Mdogo wake zari hahahaha ukute anamuonaga insta tu kuna watu wanajua kujipendekeza![]()
Ali Kiba ndiye anapenda kukaa nyuma kiasi ameoa Mambassa. Mimi sipendi kuwa nyuma ya mtuJifanye kiburi
Hupendi nini wakati kila niendako upo nyuma
Ahhahahahaah kumbeeKama michael jackson asingekuwa anafanya make-up na kufanya ngozi yake ifanane basi angekuwa kama huyu dada..
Huu ni ugonjwa mmbaya sana sidhani kama kuna superstar yeyote duniani angeweza kuvumilia ili hali kazi yake ni kutumbuiza mbele ya mamilioni ya watu.
Kwa bahati mbaya wengi hawajui kuwa Michael alikuwa na vitiligoView attachment 773346
Sawa boss lady wa jfAm here bana ila leo sitaki kukosa home sweet home likes tamu kuliko kulumbana na lowlife kama mleta mada
Ahsante Kwa Darasa Mkuu. MJ Wanamuonea Sana Kwenye Suala La Ngozi.Kama michael jackson asingekuwa anafanya make-up na kufanya ngozi yake ifanane basi angekuwa kama huyu dada..
Huu ni ugonjwa mmbaya sana sidhani kama kuna superstar yeyote duniani angeweza kuvumilia ili hali kazi yake ni kutumbuiza mbele ya mamilioni ya watu.
Kwa bahati mbaya wengi hawajui kuwa Michael alikuwa na vitiligoView attachment 773346


TrueKazeeka maskini bi tukinao. Safari hii akipata bwana atulizane maana keshaanza kuzeeka menopause inagonga hodi
hahaa. acha basiiiiiii huyu siye yeye bwanaaaaa...hahaaa manina wallahi mbona kama Michael Jackson ...kafufuka au??Kaonekana huko Kenya kwa mara ya kwanzaView attachment 773039
hahaaa yaani mpaka make up ...imeandamana chaaaaa""!!!MichaelJackson
hahaaa""huyu ni bibi yake nani ?
ha haha hahaaPicha ikipigwa vizuri, perfect angle, brightness, exposure, focus hata Pinda hua handsome.