Michael Jackson

Michael Jackson

Uko vizuri Mkuu. Ahsante sana hata mimi hizi chuki kwa huyu bidada nimeshindwa kuzielewa kwa kweli lakini Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake mambo yake yanazidi kumnyokea kila kukicha na kufanya mengi tu katika kusaidia wanafamu wenzake sehemu mbali mbali.
kaka watu wanafurahisha baraza hapa!siku ziende!
Hatumchukii sie!
Twampenda sema umaarufu ni mzigo
 
Uko vizuri Mkuu. Ahsante sana hata mimi hizi chuki kwa huyu bidada nimeshindwa kuzielewa kwa kweli lakini Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake mambo yake yanazidi kumnyokea kila kukicha na kufanya mengi tu katika kusaidia wanafamu wenzake sehemu mbali mbali.

Hawa watu mkuu wanakera sana, Halafu Kina Kiba n'a AY wakioa nje ya nchi povu linawatoka,mwenzao anazidi kutusua wao wanaendelea kusugua kwa majungu yao
 
Uko vizuri Mkuu. Ahsante sana hata mimi hizi chuki kwa huyu bidada nimeshindwa kuzielewa kwa kweli lakini Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake mambo yake yanazidi kumnyokea kila kukicha na kufanya mengi tu katika kusaidia wanafamu wenzake sehemu mbali mbali.
Hatumchukiii umaarufu shida Bak
 
Mkuu huyu haya mambo kayakaribisha yeye mwenyewe ..laiti kama alivyokuja tz angeamua kuishi maisha yake pasipo kuwepo na mambo ya madrama drama na kubishana na watu kama kina wema haya wala yasingemkuta"" mbaya zaidi alijiingiza katika mkumbo wakujibizana na watu "" na kujiona kuwa yeye ni bab kubwa "" kuwa kwa domo amefika "" hiko ndio kitu kilichopelekea mpka leo waona watu wanamsema kiasi hiki"" wanawake always hawapendani ..so inapotokea miongoni mwa hao wanawake akajitokeza mmoja wapo akawa anajikweza mnooo"" nakuwaona wnzake kama choose lazima yatamkuta kama haya yanayomkuta huyu mama....
Hearly nakojooooooaaaaaaaaaaaaaa
 
dah wabongo noma,hadi anatia huruma huyo mdada,mmama,..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom