Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,807
Mkuu, hayo ni mafanikio yako peke ako au umepiga mande na mke wako.. If so, mafanikio yako as an individual, ni nusu ya hayo.
Tangu kuhitimu degree ya kwanza huu ni mwaka wa kumi sasa na haya ndiyo nimeyafanikisha mpaka Leo hii.
Nimepata mke na watoto wawili
Nimeongeza elimu
Nimejenga jijini DSM nyumba ya familia iliyogharimu m75, kiwanja na ujenzi.
Nina kiwanja kimoja sqm 1250, kiligharimu m15
Nina usafiri kurahisisha mizunguko/uligharimu m13.
Nimeajiriwa serikalini
Nina kibanda cha mobile money kinaniiingizia kilo6 hivi.
Nina mikopo benki
Matamanio yangu zaidi
Kuwa na biashara zangu binafsi/kujiajiri/kuajiri ndani ya miaka 5
Kuongeza nyumba 2-3 ndani ya miaka 10.
Kumfungulia mzee wangu biashara ya kumuingizia kipato cha kila siku. Ndani ya miaka 2.
Mungu anipe uhai kutimiza haya yote.
Maisha ni matamanio, mipango, utafutaji na utekelezaji.
Daaaaaaaaah [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Mimi ni mwaka wa saba sasa tangu nimalize pale MU chini ya binamungu lakini sina kitu zaidi ya nguo zangu. Haya maisha bana.
We jamaa mtata sana. Kweli kuna probability kuwa no mafanikio ya familia na siyo yake as individual.Mkuu, hayo ni mafanikio yako peke ako au umepiga mande na mke wako.. If so, mafanikio yako as an individual, ni nusu ya hayo.
Usisahau kujenga kule kwenu MAGO sio mnaacha magofuu tu na vizee hata chai haviijuiTangu kuhitimu degree ya kwanza huu ni mwaka wa kumi sasa na haya ndiyo nimeyafanikisha mpaka Leo hii.
Nimepata mke na watoto wawili
Nimeongeza elimu
Nimejenga jijini DSM nyumba ya familia iliyogharimu m75, kiwanja na ujenzi.
Nina kiwanja kimoja sqm 1250, kiligharimu m15
Nina usafiri kurahisisha mizunguko/uligharimu m13.
Nimeajiriwa serikalini
Nina kibanda cha mobile money kinaniiingizia kilo6 hivi.
Nina mikopo benki
Matamanio yangu zaidi
Kuwa na biashara zangu binafsi/kujiajiri/kuajiri ndani ya miaka 5
Kuongeza nyumba 2-3 ndani ya miaka 10.
Kumfungulia mzee wangu biashara ya kumuingizia kipato cha kila siku. Ndani ya miaka 2.
Mungu anipe uhai kutimiza haya yote.
Maisha ni matamanio, mipango, utafutaji na utekelezaji.
Dah!.. haya maisha haya...Mungu atusaidie sana.Sema umetutambia sana mzee, upo kama mshakaji wangu mmoja yupo wizara ya afya siku tunaonana nae akawa anaongelea mafanikio aliyopata tu, me hapo nna buku ya boda tu.
Kwaio ukimaliza chuo unatakiwa uajiriwe na serikali?Na wenzako waliomaliza degree zao 2015 mpk sasa wana miaka 5 mtaani na serikali sikivu ya JPM haina mpango nao wowote zaidi ya kujenga miradi tu.
So kwa sasa wana 5 years of experience ya kukaa kitaa na ku-bet ma bus yatakayowahi kufika stand.
Binamungu vipi vimeo ume clear law school?Mimi ni mwaka wa saba sasa tangu nimalize pale MU chini ya binamungu lakini sina kitu zaidi ya nguo zangu. Haya maisha bana.
hongera mkuu; wengine tulipata gari baada ya miaka 12 kumaliza degree ya kwanza. Mpaka leo tupo nyumba ya kupanga, Kiwanja cha kwanza nategemea kukipata miaka 5 ijayo. Sijaoa kwa vile ni Padre wa kilokoleTangu kuhitimu degree ya kwanza huu ni mwaka wa kumi sasa na haya ndiyo nimeyafanikisha mpaka Leo hii.
Nimepata mke na watoto wawili
Nimeongeza elimu
Nimejenga jijini DSM nyumba ya familia iliyogharimu m75, kiwanja na ujenzi.
Nina kiwanja kimoja sqm 1250, kiligharimu m15
Nina usafiri kurahisisha mizunguko/uligharimu m13.
Nimeajiriwa serikalini
Nina kibanda cha mobile money kinaniiingizia kilo6 hivi.
Nina mikopo benki
Matamanio yangu zaidi
Kuwa na biashara zangu binafsi/kujiajiri/kuajiri ndani ya miaka 5
Kuongeza nyumba 2-3 ndani ya miaka 10.
Kumfungulia mzee wangu biashara ya kumuingizia kipato cha kila siku. Ndani ya miaka 2.
Mungu anipe uhai kutimiza haya yote.
Maisha ni matamanio, mipango, utafutaji na utekelezaji.
Kitambo sana mzee, unamjua nini?Binamungu vipi vimeo ume clear law school?
Kuna kitabu chake cha legal method kama sijakosea nilikinunuaga enzi hizo kwaio ulivyomtaja na ukasema MU nikaunganisha dots...kuna mwanangu mmoja nae alipiga huko MU alikua anaelezeaga uduanzi wakeKitambo sana mzee, unamjua nini?
Tuone ata kapicha kahiyo nyumba, maana desturi ya mswahili hasemi nyumba huwa tunasema kibanda sasa ww una nyumba inamaana ni kubwa zaidi ya Simba wa MadaleTangu kuhitimu degree ya kwanza huu ni mwaka wa kumi sasa na haya ndiyo nimeyafanikisha mpaka Leo hii.
Nimepata mke na watoto wawili
Nimeongeza elimu
Nimejenga jijini DSM nyumba ya familia iliyogharimu m75, kiwanja na ujenzi.
Nina kiwanja kimoja sqm 1250, kiligharimu m15
Nina usafiri kurahisisha mizunguko/uligharimu m13.
Nimeajiriwa serikalini
Nina kibanda cha mobile money kinaniiingizia kilo6 hivi.
Nina mikopo benki
Matamanio yangu zaidi
Kuwa na biashara zangu binafsi/kujiajiri/kuajiri ndani ya miaka 5
Kuongeza nyumba 2-3 ndani ya miaka 10.
Kumfungulia mzee wangu biashara ya kumuingizia kipato cha kila siku. Ndani ya miaka 2.
Mungu anipe uhai kutimiza haya yote.
Maisha ni matamanio, mipango, utafutaji na utekelezaji.
Yule ni kati ya maprofesa wakubwa wa sheria hapa Tz, sema ( with no prejudice) nadhani hawataki kuwepo na watu wenye uwezo wao, I mean they want to be dominant forever. Anyway Bina ni mwamba.Kuna kitabu chake cha legal method kama sijakosea nilikinunuaga enzi hizo kwaio ulivyomtaja na ukasema MU nikaunganisha dots...kuna mwanangu mmoja nae alipiga huko MU alikua anaelezeaga uduanzi wake
Kwaio ukimaliza chuo unatakiwa uajiriwe na serikali?
Umefanya Mengi sana mazuri yakutamanisha macho! Ila umesahau kuwa Mungu ndiye kakupa hivyo vyote, hujafanya hata kimoja hapo cha Mungu! Kumbuka furaha ya kweli na Amani ya kweli ipo ndani ya Yesu! Ipo siku utakufa utaacha vyote ulivyosema hapo! Nilitegemea ungetaja na mafanikio pia ya Rohoni! Umejenga kanisa, umewaleta watu kadhaa kwa Yesu, umewasaidia yatima wangapi, nk ! Jitafakari upya!!!Tangu kuhitimu degree ya kwanza huu ni mwaka wa kumi sasa na haya ndiyo nimeyafanikisha mpaka Leo hii.
Nimepata mke na watoto wawili
Nimeongeza elimu
Nimejenga jijini DSM nyumba ya familia iliyogharimu m75, kiwanja na ujenzi.
Nina kiwanja kimoja sqm 1250, kiligharimu m15
Nina usafiri kurahisisha mizunguko/uligharimu m13.
Nimeajiriwa serikalini
Nina kibanda cha mobile money kinaniiingizia kilo6 hivi.
Nina mikopo benki
Matamanio yangu zaidi
Kuwa na biashara zangu binafsi/kujiajiri/kuajiri ndani ya miaka 5
Kuongeza nyumba 2-3 ndani ya miaka 10.
Kumfungulia mzee wangu biashara ya kumuingizia kipato cha kila siku. Ndani ya miaka 2.
Mungu anipe uhai kutimiza haya yote.
Maisha ni matamanio, mipango, utafutaji na utekelezaji.