Emen
JF-Expert Member
- Jun 22, 2021
- 1,945
- 3,200
Tatizo wa Bongo wengi hatusomi vitabu Marekani watunzi wanaheshimiwa sana,,,watu wanasoma vitabu na movies zao nyingi wanatumia hivo hivo vitabu sio huku kama hukusoma Kwenye darasa lakiswahili na lakiingereza ndio imetoka hiyo,,natamani siku Hii hali ibadilike