MAGO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,256
- 2,975
Tangu kuhitimu degree ya kwanza huu ni mwaka wa kumi sasa na haya ndiyo nimeyafanikisha mpaka Leo hii.
Nimepata mke na watoto wawili
Nimeongeza elimu
Nimejenga jijini DSM nyumba ya familia iliyogharimu m75, kiwanja na ujenzi.
Nina kiwanja kimoja sqm 1250, kiligharimu m15
Nina usafiri kurahisisha mizunguko/uligharimu m13.
Nimeajiriwa serikalini
Nina kibanda cha mobile money kinaniiingizia kilo6 hivi.
Nina mikopo benki
Matamanio yangu zaidi
Kuwa na biashara zangu binafsi/kujiajiri/kuajiri ndani ya miaka 5
Kuongeza nyumba 2-3 ndani ya miaka 10.
Kumfungulia mzee wangu biashara ya kumuingizia kipato cha kila siku. Ndani ya miaka 2.
Mungu anipe uhai kutimiza haya yote.
Maisha ni matamanio, mipango, utafutaji na utekelezaji.
Nimepata mke na watoto wawili
Nimeongeza elimu
Nimejenga jijini DSM nyumba ya familia iliyogharimu m75, kiwanja na ujenzi.
Nina kiwanja kimoja sqm 1250, kiligharimu m15
Nina usafiri kurahisisha mizunguko/uligharimu m13.
Nimeajiriwa serikalini
Nina kibanda cha mobile money kinaniiingizia kilo6 hivi.
Nina mikopo benki
Matamanio yangu zaidi
Kuwa na biashara zangu binafsi/kujiajiri/kuajiri ndani ya miaka 5
Kuongeza nyumba 2-3 ndani ya miaka 10.
Kumfungulia mzee wangu biashara ya kumuingizia kipato cha kila siku. Ndani ya miaka 2.
Mungu anipe uhai kutimiza haya yote.
Maisha ni matamanio, mipango, utafutaji na utekelezaji.