Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

sababu hizi hapa wanabodi wala msipasue vichwa

moja, chaguo la kikwete mtu mdhaifu, hawezi kuwa na mahusiano na vichwa vikali

mbili, jk anajulikana ugonjwa wake kwa jinsia ya pili , hapa sijui malipo ya mtani wangu alitoanini maana naye bahili pesa hawezi toa za kutosha....so malipo wanajuana mimi sisemi

tatu,
huyu ni mpare hawa ni watu wenye fikra fupi...angalia hiyo staili ya nywele aliyoondoka nayo ndo karudi nayo.


Kaenda un kuwa number two huku udsm kaomba likizo, hajiamini alifikiri wata mfukuza.


Kakaa un 5 years karudi kuripoti udsm mawazo haya panuki bado anataka kutumwa

hilo pande angepewa mama tibaijuka kesho angekuwa secretary general wa kwanza wanamke

sasa migiro yuko hapa mjini na cv yote hiyo, anajibaraguza kwenye misiba na mama kikwete, srd 7 na prof wapi na wapi?

Tumefanya kazi bure kumpiga chapuo ban kim moon tungeomba walao project ya maana sasa kafaidika jk,mingiro na familia yake,
wala hakuna mtz aliyepatanafasi ya maana un...........mwaka wa hasara hasara

Unaonyesha ni jinsi gani chuki yako juu ya huyu Mama imesababishwa na nini.
1. Tatizo lake ni kuwa mpare, kisa tu eti wewe unawachukia wapare
2. Inaelekea kama sio wewe basi kuna ndugu au rafiki yako aliyetarajiwa kubebwa for any post into UN.

You are so crazy my friend........
Performance yako ndio itakayokuweka kwenye nafasi yoyote ile na sio kiundugu au kiurafiki.
Nyie ndio wale mnaogeuza ofisi za umma kuwa za kiukoo. Na ndivyo mlivyotarajia kutoka kwa Mama Migiro.
Poleni sanaaaaaa............. na mtaendelea kupika hayo majungu mpaka mchoke.
 
Huyu mama ana dhambi nyingine ya kufanya biashara kule Darfur na hakuwa anajua kwa nini yuko UN hata Kama alikuwa Mwalimu mzuri ni UD na si UN sasa.Mwache agombee U NEC
 
Wakuu naomba Watanzania tuwe na ujasiri wa kuhoji. Kwa kawaida Deputy Sec General anatakiwa kustaafu pamoja na Sec General. Eti leo tunaambiwa Migiro aliomba kustaafu. Kitu hicho hakipo hata kidogo, aombe alikuwa na tatizo gani.

Habari za uhakika ambazo zimepatikana ni kwamba huyu mama alishindwa kazi kabisa. SG alitaka kuvunja team yake yote ili kumuondoa huyu mama. Lakini alishauriwa amwache amalizie kipindi kimoja tu.

Nashangaa anapewa sifa nyingi kwa kuiletea Tanzania heshima wakati ametia aibu
 
Hata mimi nilikuwa na doubt, huyu mama kwanza hajiamini kabisaaa sijui alifikaje huko UN.
 
1. You are so far behind the JF news circle it's not even funny, jaribu ku search archives tushazungumzia hili mpaka wengine wanataka kuliweka katika offline backups sasa.

2. Hakuna sheria inayosema Deputy Sec General anatakiwa kustaafu pamoja na Sec General. Kwanza cheo chenyewe kipya hiki, hiyo "kawaida" umeitoa wapi?

3. Habari za uhakika kutoka wapi?

4. UN karibu yoote, especially the Turtle Bay clique, ni club ya mashushushu wa kimataifa na wabembeaji wasioisha vikao vya vikao juu ya vikao kuhusu vikao, kuna kazi gani inafanyika pale? Mi nawaona watu wanaomaliza muda ubalozini wanajaribu kuangalia usawa wa kufanya kazi corporate America, aibu tupu!

5. Kama unataka kusema kwamba mama alishindwa politicking za UN, that is another thing. Lakini usitake kusema politicking ni kazi. Mama anaweza kukwambia yeye kashindwa kazi kwa sababu watu wa UN wanaendekeza politicking na networking kuliko kazi. Utamwambiaje?

6. Position yenyewe ilivyokaa imekaa ki secretary secretary tu, haina maamuzi Turtle Bay au on the ground zaidi ya kupanga mafaili na "kumsaidia" Secretary General (ushawahi kuisoma "Job Description" yake?). Imewekwa pale UN iweze kusema "tuna Deputy Sec General mwanamke kutoka Tanzania Africa huko" na kumuwezesha Secretary General kucheza geopolitics, kwa nini unafikiri ile ilikuwa kazi ya maana to begin with? Au unaingia kwenye mkumbo wa kawaida wa Watanzania kupenda kazi zenye majina makubwa sehemu kubwa hata kama hazina maamuzi? Frankly mimi nilimshusha ngazi Migiro tangu nilipomsikia amekubali hii kazi, na nikimsikia mtu kaikataa nitamheshimu kwa hilo.

7. Ukiambiwa Migiro kupewa kazi kulikuwa ni ahsante Kikwete tu kutoka kwa Mr. Ban kwa ku rally behind him during the UN race, sasa geopolitics zinamtaka Mr. Ban alipe homage kwingine na wote washaelewana, utasemaje?

Please note fully well that I previously impeached and blasted Mrs. Migiro as a lightweight, so the above is by no means an endorsement of her "work" at the UN.

Merely an impeachment of your impeachment of her person and performance.
 
mhm...nilisikia kuwa katika kupata ulaji bwana mwezi tanzania walimpikia debe hence katika kurudisha fadhila ndio akamweka mama apate nae ulaji.
sasa kazi hizo wabongo tutaweza wapi wakati tumezoea uvivu.
 
Mkuu Kiranga vyeo vya UN unaanza na SG, DSG, USG,ASG,D2,D1,P5........ Usibase kwenye siasa. UN ni performance zaidi tofauti na majungu yetu ya bongo. Kama huwezi watu wanakuambia live.

Huyu mama ni kwamba hawezi kazi. Hapa nakaa na rafiki yangu ambaye ana cheo cha P5 UNHQ. Wanajua yote ya huyu mama
 
Last edited by a moderator:
usitutishe na mabwepande ukweli lazima uongewe yule shekh amewashinda kumng'oa kucha leo munaleta story mpya kua hamkumteka nadhani issue ya ulimboka imewafunza kitu eeh...

Mmeshaanza, ndo maana huwa tunawapeleka Mabwepande
 
Mkuu vyeo vya UN unaanza na SG, DSG, USG,ASG,D2,D1,P5........ Usibase kwenye siasa. UN ni performance zaidi tofauti na majungu yetu ya bongo. Kama huwezi watu wanakuambia live.

Huyu mama ni kwamba hawezi kazi. Hapa nakaa na rafiki yangu ambaye ana cheo cha P5 UNHQ. Wanajua yote ya huyu mama

Institution iliyoanzishwa kutokana na siasa, ikalelewa na siasa, tena za kimataifa, na mpaka leo inaendelea kwenye siasa za kimataifa, utasemaje inaendeshwa "kwa performance zaidi"?

Kama UN inaendeshwa kwa performance zaidi, na huyu Dr. Migiro ni mbovu hivyo, aliwezaje kufika kuwa DSG?

Ama UN haiendeshwi kwa performance, na ndiyo maana kilaza kama Dr. Migiro kafika kuwa DSG kutokana na geopolitics zaidi.

Au, UN inaendeshwa kwa performance, na Dr. Migiro anaweza ku perform, ila zaidi ya performance kuna geopolitics na networking nene zinazoambatana ambazo Dr. Migiro hakuziweza.

Ukiangalia mabalozi, marais, mawaziri wanopelekwa UN, na kwamba kilaza yeyote kati yao anaweza kuwa Secretary General (wanapigiwa kura, it's a democracy, and democracy doesn't need metrics on merit) utaona hii habari ya performance ni uzushi tu.

UN yenyewe kama ilivyo sasa ni a botched project iliyo compromise 14 points za Wilson towards "the League of Nations", a precursor to the UN, sasa utaifanya vipi iwe merit based na sio political wakati it's very inception was marred with geopolitics?

Hivi watu wanajua historia ya "the war to end all wars" mpaka ilivyopelekea kuzaliwa kwa UN au wanaangalia kijuu juu tu?

Halafu ukisema "huyu mama hawezi kazi" inaelekea hunisomi au hujui kusoma, mie sijasema huyu mama anaweza "kazi".

Nahoji kama kuna kazi pale UN, au charade tu na vikao viso mwisho. Watu wameuana Rwanda UN imeshindwa kufanya lolote, kuna kazi gani pale inafanyika? Leo watu 30,000 wameuawa Syria UN hata kupitisha maazimio ya uhakika tu kazi.

Utategemeaje kusiwe na siasa katika chombo kinachotafuta muafaka kati ya serikali tofauti zaidi ya mia mbili?

Nikiwambia appointment nzima ya Migiro kwenda kuwa DSG ilikuwa political, na kwa hivyo hata akitolewa politically si issue utabisha?
 
Jamani nilisikia kuwa yeye aliomba kupumzika mwenyewe ili apate muda wa kujipanga kwa mchakato wa upresidaa maana ndio choice ya ****** sasa hapa mnanichanganya kabisa, kwani upresidaa wa bongo na udepute wa UN upi ni ulaji wa maana?
 
Hivi alionyesha nia kuingia NEC? nasikia magamba walikuwa na mpango agombee urais-eti gender balancing
 
Jamani nilisikia kuwa yeye aliomba kupumzika mwenyewe ili apate muda wa kujipanga kwa mchakato wa upresidaa maana ndio choice ya ****** sasa hapa mnanichanganya kabisa, kwani upresidaa wa bongo na udepute wa UN upi ni ulaji wa maana?

Mtu akishakubali kuacha kuwa Foreign Minister wa Bongo na kuwa secretary - as in katibu muhtasi-wa Ban Ki Moon UN kasha ji disqualify kuwa rais wa Tanzania.
 
Jamani nilisikia kuwa yeye aliomba kupumzika mwenyewe ili apate muda wa kujipanga kwa mchakato wa upresidaa maana ndio choice ya ****** sasa hapa mnanichanganya kabisa, kwani upresidaa wa bongo na udepute wa UN upi ni ulaji wa maana?

Hata mimi niliskia hivyo aliomba kupumzika!
 
Amelelwa ktk nchi yenye siasa za propaganda za kudanganya wananchi. Amelelwa katika nchi ambayo ni anti western. Amelelwa katika nchi ambayo ni antisemite(wachukia wayahudi).Amelelwa katika nchi ambayo mtu hutukuzwa kwa kupata cheo na sio good perfomance, amelelwa ktk nchi ambayo hufuata ushauri wa nchi za kiarabu , wa kuichukia Israel.

Halafu alipoondoka na kuagwa alipewa usia na kiongozi wa juu wa chama kuwa, "ukifika UN peleka ujumbe kuwa, Tanzania hatutaki majeshi ya uvamizi Iraq"

Toka lini ukaona mtu na sifa hizo akawa mwana diplomasia mzuri duniani? Sasa wewe fananisha na sifa za Boutros boutros Ghali, Haf Perez De Guerra, Udro Uthans na DR Kart wairheim angalia wametoka katika nchi gani na kwa nini wamekuwa wana diplomasia wazuri. Nchi zao zote hizo hazichukii waisrael kabisaa na wala sio anti west.
 
Amelelwa ktk nchi yenye siasa za propaganda za kudanganya wananchi. Amelelwa katika nchi ambayo ni anti western. Amelelwa katika nchi ambayo ni antisemite(wachukia wayahudi).Amelelwa katika nchi ambayo mtu hutukuzwa kwa kupata cheo na sio good perfomance, amelelwa ktk nchi ambayo hufuata ushauri wa nchi za kiarabu , wa kuichukia Israel.

Halafu alipoondoka na kuagwa alipewa usia na kiongozi wa juu wa chama kuwa, "ukifika UN peleka ujumbe kuwa, Tanzania hatutaki majeshi ya uvamizi Iraq"

Toka lini ukaona mtu na sifa hizo akawa mwana diplomasia mzuri duniani? Sasa wewe fananisha na sifa za Boutros boutros Ghali, Haf Perez De Guerra, Udro Uthans na DR Kart wairheim angalia wametoka katika nchi gani na kwa nini wamekuwa wana diplomasia wazuri. Nchi zao zote hizo hazichukii waisrael kabisaa na wala sio anti west.

There is a case to be made for diplomacy, habari ni kwamba huyu mama hata common networking tu ambayo mbeba box yeyote wa kawaida anatakiwa aijuue alikuwa haijui, so that is debatable.Kama mtu huwezi networking basi hutakaa kuweza diplomacy, na kuna ukweli kwamba sie kwetu tumejenga utamaduni wa kuabudu viongozi kiasi kwamba kuna utamaduni wa umangimeza, wa mkubwa kusubiri wengine wamfuate just because ni mkubwa. UN structure inataka soliciting support constantly kwa hiyo hilo linaweza kuwa valid katika kuchangia Migiro "kuonekana hafanyi kazi", whatever that is in the context of the UN.

Lakini lingine ni kwamba, kumlinganisha mtu ambaye essentially kazi yake ilikuwa ni a glorified secretary - as in katibu muhtasi- na ma Secretary General waliopita ni unfair.

Ni kama kulaumu kwamba katibu muhtasi hafanyi kazi wakati kila kitu anachofanya kinapangwa na bosi wake. Ina maana mama Migiro alikuwa na character ya insurbodination pale UN?

I find that hard to believe.

Na akiniambia amekuwa bored kuwa secretary wa Mr. Ban sasa anataka kuja kufanya kazi za maana Tanzania, hata kama ni kurudi kufundisha tu, nitamuelewa.
 
Siku Ban atashuka hapa bongo na kummwagia sifa kedekede (tena itakapokaribia uchaguzi mkuu) ndio watu watabaki midomo wazi!
Please ili muwe mmejiandaa ni vizuri muwe na hata story mbili tatu hivi nyingine za kutunga; mfano. Semeni kuwa alikuwa mbadhilifu huko UN au kwamba hajawahi kufaulu mitihani yake chuoni nk maana hiyo ya utendaji wake UN ikichacha kwa kinywa chake mwenyewe mzee ki-mwezi basi mtandao wenu wa kuchafua wenzenu utakuwa kwishinei!
 
Back
Top Bottom