Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
- Thread starter
- #61
Leta ukweli. Mbona hujaanzisha uzi, unasubiri kwanza waongo tuje?we jamaa muongo sana
a
Leta ukweli. Mbona hujaanzisha uzi, unasubiri kwanza waongo tuje?we jamaa muongo sana
a
Ni ukweli ambao uko wazi siku nyingi, labda ulikuwa hujaujua tu. Ni hivi: forex ni kama kamari nyingine zote eg bahati nasibu, betting nk. Kuna wanaopata, japo wachache, na wengi ndiyo wanaopoteza. Maelezo yooote uliyotoa ni mambo ambayo mcheza kamari yeyote anatakiwa kuzingatia.Niseme tu ukweli, upepo wa Forex ulivoingia Tanzania na mimi sikuwa nyuma. Nilijitoa na mimi kimasomaso kuisaka fursa.
Hayupo mzee, labda kama anatumia id nyingine!Najua mkuu ONTARIO upo.Unaitwa uku kwenye uzi wa yale mambo yenu
Mkuu hivi bangi na mirungi mvua isiponyesha vinastawi?Kwa msingi huo, hivi kuna tofauti ya msingi kati ya Forex na Betting katika kuvuna na kuliwa pesa? Maana kote huko naona Odds, analysis, kuvuna na kuliwa.
Pamoja na ujanja wangu wote wa kimaisha, mpaka leo hii sijawahi kucheza bahati nasibu, Kamari, Kubet wala Forex. Hivyo vitu ninaviogopa kama ukoma. Yaani ni bora nikalime bangi (maana kwetu ni mboga ya asili) au mirungi, maana najua nitavuna tu!
Mkuu fanya hii statement iwe signature yako kwenye jf. 😀 😀 😀 😀Ontario akamatwe afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini tena katikat ya bahari
Huwezi kuwa na risk to reward ratio ya namna hiyo labda kama hufuati risk management.Ukiwa na account ya usd 20000 unaweza ukatengeneza faida ya usd 3000 within a day depending a pair volatility and experience. Lakini pia unaweza kutengeneza loss ya usd 3000 hiyo hiyo. Hapo ndio fx utaiona mavi.
Why mkuu.,?Mkuu fanya hii statement iwe signature yako kwenye jf.
Kwenye nyuzi nyingi za forex huwa naona sana hii statement!Why mkuu.,?
Yaani huyo jamaa akamatwe afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini tena katikat ya bahari.. pumbavu sana huyo jamaa..Kwenye nyuzi nyingi za forex huwa naona sana hii statement!
Jambo usilolijua...........Kwa msingi huo, hivi kuna tofauti ya msingi kati ya Forex na Betting katika kuvuna na kuliwa pesa? Maana kote huko naona Odds, analysis, kuvuna na kuliwa.
Pamoja na ujanja wangu wote wa kimaisha, mpaka leo hii sijawahi kucheza bahati nasibu, Kamari, Kubet wala Forex. Hivyo vitu ninaviogopa kama ukoma. Yaani ni bora nikalime bangi (maana kwetu ni mboga ya asili) au mirungi, maana najua nitavuna tu!
Boss next time hii gemu usililete tena hapa JFNani atapigwa mkuu? unadhani nimeleta huu uzi kuwatapeli watu?
Just refer point namba tatu na namba mbili 'Self learning is the key'
Tujaribu wakati mwingine kuwa positive kidogo. Kama upo hapa JF na negative mind utakuwa discouraged sana maana utapinga kila kitu, vitu vingine ambavyo hata havikuhitaji kupinga.
Great thinkers huwa hatupingi, bali tunatoa mawazo mbadala. Au kama unapinga, pinga kwa kuleta hoja.
AyaLeta ukweli. Mbona hujaanzisha uzi, unasubiri kwanza waongo tuje?
Hahahaha yupo anahangaika na YouTube chanel uko now mara kuna tittle anasema Sijui Jinsi alivyopata Million 100 akiwa na miaka 22, Jamaa alikusanya kijiji humu at some point alifungua watu ila pia smart mana mtu anaekupanga ukajaa jua kakuzidi ata uwezo wa kufikiriOntario akamatwe afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini tena katikat ya bahari
Nataka kujua hiyo miaka3 kwenye kusoma huo mchezo mtu anakuwa ametumia kama sh ngapi?Uliyoyaeleza wenzako wa kudownload hela wanayaelezaga Mara nyingi
Mnajaza sever za jf
Miaka mitatu biashara unaisoma biashara ?
Ni kweli kabisa huyu chalii alikusanya kijiji wakiwemo wazee Babu, Bibi, Baba na Mama zetu ambao hawana A wala Ba kwenye mambo ya online financial market na hakuthubutu kuwaita angalau chemba awafafanulie vizuri wajipime kama wanaweza au hawawezi na mwisho wa siku wakapoteza hela zao walizopigania miaka mingiHahahaha yupo anahangaika na YouTube chanel uko now mara kuna tittle anasema Sijui Jinsi alivyopata Million 100 akiwa na miaka 22, Jamaa alikusanya kijiji humu at some point alifungua watu ila pia smart mana mtu anaekupanga ukajaa jua kakuzidi ata uwezo wa kufikiri
Ndio mana nimemuita Jamaa ni Smart na exposure aliyonayo ni Kubwa.Ni kweli kabisa huyu chalii alikusanya kijiji wakiwemo wazee Babu, Bibi, Baba na Mama zetu ambao hawana A wala Ba kwenye mambo ya online financial market na hakuthubutu kuwaita angalau chemba awafafanulie vizuri wajipime kama wanaweza au hawawezi na mwisho wa siku wakapoteza hela zao walizopigania miaka mingi
Angalau vijana wakipoteza hata kutapeliwa inakuwa sehemu ya somo, ila pension ya mzee, hii ni dhambi kubwa
Pamoja na yote haya, jamaa namkubali kwa kitu kimoja tu ambacho ni kikubwa, UJASIRI WA KUTHUBUTU!
Chalii yule ana uthubutu ambao vijana wengi hatuna na bila uthubutu mafanikio ni ndoto.
Fikiria kajamaa kalikodisha wasaouth, kakakodisha Jangid Plaza ghorofani, kakaanza kuzunguka na mikoni, mkoa wa kwanza, wa pili, watatu halafu kakaandaa batch ya kwanza, ya pili, ya tatu nk....
Akaenda FNB akawapiga kiswahili wakaingia king! Watu baada ya training wakamiminika kwenda kufungua account, waka deposit $100 nakuendelea huku bank wanatazama tu ongezeko la ghafla la wateja waliopelekwa na Ontario
Watu baada ya $mia mia zao kutozaa matunda wakatelekeza account zao za FNB, baada ya mwaka zikawa domant! Mara ghafla account zilizofunguliwa ghafla zikawa domant ghafla!
Huyu jamaa namkubali hapo tu kwenye ujasiri
Hata kina Moo sio kwamba katika biashara zao hamna mahali walifanya dhuluma, hii michezo ipo.
Kajamaa kalijikusanyia mamilioni kibwelele kabisa halafu wakacheza igizo na washikaji zake wasaouth tukajua story itaishia pale. Cha ajabu, hadi leo bado ana kijiji huko instagram na amekihamishia Youtube