Michael Jackson

Michael Jackson

Usidanganywe na maneno na picha za ajabu za mitandaoni.
Huyu kama zisingekuwa pesa, saizi angekuwa bi Chau.
Achana na blaa blaa za mitandaoni.
Weka uhalisia.

Watu wanamsifia kwa kuwa kuna teams zinazoshindana.
bi chau "" haaha
 
mkuu akienda kufanya surgery"" hata madoctor watamtoa mbio unataka akaharibu machine za watu nini mkuu"" zile machine ni za garama aisee
Ahahahahahahah ngoja uambiwe lowlife na bosslady wa jf
 
hahaaaa hahaa Jana mlivyokuwa mnasema kuwa ni mama yenu mkubwa nilikuwa naona mnampakazia... lakini leo na mimi nasema yule ni bibi yenu aiseee...keshapita umri wakuwa mama yenu mkubwa ""Raynavero
Hahahahhahahahahahah nakojoaaaaaaaaaaa hatimae umekubaliana na mimi mi sisemagi uongo Hearly
Ni bibi yetu yule mwanae wa kwanza nalingana nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom