Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,338
- 56,039
- Thread starter
- #121
Tatizo ni mizinga mingimingi isiyokuwa na mpangilio maalumu,hadi akiba ya maendeleo nikaanza kuingiliaNikujiangalia tu mwenyewe. Kama mwanaume wanao wanaishi vibaya na unamchepuko ubaotumbua nao hata hupati thawabu.
