Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Kaonekana huko Kenya kwa mara ya kwanza
MichaelJacksonhuyu ni bibi yake nani ?
Heheheheeh eti ooh zari ana watoto 5 yupo vile vile wanadanganya na pichaJamani umri ukigonga hata fashion fair haidanganyi
Steve we ni rafiki yangu naomba usinichambeeUmasikini wa fikra na kipato ni mbaya sana
Steve we ni rafiki yangu naomba usinichambee
Steve haya ,ambo tuachie sie tu,,umri umeenda steve wala hatumchukiiUjue nn, nikiona mtu anaonewa roho inaniuma sana mkuu, nashindwa kuelewa kwa nn huyu dada wa watu anachukiwa sana na wadada wa Kibongo wakati walipata nafasi kwa sukari ya warembo na wakaichezea, yeye kaitumia vizuri wanammind, hapo ndio wanaponichosha, yaani yaleyale ya King kiba kwa dangotee ,mpumzisheni jamani
Mama Sabrina Bwana! Nimekuja Na Kasi Ya 5G Kumuona Legendary Wangu In The Blink Of An Eye Nakutana Na Hichi Kibibi Kinshupau. .Kaonekana huko Kenya kwa mara ya kwanzaView attachment 773039
Hahahahaha heading inatakiwa ivutie bana ili mjeMama Sabrina Bwana! Nimekuja Na Kasi Ya 5G Kumuona Legendary Wangu In The Blink Of An Eye Nakutana Na Hichi Kibibi Kinshupau. .
BTW, Unajua Kuenda Na Wakati.
Wala picha haijapigwa vibaya ndivyo alivyo achana na zile wanamueditPicha ikipigwa vizuri, perfect angle, brightness, exposure, focus hata Pinda hua handsome.
Hatumchukii jamani tunakula ubuyu tu.Ujue nn, nikiona mtu anaonewa roho inaniuma sana mkuu, nashindwa kuelewa kwa nn huyu dada wa watu anachukiwa sana na wadada wa Kibongo wakati walipata nafasi kwa sukari ya warembo na wakaichezea, yeye kaitumia vizuri wanammind, hapo ndio wanaponichosha, yaani yaleyale ya King kiba kwa dangotee ,mpumzisheni jamani
True.Picha ikipigwa vizuri, perfect angle, brightness, exposure, focus hata Pinda hua handsome.