Michael Jackson

Michael Jackson

Uko vizuri Mkuu. Ahsante sana hata mimi hizi chuki kwa huyu bidada nimeshindwa kuzielewa kwa kweli lakini Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake mambo yake yanazidi kumnyokea kila kukicha na kufanya mengi tu katika kusaidia wanafamu wenzake sehemu mbali mbali.

Ujue nn, nikiona mtu anaonewa roho inaniuma sana mkuu, nashindwa kuelewa kwa nn huyu dada wa watu anachukiwa sana na wadada wa Kibongo wakati walipata nafasi kwa sukari ya warembo na wakaichezea, yeye kaitumia vizuri wanammind, hapo ndio wanaponichosha, yaani yaleyale ya King kiba kwa dangotee ,mpumzisheni jamani
 
Mbona pichani ni shangazi wa Mama Sabrina?
hahaaa Mama Sabrina njooo..kwa hiyo mkuu buji buji nae atachambwa...acha kunitisha bwana" kwani mimi kosa langu nini ?? sinihaki yangu jamani kutoa maoni au.....


sasa huyu Michael Jackson si inasemekana kuwa alikufa au aliwekwa msukule maana sio kwa kunyorodoka uso vile aiseee
 
Kwanini Wabongo tunapenda umbeya na kusengenya sengenya?
 
Uko vizuri Mkuu. Ahsante sana hata mimi hizi chuki kwa huyu bidada nimeshindwa kuzielewa kwa kweli lakini Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake mambo yake yanazidi kumnyokea kila kukicha na kufanya mengi tu katika kusaidia wanafamu wenzake sehemu mbali mbali.
Mkuu huyu haya mambo kayakaribisha yeye mwenyewe ..laiti kama alivyokuja tz angeamua kuishi maisha yake pasipo kuwepo na mambo ya madrama drama na kubishana na watu kama kina wema haya wala yasingemkuta"" mbaya zaidi alijiingiza katika mkumbo wakujibizana na watu "" na kujiona kuwa yeye ni bab kubwa "" kuwa kwa domo amefika "" hiko ndio kitu kilichopelekea mpka leo waona watu wanamsema kiasi hiki"" wanawake always hawapendani ..so inapotokea miongoni mwa hao wanawake akajitokeza mmoja wapo akawa anajikweza mnooo"" nakuwaona wnzake kama choose lazima yatamkuta kama haya yanayomkuta huyu mama....
 
hahaaaa hahaa Jana mlivyokuwa mnasema kuwa ni mama yenu mkubwa nilikuwa naona mnampakazia... lakini leo na mimi nasema yule ni bibi yenu aiseee...keshapita umri wakuwa mama yenu mkubwa ""Raynavero
Hahahaaaa!ndo wa kushindana na missa huyuuu!!!!si anamzaa kabisaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom