Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

duh? wakati tuko vyuoni tulikuwa tunahoji viwango vya ufaulu vya wasichana kulingana na uwezo wao halisi, tulionekana wabaguzi wa jinsia hayo ndo matunda yake alifaulu sana darasani lakini hawezi kuperform waliomfaulisha wana guilt consious

ni kwanini?? baada ya kutokea hiyo nafasi haukufanyika mchakato wa kumpata right person na akapewa yeye hiyo nafasi bila upendeleo??? pale Foreign Affairs kuna watu wana weledi mkubwa wa mambo ya kimataifa wameachwa, ameibuliwa huyu mama kwa sabau ya ushikaji na wakubwa wa CCM

raisi JK amekuwa akiteua watu bila kufanya vetting madhara yake ndo haya anaishia kuambulia aibu. na huyu mama
asilete mbwembwe na kutudanganya Watz. atulie tu akiugulia maumivu

CCM wasidnadhani fitna,majungu na uchawi ubabaishaji vina nafasi katika ushindani huko kwa wenzetu
 
Posted on July 11, 2012 by VoxMedia


Barely a week after the immediate former Deputy Secretary-General, Dr. Asha Rose Migiro returned to Tanzania after serving a five-year term at the helm of the world body, sources within the UN have hinted that poor performance and failure to fit “in the diverse and complicated body” were some of the reasons she was refused a contract renewal.

“The position of the Deputy Secretary-General is complicated and demanding; it requires somebody who is experienced to efficiently run the Secretariat. Her biggest challenge was not understanding the politics at the world body and creating alliances,” the source told Vox Media in a telephone conversation.

Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, the largest regional group comprising of 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected. “She wasn’t popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized.”

In Dar es Salaam, a former senior ruling party secretariat member who worked closely with her in the same team before she assumed the UN post said her appointment was influenced by her personal relationship with President Jakaya Kikwete. It is understood that President Kikwete and UN Secretary-General Ban Ki-moon cultivated a close relationship when serving as foreign ministers for their respective governments.

When it came for Ban Ki-moon to canvass for votes toward his UN bid, Tanzania’s vote was predominant; Dr. Migiro was apparently battered with Kikwete’s vote. But when Ban Ki-Moon recently decided to review his entire team in a bid to control growing criticism of his team, Dr. Migiro had to go for “poor performance and lack of experience required of staff with the top UN mandate.”


SOURCE: Why Dr. Migiro lost her UN job | Vox Media | Get Informed, Inform others

Hii ni kawaida yetu wabongo,kuanzia UDSM na wanasiasa walipo madarakani.Tunaongozwa na fikra za Gaddafi hatuwezi kuwa na akili linapokuja suala la siasa za dunia.Kwa ujumla hatubebeki, na hii ndio ilimwangusha sana Salim A. Salim.Linapokuja suala la Israel, au nchi ya Magharibi wanakuwa wepesi sana kuachana na uhasili awa jambo husika na kuanza shambulia magharibi au hata Israel.Kwa ujumla ni mamluki wa siasa za mashariki ya mashariki ya kati kuliko hata kwa Africa na watanzania.Salim alipoteza muda wake mwingi kuifanya frica inayofikiria kupitia mitizamo ya Ghaddafi kwa dunia.Sasa kama hawa ndio washauri wa huyu mama,lazima awe katk hilo genge linalotoka Africa na linatamka Afrika ila halifanyi mambo ya kwa ajili ya Africa na Dunia kwa ujumla.
 
Posted on July 11, 2012 by VoxMedia


Barely a week after the immediate former Deputy Secretary-General, Dr. Asha Rose Migiro returned to Tanzania after serving a five-year term at the helm of the world body, sources within the UN have hinted that poor performance and failure to fit “in the diverse and complicated body” were some of the reasons she was refused a contract renewal.

“The position of the Deputy Secretary-General is complicated and demanding; it requires somebody who is experienced to efficiently run the Secretariat. Her biggest challenge was not understanding the politics at the world body and creating alliances,” the source told Vox Media in a telephone conversation.

Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, the largest regional group comprising of 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected. “She wasn’t popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized.”

In Dar es Salaam, a former senior ruling party secretariat member who worked closely with her in the same team before she assumed the UN post said her appointment was influenced by her personal relationship with President Jakaya Kikwete. It is understood that President Kikwete and UN Secretary-General Ban Ki-moon cultivated a close relationship when serving as foreign ministers for their respective governments.

When it came for Ban Ki-moon to canvass for votes toward his UN bid, Tanzania’s vote was predominant; Dr. Migiro was apparently battered with Kikwete’s vote. But when Ban Ki-Moon recently decided to review his entire team in a bid to control growing criticism of his team, Dr. Migiro had to go for “poor performance and lack of experience required of staff with the top UN mandate.”


SOURCE: Why Dr. Migiro lost her UN job | Vox Media | Get Informed, Inform others

Rais wetu na ushikaji na kujifanya anaupendo na watu at the last tumefika hapa, mtu asie sikiliza ila kujisikiliza that is y Mara kadha ana anguka kama ishara Mungu kumuonya kuwa asijiamini, nakama asingeanguka angefanya madudu zaidi. Wel Mungu alie mpa urais ajuwa kwa nin alimpa, ajuwa kwanin anamfedheesha mbele ya jamii ilio mwamini, ajuwa ni kwanini siku moja atamfuta nakumfedheesha zaid kama alivyo tufedheesha watanzania.
 
Haya mambo yalishawekwa hapa JF huko nyuma. Kuna article ilitoka ikieleza sakarasi za huyu mama kusaka support kwa muhula wake wa pili. Baada ya hap kukawa na kama ka-campaign ka kusafisha mambo. Lakini Migiro alipata cheo kutokana na kazi kubwa ya udalali iliyofanywa na Tanzania kumsaidia Ban Ki-Moon kupata cheo cha ukatibu mkuu. Wakati wa kumpata katibu mkuu UN, Tanzania ilikuwa chair wa AU, lakini pia ilikuwa inashikilia kiti cha usalama kwenye UN-security Council ikiongozwa na Balozi Mahige. Ni kwa kutumia nafasi hizo Tanzania iliweza kufanya ushawishi ndani ya AU na kumuunga mkono Ban Ki-Moon.

Hata hivyo kwangu mimi huu ni mchezo mzuri kwenye siasa za kimataifa na inaleta sifa nzuri kwa Tanzania kama tunaweza kuwa na ushawishi. Shida sasa inakuja kwenye utendaji wa hao wanapata nafasi hizo. Tanzania tunaonekana kususua, kuna issue ya Getrude Mongela, Prof Tibaijuka naye aliondolewa kwenye kiti cha mambo ya Mazingiria UN na kukawa na kelele kelele. Sasa tuna hii ya Migiro. Pengine tujiangalie tena ili kubaini namna nzuri ya kujiimarisha ili hao wanaopata nafasi kwenye hivyo vyombo wanfanye vizuri.

FJM: Watanzania tukumbuke kuwa tuna utamaduni wa kutotenda kazi kwa umakini, kasi na umahiri especially in the public sector. Mara nyingi kama siyo kila wakati hakuna kipimo cha utendaji kwa wakati maalum. Longolongo nyingi huku muda ukiyoyoma. Wengi wanaofanya kazi serikalini kwa muda mrefu utendaji wao mara nyingi ni duni. Hali hii ni lazima itatugharimu pindi tu tunapopewa kazi hasa zenye madaraka ya juu katika taasisi nyingine zenye utamaduni wa kufanya kazi kwa tija kama hizi za kimataifa. Watanzania wanaofanya kazi nje ya nchi ambao hawakuwahi kuwa na nyadhifa serikalini utendaji wao unasifika sana. Mfumo wa utendaji kazi serikalini usioridhisha ubadilike vinginevyo watanzania tutavuna dharau badala ya heshima.
 
Tunasikiliza, lakini naona kajitahidi. Sijui haya yote ya nini? na Umri amenizidi kidogo, kwa hiyo ni vizuri tumwache kwanza. Halafu ana kazi ya kufanya kwa sasa. hajatukana mtu huyu mama, wala CUF, wala CDM wala CCM. Fitina za nini. who is competent 100%. No, not one in the world. That's why someone had to come from above to serve us.

Umenikosha mkuu,
Humu ndani ya JF wakipatikana watano tu wenye akili kama za kwako, JF itastaarabika na itapendeza.
 
dah mi nilijua tu , eti ohoo mara ana GPA kubwa kutoka UDSM hakuna aliyevunja record kwa kozi ya Law , hivi kwani GPA ndo inafanya kazi wajameni eeh mbona kashindwa sasa na GPA yake ya 4 , ohhhooo JK alimu overstate huyu Dr Rose Migiro ndo maana mambo yamekuwa vice versa , tafakari chukua hatua haki elimu khekhekhe
TEh Teh TEh Teh Teh!!
Na J dhaifu alikuwa na ngapi? ALisup! three years consecutively!! Isingekuwa chama kushika hatamu na tawi la chama UDSM wangemdisco Et Rais leo!!
 
tukubaliane jambo moja kwamba huyu awe amefaulu au ameshindwa kufikia viwango vya UN basi alipata upeo mkubwa wa namna UN inafanya kazi.Matokeo ya upeo huo ni sawa na kusoma Elimu Dunia.Akiwa kiongozi anao wajibu kwake binafsi, kwa familia, kwa jumuiya na kwa serikali kujaribu kutumia uzoefu wowote aliopata huko hata kama atajifunza kwa makosa yake,kuweza kuchangiA MAENDELEO HAPA NYUMBANI

I real like you.
 
Duh! Huyu mama kweli katutia aibu.

- katia aibu akina mama wenzake, tulidhani mwanamke anaweza akiwezeshwa huyu ka-prove otherwise; aibu

- katutia aibu watanzania; enzi hizo akisimama mtanzania Barazani wajumbe wote wanaingia ndani kusikiliza lakini wale wale wailohutubu kwa umahiri na weledi mkubwa ndio wanatumiliwa? aibu!

- kalitia aibu chama lake; wale jamaa wamepata ajenda na si ajenda ya uongo bali kweli tupu!

- kawatia aibu wasomi; wanasema ni miongoni mwa akina dada wa enzi hizo waliotoka na maksi kali lakini upatikanaji wake ukiwa umezongwa na wingu kubwa. Angetumia vizuri nafasi hii kuwafumba kinywa "wazushi" hao lakini badala yake ame-certify uzushi wao kuwa ukweli.

- mbaya zaidi ameitia aibu dini yetu. uuuuuuuuh!

Wewe akili yako unaijua mwenyewe.
Nyinyi kumbe ndio wale mnaochochea jungu majungu.
Na hamtoendelea kamwe.
Nyie ndio wale wa mazuri afanye umpendae usiempenda zuri linageuka kaa la moto kwa mfanyaji.
Tabia za maji taka kama hiyo ya kwako haina nafasi kwa yeyote mwenye akili timamu.
Huyo atakaecheka kwa upuuzi uliondika hapo basi na yeye ni mpuuzi kama wewe.

Hujijui kuwa kwa uliyoayandika hapo umejitia aibu mwenyewe.
 
Ndio raisi alitakiwa aje agombee kupitia ccm uyo mama migiro ni chaguo la dhaifu ndio maana alitumia nguvu kubwa kumchomeka UN. Anategemea ccm ivunje history 2015 kwa kumsimamisha Rais wa kike kwani anaamini Kira za akina mama zitamuokoa na kumpa ushindi migiro kuliko mgombea mwingine wa ccm



Posted on July 11, 2012 by VoxMedia


Barely a week after the immediate former Deputy Secretary-General, Dr. Asha Rose Migiro returned to Tanzania after serving a five-year term at the helm of the world body, sources within the UN have hinted that poor performance and failure to fit "in the diverse and complicated body" were some of the reasons she was refused a contract renewal.

