Michael Jackson

Michael Jackson

Sasa watoto 5 lakini mnalazimisha awe msichana!
Age imekwenda kwa mwanamke.

Atulie tu ale alale na wanaye.

Japokuwa kakoleza na Make up lakini sura yajionesha live kama kazeeka.
Kuna watu walikuwa wanataka kutuaminisha eti mzuri sana pamoja na kuzaa timu ya basket,kumbe zile picha zinaeditiwa
 
Ujue nn, nikiona mtu anaonewa roho inaniuma sana mkuu, nashindwa kuelewa kwa nn huyu dada wa watu anachukiwa sana na wadada wa Kibongo wakati walipata nafasi kwa sukari ya warembo na wakaichezea, yeye kaitumia vizuri wanammind, hapo ndio wanaponichosha, yaani yaleyale ya King kiba kwa dangotee ,mpumzisheni jamani
Ukiamua kuweka maisha yako in public ukubali yatazamwe in 3D.
 
Ujue nn, nikiona mtu anaonewa roho inaniuma sana mkuu, nashindwa kuelewa kwa nn huyu dada wa watu anachukiwa sana na wadada wa Kibongo wakati walipata nafasi kwa sukari ya warembo na wakaichezea, yeye kaitumia vizuri wanammind, hapo ndio wanaponichosha, yaani yaleyale ya King kiba kwa dangotee ,mpumzisheni jamani
Umesema kweli somo inaumiza sana.
 
Kuna watu walikuwa wanataka kutuaminisha eti mzuri sana pamoja na kuzaa timu ya basket,kumbe zile picha zinaeditiwa
Usidanganywe na maneno na picha za ajabu za mitandaoni.
Huyu kama zisingekuwa pesa, saizi angekuwa bi Chau.
Achana na blaa blaa za mitandaoni.
Weka uhalisia.

Watu wanamsifia kwa kuwa kuna teams zinazoshindana.
 
Usidanganywe na maneno na picha za ajabu za mitandaoni.
Huyu kama zisingekuwa pesa, saizi angekuwa bi Chau.
Achana na blaa blaa za mitandaoni.
Weka uhalisia.

Watu wanamsifia kwa kuwa kuna teams zinazoshindana.
Hajapishana sana na Bi Sandra
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom