Michael Jackson

Michael Jackson

Title imenikera kama shabiki nambari moja wa Michael jackson.

Michael alikuwa na skin condition inaitwa vitiligo, hakupenda kuwa vile kuishi kwa kupaka make up na kuchubua ngozi yake ifanane mwili mzima
 
Kama michael jackson asingekuwa anafanya make-up na kufanya ngozi yake ifanane basi angekuwa kama huyu dada..

Huu ni ugonjwa mmbaya sana sidhani kama kuna superstar yeyote duniani angeweza kuvumilia ili hali kazi yake ni kutumbuiza mbele ya mamilioni ya watu.

Kwa bahati mbaya wengi hawajui kuwa Michael alikuwa na vitiligo
images.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom