anaeabudiwa na Wakristo ni tofauti na Mungu anaeabudiwa na Waislamu, lazima kundi moja liko sahihi na lingine ni motoni tu.
Dini hizi hazichagamani, ni sawa na maji na mafuta.hakuna compromise, ni sawa na magharibi na mashariki, ni uongo kutaka kusema Mungu wa Msahafu ni Mungu wa Ibrahim na Issaka wa Biblia.
 
siku hizi dini imebakia kuwa imani ya mtu maana ukiwasikiliza watu unaweza kuchanganyikiwa ...hakuna wanachokifanya ...
 
Uhuru wa kikatiba wa kujieleza na kueneza imani yao na kila mtu ana haki ya kufanya hivyo hata ww kama una imani yako unaweza kufanya hivyo hivyo hakuna atakae kubugudhi.
Sasa unamaanisha nn? Kuingilia mambo ya dini nyengine ndy jinsi ya kuneneza imani yao?
 
Mapepo gani yanatoka ndugu yangu, hebu jaribu kufikiri zaidi,

Bwana Yesu ni Mtume (Mtu) alio tumwa na Mwenyezi Mungu kuitangaza dini ya Mwenyezi Mungu. Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee, Mwenyezi Mungu Mkusudiwa, Hakuzaa wala hakuzaliwa.... na hakuna kinacho fananana nae, huu ndio ukweli.

Hayo ni mawazo yako au umeyatoa wapi??? Uwe na uhakika na kile unachoandika. Kwanza elewa kuwa hao wanaofanya hiyo mihadhara ya kukashfu Dini za watu wengine wana mapepo tayari na hayo mapepo ndio yanayosema ndani yao. Mfano hapo karibu na posta mpya, kuna baba mmoja wa Kiislamu ameshika na Biblia anasoma na kukashifu Ukristo - amesimama kwenye Jua kali mchana, jasho linamtoka, macho yamemwiva.... sasa unajiuliza anataka nini hasa?? anafanya vile kwa faida gani?? anaonyesha wazi AMEPAGAWA NA MAPEPO na yakikemewa kwa JINA LA YESU YANATOKA
Biblia inasema" KWAO WANAOPOTEA, NENO LA MSALABA NI UPUUZI BALI KWETU SISI NI NGUVU YA MUNGU" HII NGUVU INAFANYA KAZI SANA SIKU HIZI ZA MWISHO NA SHETANI AMEAMUA KUTUMIA WALE WASIOJUA UKWELI KUJARIBU KUPINGANA NA HIYO NGUVU
WAKRISHO WAMEJENGWA KWENYE MWAMBA IMARA - HATA NGUVU ZA KUZIMU HAWATAWAWEZA
TUSIBABAIKE NA MIHADHARA YAO - KAZI YETU NI KUOMBA, KUSIFU NA KUHUBIRI INJILI ISIYOGHOSHIWA - TUSIPOTEZE MUDA ILI WENGI WAMJUE MUNGU - HAO WANAOHUBIRI KINYUME NA YESU MWISHO WAKE WANABADILIKA - ZIKO TESTIMONY NYINGI SANA - THAT IS THE POWER OF GOD .............. Haleluyaaaaaaaaaaa - Amen
FOR INFORMATION: MUNGU NI MOJA MWENYE NAFSI TATU - [HATUNA MIUNGU MITATU] NA NAFSI HIZI TATU NI KWENYE UTENDAJI = UUMBAJI, UKOMBOZI, NGUVU YA MUNGU - HAYA NI MAMBO YA ROHONI MTU MWENYE AKILI ILIYOTEKWA NA SHETANI NI NGUMU SANA KUELEWA NA HII INATAKA NEEMA YA MUNGU [ONLY THE GRACE OF GOD CAN OPEN OUR EYES AND EARS AND MIND TO UNDERSTAND THESE THINGS.
 
Jumamosi walikuwa Temeke Mwisho, Kazi yao kubwa ni kutafsiri Biblia, Hata hivyo inaelekea wana uelewa mdogo sana.
 
Wadau, ningependa kueleweshwa kwenye hili... Nilipita jana katika maeneo ya Y/dovya n nikakuta mhadhara unaoongozwa na waheshimiwa fulani wa dini ya Kiislam. Cha kustaajabisha, wale jamaa walikuwa hawafundishi kile ambacho nafikiri Waislam wengi wangependa kujua kuhusu dini yao n badala yake walikua wanauponda Ukristo wazi.... Eg Yesu c mwana wa Mungu(kina wahusu nn?). Nikakaa nikijua labda wangeleta topic ya kuhusu Muhamad n dini yenyewe kwa ujumla lakini wapi. N nilivyodadisi nikaambiwa wana wiki ya pili ss n mada zao ni kuhusu ukristo tu... Sasa hii inajenga au inabomoa? Je! hawaoni kwamba huko ni kupaisha dini ya wenzao ili hali kuna story kibao kuhusu uislam...

Nisaidieni, Kuna uhalali wa kuingilia mambo ya wengine?
Aksanteni.

Hayo yanatokana na elimu kuwa ndogo au uelewa mdogo wa imani au mafundisho ya dini ya mtu na kitu gani mtu anatakiwe afanye. Naamini hao wanaosema vibaya kuhusu Ukristo wakisikia Mkristo anasema vibaya kuhusu imani yao wana'react' violently.

Mfano, wao watasema "Yesu si Mungu" (ingawa hata hawajui maana inayotumiwa na Wakrito) kwa vile Qur'an yao inawafundisha hivyo. Lakini Mkristo akisema Mohamed si nabii kwa vile si mmojawapo wale wanaotambuliwa na Biblia utakisikia: "Mkristo katukwana, atasomewa fatwa."

Sidhani kama hao wanaoendesha mihadhara huwa wame'exhaust' yanayohusu imani au dini yao kiasi cha kuanza kwenda nje ya mada.

Ni Wakristo wachache tu wanaopoteza muda wao kujibizana nao kwa vile hakuna cha maana wanachokisema isipokuwa jazba na kusema vibaya kuhusu Ukristo. Kwa upande mwingine, Ukristo unazidi kusonga mbele kusaidia jamii kuondokana na ujinga, maradhi na umasikini kwa kutilia mkazo huduma za kijamii kama vile elimu na afya.

Dini ikiachiwa ienezwe na wapiga debe (watu wenye elimu ndogo na wasio na uelewa mzuri wa imani au dini yao) kwa vyovyote utasikia mambo ya ajabu sana! Kinachotakiwa ni mtu kupenda dini yake na kuheshimu dini za wengine. Vinginevyo, kutakuwa ni kulumbana tu kama wenda wazimu.

Imani inahusu kitu ambacho kimemgusa mtu na yeye mwenyewe amekikubali/kipokea katika maisha yake na kukipenda. Hivyo, kusema tu Ukristo ni hivi au vile, haisaidii kitu (ni kupoteza muda). Na pia majibu yanayotolewa kwenye hiyo mihadhara siyo majibu yanayojitosheleza.

Ndiyo maana mtu akitakujua kiini cha imani au dini fulani jibu hatalipata kwenye mihadhara, ambayo kimsingi inatawaliwa na mabishano au mitazamo tofauti ya kiimani na siyo majibu halisi ya imani au dini yenyewe.
Kiini cha imani au dini inatokana na mtu mwenyewe kufungua moyo wake, kutafiti na kujiendeleza katika imani au dini husika. Hapo ndipo mtu anaweza kung'amua (experience) tunu za imani au dini fulani na si vinginevyo.

Ni vyema wafanya mihadhara wahubiri dini zao na wawaachie wasikilizaji kuamua wao wenyewe na siyo kuwalazimisha au kutunga uongo kwa nia ya kupaka matope imani au dini ya Ukristo.
 
aah,
Kumbe tatizo location na time?..nafikiri hilo niko pamoja na wewe.lakini mimi najua zinazofanyika kwenye kumbi kama diamond jubilee

kukataza watu wasi-debate..hiyo mkuu hatuko pamoja...

ukiweza ku-proof argument zako hizo either kwenye biblia au quran hakuna ugomvi..lakini kama unasema ili utukane watu na dini zao hapo huwezi kuachwa hivi hivi.

Hakuna kitu cha imani unachoweza ku'prove' empirically. Mfano, una'proofs' zipi zinazoonyesha 'beyond all doubt' kuwa Mungu hana mwanzo au mwisho, yupo au hayupo? Na Mungu je, yukoje? Ulishamwona? Anafanana na nini? yet, waumini wote wanakubali kuwa ndivyo alivyo - hakuanza na wala hataisha!

Unavyoweza ku'prove' ni vitu unavyojua (una 'knoweldge' navyo - unavitawala. Mungu huwezi kumtawala hivyo huwezi kumjua). Mambo ya imani unayapokea baada ya kuguswa nayo hata kama huelewi yanvyoanza na yatakavyoisha. Imani ina husu 'certainty' ya kitu ambacho akili haiwezi kukieleza vizuri ingawa 'it makes sense to accept, trust or believe that way."

Mihadhara unayosema hakuna debate - bali huwa mnapenda nyie tu mushinde kwenye huo mhadhara na mkiishiwa hoja mnaanza kuwaita wengine makafir. Na ndiyo maana mkikutana na wengine wanaanza kuwaita pia magaida na kisha mhadhara wenyewe unageuka kuwa ugomvi maana mnapenda kuwaita wasiokubalina nayi makafir na wao wakiwaita maghaidi mnachukia.
 
[/SIZE][/FONT]
neno Allah lina maana ya Mungu kwa kiswahili ni sawa na GOD kwa kingereza, ila dhana nzima ya Mungu inategemea na falsafa ya dini husika, kwangu mimi Mungu anaeabudiwa na Wakristo ni tofauti na Mungu anaeabudiwa na Waislamu, lazima kundi moja liko sahihi na lingine ni motoni tu.
Dini hizi hazichagamani, ni sawa na maji na mafuta.hakuna compromise, ni sawa na magharibi na mashariki, ni uongo kutaka kusema Mungu wa Msahafu ni Mungu wa Ibrahim na Issaka wa Biblia.

Kweli, Mungu anaeabudiwa na Wakristo ni tofauti na Mungu anaeabudiwa na Waislamu kwa sababu wakristo wanamwabudu mtu (Bwana Yesu), na waislamu wana mwabudu Mwenyezi Mungu Mmoja tu (Allah).

Shukran.
 
juzi nimepita manzese wapo pale wanaendeleza mambo hayo hayo, kwa nini wasitumie muda huo kutangaza dini yao badala ya kukashifiana?

Nyoka huuma afikiapo. Wao upeo wao wa dini ndio huo walio nao kwa hiyo hawawezi kufanya tofauti! I pity them!
 
Uhuru wa kikatiba wa kujieleza na kueneza imani yao na kila mtu ana haki ya kufanya hivyo hata ww kama una imani yako unaweza kufanya hivyo hivyo hakuna atakae kubugudhi.

Huo siyo uhuru wa kikatiba; ni wenda wazimu. Uhuru wa kikatiba ni ule unaoheshimu imani za wengine. Mbona ukikshifu dini yao au mtume wao wanatishia kukutoa uhai (kukukata kichwa) kama ni uhuru wa kikatiba?
 
Ni kweli kabisa Magezi. Na hiyo niliyoweka kwenye nyekundu ndo hasa lengo lao. Si watu wa amani hawa wanatafuta kuchokozwa ili wafanye kile quran yao imewaamuru, kuchinja na kuua wasioukubali uislamu na wanaume ndo wamedanganywa kwa kufanya hivyo wanawahi wale mabikira 72 waliowekewa na "allah" wao huko aliko. Pole zao!

Ila kama hiyo ndiyo nia yao wamepiga chini. Wakristo hawana muda huo - muda wao uko kwenye maendeleo ya roho na mwili basi na siyo kulumna na Waislamu. Waache waendeleze mahubiri yao yasiyo na kichwa wala miguu (ya kukashifu Ukristo) na Wakristo waendelee kuchapa kazi na kusomesha watoto wao; halafu tuone nani atabaki kijiweni.
 
Fear mongering tu hakuna lolote. Kwa taarifa yenu wahadhiri hawa wam raise the bar sasa wanafanya hizo comprative religion debate mpaka kwenye kumbi kama diamond jubilee. Watu kama akina Mtikila na viongozi wengine wa kikristo wamekuwa wakialikwa pia.

Ninacho jaribu kusema hapa ni kuwa kama mnaamini dini yenu ni ya haki mnaogopa nini watu kuijadili?

Mmekuwa kama vifaranga vya kuku vilivyoingia kwenye shimo, watu wanataka kumsaidia kuku kuvitoa kwenye shimo, anawaparura watu.Sasa ninyi wakristo mnapotea watu wana jaribu kuwatoa kwenye upotovu mnakuwa wakali.

Jamani mnapotea kitabu chenu wenyewe kinawaambia hivyo.

Hakuna anayeogopa mjadala bali watu hawataki fujo au kashfa na ni mjadala gani upande mmoja wao hawataki kuelewa wanachotaka ni kushinda hoja tu hata kama ni dhaifu? Hii siyo mijadla ni wendawazimu tu!
 


.

Hayo ni mawazo yako au umeyatoa wapi??? Uwe na uhakika na kile unachoandika. Kwanza elewa kuwa hao wanaofanya hiyo mihadhara ya kukashfu Dini za watu wengine wana mapepo tayari na hayo mapepo ndio yanayosema ndani yao. Mfano hapo karibu na posta mpya, kuna baba mmoja wa Kiislamu ameshika na Biblia anasoma na kukashifu Ukristo - amesimama kwenye Jua kali mchana, jasho linamtoka, macho yamemwiva.... sasa unajiuliza anataka nini hasa?? anafanya vile kwa faida gani?? anaonyesha wazi AMEPAGAWA NA MAPEPO na yakikemewa kwa JINA LA YESU YANATOKA
Biblia inasema" KWAO WANAOPOTEA, NENO LA MSALABA NI UPUUZI BALI KWETU SISI NI NGUVU YA MUNGU" HII NGUVU INAFANYA KAZI SANA SIKU HIZI ZA MWISHO NA SHETANI AMEAMUA KUTUMIA WALE WASIOJUA UKWELI KUJARIBU KUPINGANA NA HIYO NGUVU
WAKRISHO WAMEJENGWA KWENYE MWAMBA IMARA - HATA NGUVU ZA KUZIMU HAWATAWAWEZA
TUSIBABAIKE NA MIHADHARA YAO - KAZI YETU NI KUOMBA, KUSIFU NA KUHUBIRI INJILI ISIYOGHOSHIWA - TUSIPOTEZE MUDA ILI WENGI WAMJUE MUNGU - HAO WANAOHUBIRI KINYUME NA YESU MWISHO WAKE WANABADILIKA - ZIKO TESTIMONY NYINGI SANA - THAT IS THE POWER OF GOD .............. Haleluyaaaaaaaaaaa - Amen
FOR INFORMATION: MUNGU NI MOJA MWENYE NAFSI TATU - [HATUNA MIUNGU MITATU] NA NAFSI HIZI TATU NI KWENYE UTENDAJI = UUMBAJI, UKOMBOZI, NGUVU YA MUNGU - HAYA NI MAMBO YA ROHONI MTU MWENYE AKILI ILIYOTEKWA NA SHETANI NI NGUMU SANA KUELEWA NA HII INATAKA NEEMA YA MUNGU [ONLY THE GRACE OF GOD CAN OPEN OUR EYES AND EARS AND MIND TO UNDERSTAND THESE THINGS.

Unanichekesha eti wengine wana mapepo tayari!!!!

Bwana Yesu ni Mtume (Mtu) alio tumwa na Mwenyezi Mungu kuitangaza dini ya Mwenyezi Mungu.

Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee, Mwenyezi Mungu Mkusudiwa, Hakuzaa wala hakuzaliwa.... na hakuna kinacho fananana nae, huu ndio ukweli
 
Allah is worth dying for...hakuna mtu anatukana dini ..kinachofanyika ni debate?

Unajua maana ya debate? kama umewahi kuhudhuria intellectual or academic presentation...waislamu na wakristo wana-argue on basis of their religions in order to find the true religion...unajua njia ya kwenda kwa muumba ni mmoja..which is??...watu wanatoa evidence wananchi wanaamua...hakuna ugomvi

acha streoype zako..za waislamu hawana elimu ..that to low for you..

Aisee, kama debate ni kama mnavyofanya basi mmekwisha! Debate ninayojua mimi ni hii: kila sehemu inatoahoja na iko tayari kusikiliza hoja za upande mwingine. Kwenye mihadara yenu. Huwa mnauliza swali na mnajibu nyinyi wenyewe. Mkiona jibu linatofautiana na hilo mnalotaka mnarusha kashfa. Hiyo ndiyo debate kwenu?
 
Mfano:

Ukitaka kwenda Kenya(nchi),unaweza ukapitia border tofauti - Namanga,Holili, e.t.c.Depending on your urgency na imani yako kuwa njia uipitayo ndiyo sahihi na salama.

You have every right to believe what you want BUT kila mtu na imani yake na siyo kukashifiana.Hapo kutakuwa na amani.Kama unataka wafuasi,uza imani yako na ujaribu kuwaeleza watu kwa nini unataka waingie kwenye imani yako NA SIYO KUANZA KUMTUKANA MWENZAKO kwa kuafuata imani yake.Tukifuata hili mbona amani itakuwepo.

Sioni sababu ya kuanza kugombana kuhusu dini kwa sababu mimi NINAAMINI MUNGU HAPENDI KWANZA KUWA NA MATABAKA KAMA YALIVYO SASA.Na ndio walisema "Mungu sio Athumani".Sasa iweje leo Mungu awe wa Wakristo tu au Waislamu tu?Kama nilivyosema hapo juu,njia ni nyingi sana,at the end of the day,siku ya hukumu ndio utajua ulikuwa upande upi.LAKINI jaribu kuwa mpelelezi na kuangalia kila upande wa shilingi.Kwa nguvu za Mungu Mwenye Enzi atakusaidia kujua ukweli.

You are the one to initiate this.

Nawasilisha.
 
Kweli, Mungu anaeabudiwa na Wakristo ni tofauti na Mungu anaeabudiwa na Waislamu kwa sababu wakristo wanamwabudu mtu (Bwana Yesu), na waislamu wana mwabudu Mwenyezi Mungu Mmoja tu (Allah).

Shukran.

Mtajitahidi wee kutapatapa lakini hamtaushinda Ukristo uliojengwa juu ya mwamba. Mnaweza kusema mnavyotaka lakini hamtamfanya mtu akose usingizi. Ila mkiguswa, hao: fatwa, chinja!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom