Michepuko inafilisi

Michepuko inafilisi

Nikujiangalia tu mwenyewe. Kama mwanaume wanao wanaishi vibaya na unamchepuko ubaotumbua nao hata hupati thawabu.
Tatizo ni mizinga mingimingi isiyokuwa na mpangilio maalumu,hadi akiba ya maendeleo nikaanza kuingilia
 
Niligundua hilo mapema nikaacha nikaona nifanye tu maisha na Mke wangu baada ya kuacha haijapita miaka mingi nikajikuta yale malengo yangu tulopanga na Mke wangu kwa kiac kikubwa yametimia japo kipato changu na cha mwenzangu nichakawaida.
Amini kila kitu kinahitaji ujitoe siku hz nikiona tako nimelitamani kitaaa hacra zote naenda malizia home faida nimeiona kubwa sana kwanza familia inastawi na upendo unaongezeka

Maisha kila mtu anastahili yke lkn michepuko cyo
ha ha ha ha ha
 
Nifate mapenzi kwako nitayapata? Pale ni exchange tu maana hata wewe kilichokuleta kwangu sio mapenzi. Unapata unachohitaji na mimi napata nnachohitaji....deal closed. Siwezi kuwekeza kwenye mapenzi wakati siku yoyote unaweza kuamua kuniacha na kurudi kwa mkeo na mimi ukaniachia v.uzi tu.
Eti...walai vile, ile course ya socialogy imakuharibu
 
Tatizo ni mizinga mingimingi isiyokuwa na mpangilio maalumu,hadi akiba ya maendeleo nikaanza kuingilia
Heshima ya maisha hii haifundishwi shule mzee baba.

Shule tunafundishwa maisha ni nini? Kisha tunajiongeza namna ya kuyaendesha.
 
Mm nimeamua kubaki njia kuuu kabisa, haya mambo yanafilisi kwakweli yaaani wala tusiongopeane mimi kuna watu na wajua wamechokoza haya mambo wanajilaumu sana, unakuta mchepuko anamjua mpaka mke wako na familia yako harafu linawahi kushika mimba ili mgandane
 
Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Tatizo michepuko yako Ni akina mwajuma ndala ndefu ndio shida mdogo wangu badili aina ya mchepuko aisee Kuna michepuko ya maaana aisee ukimiliki mpaka raha
 
Nadhani kuachana nao vizuri,ni mimi kupunguza kuwapigia simu na wao wakipiga nakuwa sipokei au nachelewa kupokea pamoja na kujiweka mbali nao;nadhani nikitumia njia hii watajiongeza.Ila nikikata mawasiliano kwa haraka wanaweza kuniharibia familia.
unaanza kumove mdogo mdogo nayo ni nzuri
 
Mtu anaona ufahari kumbe anazeeka mwili mpaka ubongo
Matokeo yake ni majuto tu hata kwa sisi vijana. Ukishakuwa na mahusiano na watu zaidi ya mmoja ni tatizo baadae japo tunaona ni ufahari na ulijari.
 
Back
Top Bottom