FY2021|22 HESLB imesajili wanafunzi wapya elfu 29 tofauti na elfu 32 wapya waliosajiliwa FY2016|2020

asilimia 50 ya wanafunzi wamepewa boom tuuu.... sasa haya kama ni mafanikio sawa..... yani uwe na wanafunzi karibu elfu 50 wanapewa boom tuu halafu yawe mafanikio kweli? wengi wanashindwa kulipa ada...
Ulivyo andika hapo unaweza ukadhani ni neema ... waulize walio pangiwa mikopo leo wakwambie kuhusu ada za vyuo.....
Nilitegemea ongezeko liwe kwenye wanafunzi hasa uwezo wa kulipa ada sio kuwapa hela ya kula halafu washindwe kulipa ada tujisifu tumeongeza idadi ya wanufaika..
Kulikuwa hakuna sababu ya kuongeza idadi ya watu wengi wakati .hatuwezi kuwalipia ada ambalo ndio tatizo kubwa... halafu tunajisifu... mtu akipiga mahesabu ya ada anaweza shindwa kwenye chuo.
Vyuoni tatizo kubwa ni ada..sio kula na kulala... ni vyema serikali ijikite kwenye kutatua matatizo ya kweli lakini sio kushindana kwa awamu hii na hii ...
 
Wewe umeeleza walau vizuri,

Ngoja nifuatilie nitakufuata inbox

Lakini pesa zaidi 120b zimeongezwa kwaajili ya hao wapi,
asilimia 50 ya wanafunzi wamepewa boom tuuu.... sasa haya kama ni mafanikio sawa..... yani uwe na wanafunzi karibu elfu 50 wanapewa boom tuu halafu yawe mafanikio kweli? wengi wanashindwa kulipa ada...
Ulivyo andika hapo unaweza ukadhani ni neema ... waulize walio pangiwa mikopo leo wakwambie kuhusu ada za vyuo.....
U
 
asilimia 50 ya wanafunzi wamepewa boom tuuu.... sasa haya kama ni mafanikio sawa..... yani uwe na wanafunzi karibu elfu 50 wanapewa boom tuu halafu yawe mafanikio kweli? wengi wanashindwa kulipa ada...
Ulivyo andika hapo unaweza ukadhani ni neema ... waulize walio pangiwa mikopo leo wakwambie kuhusu ada za vyuo.....
Jau sana boom bila ada uongo asee...
Af arts na edu kwa ujumla angalau kuliko afya akat afya ndo walituambia ndo Wana consider kuliko zngne!!
 
ndo sielewi, an hapo itakuwaje manake kuna watu ambao wameambiwa wasubiri ambayo ndo second phase...
Asa kwa mtu aliyepata kidogo ataongezewa au ndo imekaaje mkuu...
Nilikwambia Rais Samia hajaja kuleta maumivu ila kicheko,

Ndio maana nikasema restructuring haiwezi kufanywa wakati wa mkopo ila kabla ya mkopo,

Ndio maana naamini kwa usikivu wa Rais wetu mtapatiwa mlichopatiwa hapo kabla
 
Ni kweli asee, mtu kapata boom lakn hela ya Field na Books and stationery hajapewa hapo bado msoto upo palepale...lakn atahesabika kuwa kapata mkopo.
asilimia 50 ya wanafunzi wamepewa boom tuuu.... sasa haya kama ni mafanikio sawa..... yani uwe na wanafunzi karibu elfu 50 wanapewa boom tuu halafu yawe mafanikio kweli? wengi wanashindwa kulipa ada...
Ulivyo andika hapo unaweza ukadhani ni neema ... waulize walio pangiwa mikopo leo wakwambie kuhusu ada za vyuo.....
Nilitegemea ongezeko liwe kwenye wanafunzi hasa uwezo wa kulipa ada sio kuwapa hela ya kula halafu washindwe kulipa ada tujisifu tumeongeza idadi ya wanufaika..
Kulikuwa hakuna sababu ya kuongeza idadi ya watu wengi wakati .hatuwezi kuwalipia ada ambalo ndio tatizo kubwa... halafu tunajisifu... mtu akipiga mahesabu ya ada anaweza shindwa kwenye chuo.
Vyuoni tatizo kubwa ni ada..sio kula na kulala... ni vyema serikali ijikite kwenye kutatua matatizo ya kweli lakini sio kushindana kwa awamu hii na hii ...
 

Kwamieezi sita tu ya awamu ya sita Rais Samia ameongeza Jumla ya wanafunzi wanufaika 29,117 wa HESLB,Mtakumbuka miaka mitano ya awamu ya tano tuliongeza wanafunzi 32,583,God's Good​


Mpaka awamu ya nne inaondoka madarakani FY2015|16 kulikuwa na Jumla ya wanafunzi 98'300 walionufaika na mikopo ya elimu ya juu ( HESLB ),Pia mpaka FY2020|21 wanafunzi wanufaika wa HESLB walifikia 130'883 sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 32,583 hii ni kwa miaka mitano mfululizo ya awamu ya tano ,Maajabu ni miezi sita ya Rais Samia idadi ya wanufaika wa wanufaika wa HESLB wamefikia 160,000 sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 29,177 hii ni miezi sita tu ya huyu mama,Hakika mama anastahili maombi ya nguvu sana,

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo (Jumapili, Oktoba 17, 2021) orodha ya Awamu ya Kwanza yenye wanafunzi 37,731 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 99.9 bilioni kwa mwaka wa masomo 2021/2022 unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo.

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Abdul-Razaq Badru amesema kuwa kati ya wanafunzi hao (37,731), wanaume ni 23,379 sawa na 62% na wanawake ni 14,352 sawa na 38%.

Badru ameongeza kuwa HESLB imeanza kupeleka fedha za wanafunzi waliopangiwa mikopo katika vyuo mbalimbali na kuwataka wanafunzi kupata taarifa za kina katika akaunti walizotumia kuomba mkopo maarufu kama SIPA (Student’s Individual Permanent Account) na kujiandaa kwenda vyuoni kwa ajili ya kujisajili.

“Serikali imeshatupatia fedha na tumeanza kuzipeleka vyuoni … lengo letu ni kuhakikisha wanafunzi wanaopangiwa wanazikuta fedha vyuoni ambako watajisajili na kupokea ili watimize ndoto zao,” amesema Badru.

Tarehe ya kutolewa orodha ya Awamu ya Pili

Kuhusu kutangazwa kwa orodha ya Awamu ya Pili, Badru amesema imepangwa kutolewa Alhamisi, Oktoba 21|2021 baada ya kukamilisha uchambuzi wa maombi unaoendelea na kuwataka waombaji mikopo kutembelea akaunti zao ya SIPA kupata taarifa kuhusu maombi yao.

“Orodha hii ya kwanza inajumuisha wanafunzi wenye sifa zikiwemo kuwa wahitaji, wameomba kwa usahihi na wana udahili wa chuo kimoja … tunakamilisha uchambuzi wa maombi mengine na tutaoa orodha ya pili katika siku mbili zijazo, yaani Jumatamo, Oktoba 20|2021” amesema Badru.

TZS 570 Bilioni zimetengwa kwa mikopo ya elimu ya juu FY2021|2022 Kutoka 450B za FY2020|21

Kwa mujibu wa Badru, Serikali imetenga TZS 570 bilioni kwa ajili ya mikopo ya jumla ya wanafunzi 160,000. Kati yao, wanafunzi 70,000 watakuwa ni wanufaika wapya na wanafunzi zaidi ya 90,000 ni wale wanaoendelea na masomo baada ya kufaulu mitihani yao ya mwaka.

Fedha zimeanza kutumwa vyuoni

Wakati huohuo, Badru amesema HESLB imeshapokea fedha kwa ajili ya malipo ya wanafunzi na taratibu za malipo zimeanza ili fedha hizo ziwe zimefika vyuoni kuanzia Jumanne, Oktoba 19|2021

Aidha, Bodi inapenda kuwasihi waombaji wa mikopo kuwa watulivu wakati mchakato wa upangaji wa mikopo kwa wanafunzi wenye sifa kwa awamu inayofuata ukiendelea.

Mkuu nikupongeze kwa kutumia akili zako vizuri Sana
Napenda mabandiko ya aina hii sio lelelee tu

Hongera sana Rais Samia
 

Kwamieezi sita tu ya awamu ya sita Rais Samia ameongeza Jumla ya wanafunzi wanufaika 29,117 wa HESLB,Mtakumbuka miaka mitano ya awamu ya tano tuliongeza wanafunzi 32,583,God's Good​


Mpaka awamu ya nne inaondoka madarakani FY2015|16 kulikuwa na Jumla ya wanafunzi 98'300 walionufaika na mikopo ya elimu ya juu ( HESLB ),Pia mpaka FY2020|21 wanafunzi wanufaika wa HESLB walifikia 130'883 sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 32,583 hii ni kwa miaka mitano mfululizo ya awamu ya tano ,Maajabu ni miezi sita ya Rais Samia idadi ya wanufaika wa wanufaika wa HESLB wamefikia 160,000 sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 29,177 hii ni miezi sita tu ya huyu mama,Hakika mama anastahili maombi ya nguvu sana,

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo (Jumapili, Oktoba 17, 2021) orodha ya Awamu ya Kwanza yenye wanafunzi 37,731 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 99.9 bilioni kwa mwaka wa masomo 2021/2022 unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo.

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Abdul-Razaq Badru amesema kuwa kati ya wanafunzi hao (37,731), wanaume ni 23,379 sawa na 62% na wanawake ni 14,352 sawa na 38%.

Badru ameongeza kuwa HESLB imeanza kupeleka fedha za wanafunzi waliopangiwa mikopo katika vyuo mbalimbali na kuwataka wanafunzi kupata taarifa za kina katika akaunti walizotumia kuomba mkopo maarufu kama SIPA (Student’s Individual Permanent Account) na kujiandaa kwenda vyuoni kwa ajili ya kujisajili.

“Serikali imeshatupatia fedha na tumeanza kuzipeleka vyuoni … lengo letu ni kuhakikisha wanafunzi wanaopangiwa wanazikuta fedha vyuoni ambako watajisajili na kupokea ili watimize ndoto zao,” amesema Badru.

Tarehe ya kutolewa orodha ya Awamu ya Pili

Kuhusu kutangazwa kwa orodha ya Awamu ya Pili, Badru amesema imepangwa kutolewa Alhamisi, Oktoba 21|2021 baada ya kukamilisha uchambuzi wa maombi unaoendelea na kuwataka waombaji mikopo kutembelea akaunti zao ya SIPA kupata taarifa kuhusu maombi yao.

“Orodha hii ya kwanza inajumuisha wanafunzi wenye sifa zikiwemo kuwa wahitaji, wameomba kwa usahihi na wana udahili wa chuo kimoja … tunakamilisha uchambuzi wa maombi mengine na tutaoa orodha ya pili katika siku mbili zijazo, yaani Jumatamo, Oktoba 20|2021” amesema Badru.

TZS 570 Bilioni zimetengwa kwa mikopo ya elimu ya juu FY2021|2022 Kutoka 450B za FY2020|21

Kwa mujibu wa Badru, Serikali imetenga TZS 570 bilioni kwa ajili ya mikopo ya jumla ya wanafunzi 160,000. Kati yao, wanafunzi 70,000 watakuwa ni wanufaika wapya na wanafunzi zaidi ya 90,000 ni wale wanaoendelea na masomo baada ya kufaulu mitihani yao ya mwaka.

Fedha zimeanza kutumwa vyuoni

Wakati huohuo, Badru amesema HESLB imeshapokea fedha kwa ajili ya malipo ya wanafunzi na taratibu za malipo zimeanza ili fedha hizo ziwe zimefika vyuoni kuanzia Jumanne, Oktoba 19|2021

Aidha, Bodi inapenda kuwasihi waombaji wa mikopo kuwa watulivu wakati mchakato wa upangaji wa mikopo kwa wanafunzi wenye sifa kwa awamu inayofuata ukiendelea.

Baada ya kazi wajatujadili kidogo nchi yetu,

Mada nzuri sana hii,
Mwandishi kongole
 
Rais Samia tumpe miaka 15
Hii haijawahi kutokea kabisa
Huyu ndio Rais sasa hakuna makelele wala kutishana na kujigamba mambo yanaenda kwa kasi sana..

Nilisema mapema kabisa kwamba mama atawafunika Marais wote waliotangulia na ambavyo ana nyota ya kuaminiwa ndio kabisaa nchi itaneemeka Sana.
 
U

Ulisema kweli namimi nakubaliana na wewe,

Mama ananyota sana
Mama anasema kwenye historia yake hajawahi shindana na mtu akashidwa 😃😃..

Watu wa dizaini yake huwa ni wachache sana,nimewahi kuwa na mwanamke wa aina yake yaani wenye nyota zao toka kwa mzazi wake alikuwa anatunza pesa za familia yaani baba hampi mke wake ila binti yake.

Shuleni kiongozi sio hata kwamba eti kupanga wala,popote akowapo anaaminika haraka Sana na ushuhuda huu haukuishia kwenye hayo tuu hadi biashara na chochyanachofanya kinafanikiwa..

Nilimuogopa nikakimbia maana mkuu unaweza kuolewa 🤣🤣..

Sasa hivi huyo dada ana pesa zake za kutosha ila mambo ya ndoa ndio hayajakaa sawa hapo ndipo kwenye mateso yake ila sio pesa..

Kwa hiyo watu wenye nyota huwa wapo na huwa zaidi kwa wanawake kwa wanaume sio Sana maana tuna mambo mengi vichwani.
 
Back
Top Bottom