Michuzi nae ni Usalama wa Taifa?

Michuzi nae ni Usalama wa Taifa?

Status
Not open for further replies.
Swala zima lililonifanya niulize ni sababu ndugu Michuzi anaongozana na raisi Kikwete karibu safari zote za ndani hata nje ya nchi, hio ni moja.

La pili, mawakala wengi wa usalama duniani hutumia staili hii ya waandishi wa habari kama 'undercovers'.

So, moja jumlisha mbili ndiyo imezaa swali langu:

wewe unaleta hoja ya bangi;



Inawezekana akawa katika hiyo idara,kwani moja ya sifa zake huyu bwana ni kuwa na mkanda mweusi wa karate na yuko fiti vibaya katika sanaa ya mapigano na kujilinda.Ni fikra tunduizi tu na kauli yangu sio sheria..
 

Huyu jamaa ni Nyoka siku nyingi sana... alianza u-nyoka kipindi hicho hiyo kazi ilikuwa inaheshimika na kueleweka. sio kama kipindi hiki, ka-binti kakimvulia chupi tu prince, then kesho kanakuwa usalama na kuanza kujitangaza kakiwa saluni...
 
Acheni ajiaachiee kwani ametoka mbali na swahiba wake. Ila mtandao wake ndio hivyo tena dakika za majeruhi.
 
swala zima lililonifanya niulize ni sababu ndugu michuzi anaongozana na raisi kikwete karibu safari zote za ndani hata nje ya nchi, hio ni moja.

La pili, mawakala wengi wa usalama duniani hutumia staili hii ya waandishi wa habari kama 'undercovers'.

so, moja jumlisha mbili ndiyo imezaa swali langu:

Wewe unaleta hoja ya bangi;

mawakala wa usalama wanaotumia waandishi kama undercover ni wale wanaokwenda kwa ajili ya
information collecting mission na attacking mission

sio hii ya michuzi ambayo ipo kwenye protecting mission

na umeshasema undercover hivi unajua maana ya undercover?

Kama ingekuwa ni undercover unafikiri michuzi ungemuona hapo?

Mzee wa watu ni mfanyakazi wa ikulu kama mpiga picha wa ikulu ila sio tiss na ujue si kila mfanyakazi wa ikulu sio tiss
 
kwanini nistake na zote ni kazi:
Nataka kufahamu tu, sababu nimemuona kwenye matukio mengi ya raisi na ziara zake,,hata za ughaibuni:
Lengo ni kufahamu tu,by the way,,,nakubali sana kazi zake za picha pamoja na uchesi na ukarimu wake na jinsi alivyochochea maendeleo ya blogu hapa tanzania.
yeyote aliyekujibu vibaya mfananishe na punguani yeyote yule,michuzi mi mpiga picha wa raisi.
 
Si shangai bwana michuzi kuwa usalama wa taifa daaa!muache ale gudtime kimtindo katoka mbali sana mjomba.....
Namkubali jamaaa maana zamani miaka ya mwanzoni mwa tisini na carina yake ile mda wote ina udongo mwekundu anakuja kutuphotoa family pic zamani kidogo..
Mtu wa mipango yule mutoto ya mujini
ila kikwete ni mtu wa watu sana mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni sijui?
 
Mkuu jaribu kwenda FBI na CIA, utakuta kila mtu anafani yake siyo kusimama tu kama nguzo mpaka watu wanakushtukia kama wewe mpambe wa kiongozi. Kule kwa wenzetu unamwona mchizi anapiga picha unamdharau kumbe yupo mzigoni, kama anavyofanya Michuzi.

Unafikiri kupewa upiga picha wa Ikulu mchezo mchezo, kama rahisi muombee mdogo wako naye apate...
 
Hii picha ni nzuri lakini kuna jamaa baada ya JK halafu nyuma ya huyo jamaa kuna mtu kaaribu hii picha!

attachment.php
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom