Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Wakuu naomba Watanzania
tuwe na ujasiri wa kuhoji. Kwa kawaida Deputy Sec General anatakiwa
kustaafu pamoja na Sec General. Eti leo tunaambiwa Migiro aliomba
kustaafu. Kitu hicho hakipo hata kidogo, aombe alikuwa na tatizo gani.

Habari za uhakika ambazo zimepatikana ni kwamba huyu mama alishindwa
kazi kabisa. SG alitaka kuvunja team yake yote ili kumuondoa huyu mama.
Lakini alishauriwa amwache amalizie kipindi kimoja tu.

Nashangaa anapewa sifa nyingi kwa kuiletea Tanzania heshima wakati
ametia aibu

mbona dr. migiro mshamjadil sana pamoja na hz newz msemazo alifukuzwa au alishindwa kazi UN?Mnataka aseme nini?ok mie ni PR wake ni kweli alishindwa kazi UN akafukuzwa.
 
Siku Ban atashuka hapa bongo na kummwagia sifa kedekede (tena itakapokaribia uchaguzi mkuu) ndio watu watabaki midomo wazi!
Please ili muwe mmejiandaa ni vizuri muwe na hata story mbili tatu hivi nyingine za kutunga; mfano. Semeni kuwa alikuwa mbadhilifu huko UN au kwamba hajawahi kufaulu mitihani yake chuoni nk maana hiyo ya utendaji wake UN ikichacha kwa kinywa chake mwenyewe mzee ki-mwezi basi mtandao wenu wa kuchafua wenzenu utakuwa kwishinei!

Katika nyanja za diplomasia hata Pol Pot au Idi Amin walisifiwa, tena Idi Amin akapewa na uenyekiti wa OAU.

Kwa hiyo tafuta jingine, hili la kusifiana katika diplomasia kwa wanaojua diplomasia si kitu cha kuwekewa maanani sana.
 
Tango73
Umechemka mkuu inaonekana utakuwa bado kijana mdogo kama sio basi historia inakupiga chenga Marehemu Dr.Kurt weldheim mpaka anakufa alipigwa marufuku kugusa ardhi USA Wala Israel baada ya kubainika ilikuwa mmoja kati ya ma luteni katika viksi ya majeshi ya Nazi huko Yugoslavia vilivyoshiriki kuwatesa mayahudi Wa Hungary na poland na hata UN Hakupita kipindi cha kilichofuata baada ya kudundishwa yeye na Dr.SAS Ndio akapewa JPDC
 
Last edited by a moderator:
Hapa JF watu wazuri huwa wanatoka chadema tu na si kwingine kote,hata angekuwa nani hapa kama sio mfuasi wa cdm hata kama umetoka mbinguni hufai tu,
 
Kiranga Kumbe tuko pamoja mkuu. Nimekuelewa, nilidhani unasema mama anaweza
 
Last edited by a moderator:
Jamani nilisikia kuwa yeye aliomba kupumzika mwenyewe ili apate muda wa kujipanga kwa mchakato wa upresidaa maana ndio choice ya ****** sasa hapa mnanichanganya kabisa, kwani upresidaa wa bongo na udepute wa UN upi ni ulaji wa maana?

Siyo kweli mkuu mama kashindwa kabisa kazi. Ila kwa bongo yetu anaonekana bingwa
 
Hivi Kiswahili kikiwa ndio lugha ya kufundishia mpaka vyuo vikuu, tunategemea kuwapata watu wa kufanya kazi UN?
 
Haiwezi kuwa kweli kwamba mama alichemka! Labda tuseme kwambb mama aliomba kupumzika maana kazi za UN zina stress ya hali ya juu na unapojiunga unapewa tahadhari mapema.

Urahisi wa kazi za UN ni kwamba unakuta kila kitu kimepangwa wewe kazi yako ni kupita mle mle tu.

Sasa hapo mtu huwezi kushindwa kufanya kazi na ukizingatia wa-TZ ni mabingwa wa Madessa! Kuna jamaa hapo juu kataja eti P5 kama ni cheo kwenye structure ya UN, sidhani kama ni hivyo, P5 ni salary scale yaani Professional 5 pia utakuta JP1 nk
 
ni kweli amechemka..mwenzake Amina sakim Ali yupo bado kama mwakilishi wa Afrika UN
 
Alichemka au hongo ya Ban Kimoon kwa JK ilikuwa imesha-expire?? If you know what I mean....
 
mbona dr. migiro mshamjadil sana pamoja na hz newz msemazo alifukuzwa au alishindwa kazi UN?Mnataka aseme nini?ok mie ni PR wake ni kweli alishindwa kazi UN akafukuzwa.

Yawezekana ata PR wake hawezi kazi!!!
 
Mongella alishindwa AU parliament, Tibaijuka alishindwa UN Habitat, Migiro ameshindwa UN. Jamani bado tu tunasema tuna uwezo hasa kwa upande wa akina mama wa Tanzania?! Mbona akina Salim waliweza?!!
 
Lakini kama alishindwa kazi angeteuliwa kwenye SG Envoy...............
[h=1]Press statement[/h]
Bookmark + Share



[h=1]Asha-Rose Migiro appointed as UN Secretary-General’s Special Envoy for HIV/AIDS in Africa[/h] GENEVA, 13 July 2012—United Nations Secretary-General Ban Ki-Moon has appointed Asha-Rose Migiro as his Special Envoy for HIV/AIDS in Africa. “Ms Migiro’s experience in responding to AIDS as UN Deputy Secretary-General, combined with her many years as an advocate for health and social justice in Africa, make her uniquely qualified for this important role,” said Mr Ban.
Ms Migiro served as the United Nations Deputy Secretary-General from 2007 to 2012. In that role, she was integrally involved in promoting the AIDS response globally and within Africa, with special emphasis on reducing the vulnerability of women and girls and ensuring the rights of people living with HIV.
“I am honoured to accept this appointment at this crucial moment in the African AIDS response,” said Ms Migiro. “A decade ago, HIV in Africa was almost entirely an epidemic of despair. Today, we celebrate progress against AIDS that we never thought possible. Now is the time to take our efforts to a new level––I am committed to the Secretary-General’s vision that the beginning of the end of AIDS in Africa starts now.”
Ms Migiro served as Tanzania’s Minister of Foreign Affairs and International Cooperation from 2006 to 2007—the first woman to hold that position since the country’s independence. She was previously the Minister for Community Development, Gender and Children for five years. Prior to Government service, she pursued a career in academia, and, served as a member of Tanzania’s Law Reform Commission in 1997 and as a member of the United Nations Committee on the Elimination of Discrimination against Women in 2000.
“I look forward to working closely with Ms Migiro in helping African countries reduce their AIDS dependency and provide universal access to HIV prevention, treatment, care and support services,” said UNAIDS Executive Director Michel Sidibé. “Her experience and leadership will promote African ownership of the AIDS response at the highest levels and reduce the inequities of people affected by AIDS in the continent.”
Africa remains the continent most affected by HIV. In 2010, about 68% of all people living with HIV resided in sub-Saharan Africa. The region also accounted for 70% of all new HIV infections worldwide.

Asha-Rose Migiro appointed as UN Secretary-General?s Special Envoy for HIV/AIDS in Africa
======================BAADA YA HAPO==================
Je kama amefukuzwa ameachishwa angepewa hii kazi??maana hii nikama kazi aliyokuwa nayo!!Huyu bado nimsaidizi wa Katibu Mkuu wa Un kwa maswala ya ukimwi Africa na anakula mshahara kama kawaida!! mpigauzi Kiranga niyie hapo mnasemaje??
 
Last edited by a moderator:
Haiwezi kuwa kweli kwamba mama alichemka! Labda tuseme kwambb mama aliomba kupumzika maana kazi za UN zina stress ya hali ya juu na unapojiunga unapewa tahadhari mapema.

Urahisi wa kazi za UN ni kwamba unakuta kila kitu kimepangwa wewe kazi yako ni kupita mle mle tu.

Sasa hapo mtu huwezi kushindwa kufanya kazi na ukizingatia wa-TZ ni mabingwa wa Madessa! Kuna jamaa hapo juu kataja eti P5 kama ni cheo kwenye structure ya UN, sidhani kama ni hivyo, P5 ni salary scale yaani Professional 5 pia utakuta JP1 nk
Hizi ni pumba, kule hakuna desa, unavurunda mwenyewe.
 
Pale UN kuna mambo mengi sana ya kienyeji,,kuna fitn,zengwe na ujinga mwingi mno..hata PM wa Israel amewahi kusema 90 percent ya vikao vya UN vimejaa ghiliba,uzushi,na mipango mingi ya ulongo longo..kwa ufupi ikiwa hujaitii US taifa teule la mauaji hutakaa pale hata huyo kila Ban kimoon anajua hilo na hata ukiwa SG watakunyima kipindi cha 2..kwa ufupi pale ni sanaa na genge la US kuhaalishia uuaji na utesaji wake hapa Duniani wala sio UN kama mnavyoiita...

Ingalikuwa Russia hajatetereka angesaidia kuunda umoja mwingne tofauti na huu au hata Mchina, na kubwa Jinga Afrika lingekua na akili lingeweza kuitawala dunia bila wasiwassi coz kuna Market kubwa more than 1b population na pia Natural resources...lakini shida ya AFRIKA ni akili hakuna ...
 
Kama kweli haujashindwa
kazi tupe 'terms of reference' zake huko UN na ile performance report
yake!!

hata nikiwapa then so what? mnamajibu ya performanc yake tayari.hayo majibu ntayowapa will they change anythng?
 
Back
Top Bottom