Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
- Thread starter
- #41
Hahahaha Mwanyasi i like youYou are so intelligent, stay blessed
Hahahaha Mwanyasi i like youYou are so intelligent, stay blessed
@warumi kasema anataka akawe haousegirl kwa zari ili awe anatupa umbea woteeKwa Kweli!
Nasikia Kaongwa Gari Saivi.
Warumi Yuko Wapi Atupe Mkanda Mzima
Maana Alisema Ni Beki Tatu Wake Huko Bondeni.
Cc Warumi.
Ekzaktile!Ukiamua kuweka maisha yako in public ukubali yatazamwe in 3D.
wivu.Ujue nn, nikiona mtu anaonewa roho inaniuma sana mkuu, nashindwa kuelewa kwa nn huyu dada wa watu anachukiwa sana na wadada wa Kibongo wakati walipata nafasi kwa sukari ya warembo na wakaichezea, yeye kaitumia vizuri wanammind, hapo ndio wanaponichosha, yaani yaleyale ya King kiba kwa dangotee ,mpumzisheni jamani
Nimependa ulivowasilisha onyo lako! Japo hakutaka ku-stay away!Hahahaha Mwanyasi i like you
Kaonekana huko Kenya kwa mara ya kwanzaView attachment 773039

kumbe na Sanaa unaiweza!Unamuona kadogo jamani nilikua napata mawazo na huu ubonge wangu kumbe na yeye kibonge
Ahhahahaha wengine huwa wananichamba Mwanyasi sasa siku hzi nimechokaa sanaNimependa ulivowasilisha onyo lako! Japo hakutaka ku-stay away!


naomba po mapemaNaiweza niunganishe basiNimeamka na kicheko kwa kweli.. et MJ kaonena hko Kenyakumbe na Sanaa unaiweza!







si unaona nimekufanya asubuhi yako iwe nzuriHahahaha comment zako asuhukuriwe alie juu kwa kuzeeka
Kaonekana huko Kenya kwa mara ya kwanzaView attachment 773039
AhahahahahahahahBasi jamani duh,haya maneno mwishowe yatamfanya mtu akimbilie kwenye plastic surgery buree,yawezekana alikuwa hajanywa chai...
Kupokea gari lake? Ngoja Numbisa atupe ukweliKaonekana huko Kenya kwa mara ya kwanzaView attachment 773039
Kujichubuaa n kujipodoa sana!
!
Ana Speed Kubwa Sana Ya Kuzeeka Huyu Mtu, Why?
Mdogo wake zari hahahaha ukute anamuonaga insta tu kuna watu wanajua kujipendekeza







Utaambiwa lowlife kisa kusema ukweli mwenzio anapiga picha hadi na majagi anatudanganya ya dhahabu!
!
Huyu Ni Mshamba Mno Basi Tu