"The position of the Deputy Secretary-General is complicated and demanding; it requires somebody who is experienced to efficiently run the Secretariat. Her biggest challenge was not understanding the politics at the world body and creating alliances," the source told Vox Media in a telephone conversation.

Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, the largest regional group comprising of 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected. "She wasn't popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized."

In Dar es Salaam, a former senior ruling party secretariat member who worked closely with her in the same team before she assumed the UN post said her appointment was influenced by her personal relationship with President Jakaya Kikwete. It is understood that President Kikwete and UN Secretary-General Ban Ki-moon cultivated a close relationship when serving as foreign ministers for their respective governments.

When it came for Ban Ki-moon to canvass for votes toward his UN bid, Tanzania's vote was predominant; Dr. Migiro was apparently battered with Kikwete's vote. But when Ban Ki-Moon recently decided to review his entire team in a bid to control growing criticism of his team, Dr. Migiro had to go for "poor performance and lack of experience required of staff with the top UN mandate."


SOURCE: Why Dr. Migiro lost her UN job | Vox Media | Get Informed, Inform others
 
dah mi nilijua tu , eti ohoo mara ana GPA kubwa kutoka UDSM hakuna aliyevunja record kwa kozi ya Law , hivi kwani GPA ndo inafanya kazi wajameni eeh mbona kashindwa sasa na GPA yake ya 4 , ohhhooo JK alimu overstate huyu Dr Rose Migiro ndo maana mambo yamekuwa vice versa , tafakari chukua hatua haki elimu khekhekhe
GPA za dada zetu mmmmh! Kuna tangazo la tacaids linazizungumzia, lisikilize vizuri utaelewa. swali la marks 20 mtu anapata 17, ukimwomba akuelekeze kidogo, loh! Mweupe pe.
 
kofi anani mpaka leo anatumika kimataifa.....lakini huyu imebidi wamrudishe tu na hawezi kututmika kwa lolote tena...yaani alikuwa anazidiwa kazi na msadizi wake huyu asha-rose..yule dada wa kiagentina alikuwa deep sana ...ban ki moon akaona siswe shida akamchangua Jan Eliasson ili ashike mikoba ya huyo mama mzembe...

Angalia jinsi unavyopika majungu, unajisahau mpanga unaunguza. Nani atakula majungu yako tena yaliyoungua, hayo kula mwenyewe.
Huyo Jan Eliasson unayesema yuko deep, tafahamishe u-deep wake ni upi uliomshinda Migiro.
Nani aliyekuambia/aliyekudanganya kuwa huyo Jan Eliasson ndie aliyechaguliwa na Mr.Ban ki moon kushika mikoba ya Migiro? ni kweli hayo unayoyasema ni kwa akili zako timamu au uko usingizini unaota????

Yaani kweli unampa high score huyo Jan Eliasson kuliko Dr.Migiro without any reason..!!!! OR is just because ni mzungu? au kwa sababu ni Mu-agentina? au kwa sababu ni ngozi nyeupe.


Hata kama hujaenda shule basi tumia hata akili ya kuzaliwa, ndipo utaona kuwa ulichokiandika is totally NONSENSE. usiongee humu ndani kana kwamba unaongea na watoto wadogo wasiofahamu chochote. Fahamu kuwa unaongea na watu wenye akili zao timamu.
 
yeye anadai kuwa uteuzi wake ulimpa sifa yy na taifa kwa ujumla,kwangu mm naona ni fedhea tu kwa taifa letu.mtu unapewa nafas kama hiyo unashindwa kutimiza malengo ya mkuu wako wa kazi.leo hii namwona anaandamana na viongoz magamba kwenye majukwaa.
 
jamani msipende sana kusema mambo ya watu, hapo ulipo wewe una uzuri gani?? What is chadema by the way?? Mmewapa madaraka mkaona kuwa wanafaa?? Watanzania acheni hila. Hila ndio zitatufanya tuwe maskini na wapumbavu milele. Period

i like this...
 
Back
Top Bottom