Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Inatosha jamani ujumbe utakuwa umemfikia. Hebu nipeni ushauri tumsaidiaje huyu mama wa kipare?


hana cha kusaidiwa maana katutia aibu sana...juzi amehojiwa kuhusu uraisu akauka kimanga kuwa anapenda kazi yake ya ualimu na ataendela kufundisha hapo mlimani....lakini chini kwa chini anaandaa shughuli ya kumkaribisha raisi wa liberia tar17 kama sikosei.....anataka kuwaminisha watanzia kuwa hata yeye anauweza uraisi maana safari nzima ile ya raisi inaratibiwa na wanawakwe wa udsm japkuwa itifaki itazingatiwa
 
So that is what she really was. Lazy and failure. Wengine wanakuja humu na upuuzi wa Uraisi wa Mabwe Pande. We have a failure right in our laps , then another failure again to rule us ? Ahhh no. akalime
 
Hakuwa na uzoefu wowote wa kazi za UN. Uzoefu wa kufundisha UDSM na kufanya kazi ya uwaziri ktk chama cha Mabwepande kilikua kigezo cha chini kabisa kupewa hiyo nafasi. Heri angepewa Augustin Mahiga.
 
Hivi Ban Ki-Moon naye amefanya jambo gani kubwa na bora kwa ulimwengu? Amefanya nini kutatua migogoro ya DRC, Somalia nk. Amefanya nini kuhusu Al bashir wa Sudan; na anafanya nini kuhakikisha wananchi wa Syria hawaendelei kumalizika kwa vita?
 
kofi anani mpaka leo anatumika kimataifa.....lakini huyu imebidi wamrudishe tu na hawezi kututmika kwa lolote tena...yaani alikuwa anazidiwa kazi na msadizi wake huyu asha-rose..yule dada wa kiagentina alikuwa deep sana ...ban ki moon akaona siswe shida akamchangua Jan Eliasson ili ashike mikoba ya huyo mama mzembe...
 
Tunaambiwa ya kwamba kwa miaka hiyo DR Rose alipata kuwa mwanafunzi wa mwalimu Prof Migiro wa pale Mlimani. Akawa ni mtu kichwa kweli kweli mbele ya wanafunzi wengine hadi kuweka 'rekodi' huko law.

Lakini mwisho wa siku ndipo akaweka rekodi nyingine kubwa zaidi ambayo haitokaa ivunjwe kwa vyo vyote vile; akachaguliwa kuwa 'Mama ya Wtoto' wa mwalimu wake huyo - Prof Migiro hadi kesho.

kama umesoma udsm au vyuo vyetu vingi vya ki-afrika, GPA nyingi ni mzozo, they can't translate into reality ya kazi zenyewe! Nyingi zinategemea uwezo wa mtu kukariri na kudesa...period!
 
She was it was just West African Nations prefers Ngozi Okonjo-Iweala of Nigeria by then at Security Council was a powerful

Block and they thought they were sold out; Ngozi was or still is Nigerian Minister of Finance; So Most of West and Some Central African

Nations were not happy and you know Tanzania; Had Salim Ahmed Salim in the OAU for Unprecedented 3 1/2 terms;

They, will say what'soever just to humiliate her work ethics;

FYI; she's the 1st Ass Secretary General who passes all the AUDITS; she was not heavy spender like other's.

Answer this question: Was she given the authority to spend? If so and - as you tell us here - she passed all the audits - why then she was rejected by ALL (including Africans - west, east, north and south)?
My take: She may have passed all her audits because there was nothing to audit her rather than the mere formality!!
 
Basi kumbe hafai hata kwa uraisi. Tulikuwa tunamtegemea kumbe si lolote.
 
aibu nyingine iyo, kila mwezi alikuwa bongo, mara anajenga kule upareni, mara vikao vya NEC ya ccm, mara kusalimia bungeni, UN haiwezi kuvumilia huo upuuzi
 
Migiro kama Mwigulu tu kumbe ... daraja la 'A' lakini ndani yake mabua matupu ya kudesa na kudeseshwa!!!!!!!

hana cha kusaidiwa maana katutia aibu sana...juzi amehojiwa kuhusu uraisu akauka kimanga kuwa anapenda kazi yake ya ualimu na ataendela kufundisha hapo mlimani....

lakini chini kwa chini anaandaa shughuli ya kumkaribisha raisi wa liberia tar17 kama sikosei.....anataka kuwaminisha watanzia kuwa hata yeye anauweza uraisi maana safari nzima ile ya raisi inaratibiwa na wanawakwe wa udsm japkuwa itifaki itazingatiwa
 
Kwa vyovyote vile CDM ndio wamesuka mipango mpaka huyu mama akafukuzwa UN!!
 
Answer this question: Was she given the authority to spend? If so and - as you tell us here - she passed all the audits - why then she was rejected by ALL (including Africans - west, east, north and south)?
My take: She may have passed all her audits because there was nothing to audit her rather than the mere formality!!

The AUDIT is your personal Expenditure; i.e travelling, hotel stay, food, drinks, clothing, paying an assistant, some
clothing - in which some are being paid by UN due to her position
 
Nasikia kubwa alilofanya ni kupokea yale mafile ya tanzania katika kuongezewa eneo la kiuchumi baharini...hahahaha.. kila siku yuko bongo mara bungeni, mara unamuona yuko ikulu anagonga gahawa na baba mwanaasha. mara unamuona galfa yuko Airport anapoke maua kutoka kwa katoto kadogo...mara hivi...yaani basi tu...mkutano mkubwa niliomuona wa kimatifa ni mmoja nao alitoka nje baad ya rais wa irani kusimama na kuanza kuhutubia tena napo alitoka kama anafata mkumbo hivi maana waliponyanyuka wazungu kama 6 au 7 hivi nae akanyanyuka.......
 
Nimeshawahi zungumza na Kigogo mmoja serikalini akasema huyu mama ni Mzigo wa taifa, that was 2 years back. Naamini maneno ya kigogo huyo yamedhihirika hata nje Tanzania.

Mbaya zaidi kuna watu wanataka kumfanyia kampeni za Uraisi wa Tanzania na kutupa mzigo mwingine wa taifa hili baada ya Jakaya Kikwete
 
Halafu mnataka awe Rais wa Tanzania? Bado hamjakoma na Mr Dhaifu na 2015 mnataka Mis Dhaifu?

Imagine atoke Kikwete aingie Migiro si tutazikwa kabisa maana kwa sasa nchi ipo ICU.

Mungu atunusuru na hawa wadhaifu kabla hawajaingamiza hii nchi
 
Back
Top Bottom