Miaka mitatu ya jasho kwenye Forex na ukweli mchungu niliojifunza, still 'GAME ON'!

Kwa msingi huo, hivi kuna tofauti ya msingi kati ya Forex na Betting katika kuvuna na kuliwa pesa? Maana kote huko naona Odds, analysis, kuvuna na kuliwa.

Pamoja na ujanja wangu wote wa kimaisha, mpaka leo hii sijawahi kucheza bahati nasibu, Kamari, Kubet wala Forex. Hivyo vitu ninaviogopa kama ukoma. Yaani ni bora nikalime bangi (maana kwetu ni mboga ya asili) au mirungi, maana najua nitavuna tu!
 
Kwa msingi huo, hivi kuna tofauti ya msingi kati ya Forex na Betting katika kuvuna na kuliwa pesa? Maana kote huko naona Odds, analysis, kuvuna na kuliwa.

Pamoja na ujanja wangu wote wa kimaisha, mpaka leo hii sijawahi kucheza bahati nasibu, Kamari, Kubet wala Forex. Hivyo vitu ninaviogopa kama ukoma. Yaani ni bora nikalime bangi (maana kwetu ni mboga ya asili) au mirungi, maana najua nitavuna tu!
Uko sahihi 100%
 
Hujui kitu ww bado mweupe sana....!!?
watu tupo kwenye fx mwaka wa 13
mm sio bingwa na wala sijui bado hiyo fx
but my strategy ni kufanya analysis na ku-control losses cheza na lot size.....
kwa mfano kama una account ya usd 5000
cheza na lot size ya 0.10,0.20, na 0.30 ukiona loss imeenda beyond 150usd close hiyo trade......
then angalia opportunity zingine.....
Naona unajigamba kwa ukongwe wako wa miaka 13. Ila usitudharau na sisi juniors, kumbuka kwenye hii biashara 'numbers' ndo zina matter, utakuwa umenielewa.

Hapo kwenye strategy upo sahihi, kila mtu ambaye anadumu kwenye hii biashara mwisho wa siku huishia kuwa na strategy ambayo anaona itamsaidia. (Ni muhimu sana kuwa na strategy)
 
Haya Sasa Kumekucha!!! Amkeni
Atalia Mtu Sasa Hivi
Nani atapigwa mkuu? unadhani nimeleta huu uzi kuwatapeli watu?

Just refer point namba tatu na namba mbili 'Self learning is the key'

Tujaribu wakati mwingine kuwa positive kidogo. Kama upo hapa JF na negative mind utakuwa discouraged sana maana utapinga kila kitu, vitu vingine ambavyo hata havikuhitaji kupinga.

Great thinkers huwa hatupingi, bali tunatoa mawazo mbadala. Au kama unapinga, pinga kwa kuleta hoja.
 
59 Reactions
Reply
Back
Top Bottom