Miaka kumi tangu kuhitimu shahada ya kwanza

Miaka kumi tangu kuhitimu shahada ya kwanza

Kibongo bongo umetusua but in reality umechelewa......!!?
miaka yote kumi umepata hivyo tu daah.....
what a westage of time.....
waungwana msinielewe vibaya ni mtazamo tu
Mimi mwenyewe nimemuona hivyo hivyo.Anabangaiza zaidi badala ya kumake
 
Tangu kuhitimu degree ya kwanza huu ni mwaka wa kumi sasa na haya ndiyo nimeyafanikisha mpaka Leo hii.

Nimepata mke na watoto wawili

Nimeongeza elimu

Nimejenga jijini DSM nyumba ya familia iliyogharimu m75, kiwanja na ujenzi.

Nina kiwanja kimoja sqm 1250, kiligharimu m15

Nina usafiri kurahisisha mizunguko/uligharimu m13.

Nimeajiriwa serikalini

Nina kibanda cha mobile money kinaniiingizia kilo6 hivi.

Nina mikopo benki


Matamanio yangu zaidi
Kuwa na biashara zangu binafsi/kujiajiri/kuajiri ndani ya miaka 5

Kuongeza nyumba 2-3 ndani ya miaka 10.

Kumfungulia mzee wangu biashara ya kumuingizia kipato cha kila siku. Ndani ya miaka 2.

Mungu anipe uhai kutimiza haya yote.

Maisha ni matamanio, mipango, utafutaji na utekelezaji.
Mungu akuongoze utimize malengo yako
 
Miaka yangu 7 toka nihitim degree namiliki
1. Pair 2 za viatu (vyote vyeusi)
2. Suruali 5 na shati 7.
2. Mke mmoja na watoto kadhaa.
4. Samsung galaxy grand prime +
5. Kuku 8 jogoo 1
6. Banda la chumba sebule chumba
7.TIN number ila sina biashara
8. Account 0 balance Nmb & Crdb
9. Laptop ya lenovo
10. Ndugu jamaa na marafiki ikiwemo wa jamii forum.

Ahsanten.
 
Miaka yangu 7 toka nihitim degree namiliki
1. Pair 2 za viatu (vyote vyeusi)
2. Suruali 5 na shati 7.
2. Mke mmoja na watoto kadhaa.
4. Samsung galaxy grand prime +
5. Kuku 8 jogoo 1
6. Banda la chumba sebule chumba
7.TIN number ila sina biashara
8. Account 0 balance Nmb & Crdb
9. Laptop ya lenovo
10. Ndugu jamaa na marafiki ikiwemo wa jamii forum.

Ahsanten.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
 
Watu watakuona kama vile una wivu kwa hili swali lako mkuu.

Mimi ninaye classmate mate wangu wa chuo amemaliza miaka kumi kama huyu jamaa na ana pesa nyingi sana ila hawezi kuandika humu JF mafanikio yake. Tena ni member maarufu sana.
Humu ndani bwana kuna watu wana mshiko mpana hatar sema ndio hivyo...kama ulivyosema...wanaishia kuburudika tu humu.Na wengine unakuta wana act ukatuni katuni humu majukwaan ila they totally different in real life
 
USHAURI
Usipende kuelezea mafanikio yako katikati ya watu wenye matatizo/njaa. Sio tu utarogwa lakini pia mtu akikuangalia kwa jicho la husuda/ kukuwazia kwa roho ya kwanini tu ni uchawi tosha na inaweza kukurudisha nyuma. Kuna watu humu ndani wakiamua kuelezea mafanikio yao miaka 3 baada ya kumaliza chuo utashangaa sana na hata kujidharau.

Nakukumbusha mafanikio ni yako mwenyewe na familia yako huna haja ya kuwaelezea watu hapa maana haitakusaidia chochote zaidi ya kujitafsirisha tofauti mbele ya wengine. Ni ushauri tu unaweza kuubeba au kuuacha pia.
Umeandika kwa busara sana mkuu
 
Humu ndani bwana kuna watu wana mshiko mpana hatar sema ndio hivyo...kama ulivyosema...wanaishia kuburudika tu humu.Na wengine unakuta wana act ukatuni katuni humu majukwaan ila they totally different in real life
Kuna jamaa 4 rika langu tu nilifahamiana nao kupitia humu humu JF wakanikaribisha mpaka majumbani mwao. Siwezi kueleza maisha yao humu kwa maana sio tabia njema ila mzee baa kuna watu wana hela nyingi sana aisee.
 
Kibongo bongo umetusua but in reality umechelewa......!!?
miaka yote kumi umepata hivyo tu daah.....
what a westage of time.....
waungwana msinielewe vibaya ni mtazamo tu
Inaeleweka JF lazima hata jambo zuri litolewe kasoro.
 
75 millioni ujenzi bado tena kiwanja cha 15 million plus usafiri 13 million still bado kuna watu wanabwata eti kiduchu..
 
Tukusaidie nn, tumeshajua una miliki ivo vitu.

Guess utakuwa Muhaya wewe
 
Story yako inatufundisha nn?
Watu wako na wivu tena wa kijinga! Kufanikiwa kwa mtu, wengine inawauma, kwa sababu maisha yamewapiga, they are not even happy to witness others success. Such people are jealous, stressed and desperate! Mtu ako anashare mafanikio yake, badala tumpongeze tunamzodoa ooh mara kaja kutulingishia, we black skins nani aliiba bongo zetu? Mleta maada anatoa hamasa kwa wengine kupambana na mwisho wa siku tuishi maisha bora ya ndoto zetu, lakini cha ajabu tunatumia nguvu kubwaa kuwavunja moyo waliofanikiwa bora nguvu hiyo tuitumie kufanya kazi kubadili maisha yetu, kwa mfano mtu akileta ushuhuda li v8 lake lilivyomtesa barabarani, watu watatoa negative comments adi mleta mada ataombe poo! Jamani ndugu zangu tuko na maisha magumu sawa, ila tusisahau kuwa wapo wenzetu hawagangi njaa na wao ni sehemu ya jamii yetu. We must appreciate and to be inspired with them, tuwafanye kuwa role model wetu and then life can be simple.
 
Na pia angetueleza anafanya kazi gani ili tupime kama anayosema yanalingana na mshahara wake.
Kuna jamaa 4 rika langu tu nilifahamiana nao kupitia humu humu JF wakanikaribisha mpaka majumbani mwao. Siwezi kueleza maisha yao humu kwa maana sio tabia njema ila mzee baa kuna watu wana hela nyingi sana aisee.
Huyo rafiki yako anajielewa ndio maana ajataka kuelezea hivyo vitu humu muda wa kuwa impress watu ulishapita ni utoto.
Watu wako na wivu tena wa kijinga! Kufanikiwa kwa mtu, wengine inawauma, kwa sababu maisha yamewapiga, they are not even happy to witness others success. Such people are jealous, stressed and desperate! Mtu ako anashare mafanikio yake, badala tumpongeze tunamzodoa ooh mara kaja kutulingishia, we black skins nani aliiba bongo zetu? Mleta maada anatoa hamasa kwa wengine kupambana na mwisho wa siku tuishi maisha bora ya ndoto zetu, lakini cha ajabu tunatumia nguvu kubwaa kuwavunja moyo waliofanikiwa bora nguvu hiyo tuitumie kufanya kazi kubadili maisha yetu, kwa mfano mtu akileta ushuhuda li v8 lake lilivyomtesa barabarani, watu watatoa negative comments adi mleta mada ataombe poo! Jamani ndugu zangu tuko na maisha magumu sawa, ila tusisahau kuwa wapo wenzetu hawagangi njaa na wao ni sehemu ya jamii yetu. We must appreciate and to be inspired with them, tuwafanye kuwa role model wetu and then life can be simple.
Huwa sipendagi show off sometimes huwa unawakatisha watu tamaa badala ya kuwainspire.
 
Back
Top Bottom