Miaka 9 katika ndoa - Simuelewi mume wangu naomba ushauri

Miaka 9 katika ndoa - Simuelewi mume wangu naomba ushauri

mmhh ki ukweli hata kama tatizo ni kuanzwa kweli ndo ifike 6month mtu anapiga deshi tuu????mi bado hainiingii akilini.
Hapa kuna mengi yamejificha Mtu akiamua
anaweza kuwa na manzi wake wa nje au anapiga puri ili
aone kama kweli wewe huna mpango na mambo hayo kabisa.
Amini usiamini kuna baadhi ya wanawake wanajifanya wao tendo hilo si lolote
na ukiomba utasikia maneno ya kuudhi
kama vile "uwe na kiasi basi",au mimi nimechoka kama unataka
wewe endelea mimi nalala"na hapo mwanaume ujipange kuhangaika peke yako, na mengine kama hayo.
Sasa mtu unajiuliza kama ulikuwa hutaki huu mchezo kwa nini uliolewa?
au ulikuwa unafuata mkumbo,ukikutana na mazingira kama haya
unaweza na wewe kunyamaza ili uone mwisho wake,
sasa huyu mamii,yeye badala ya kumwuliza mwenziwe kulikoni kaja huku jf.
na sisi tunamsaidia kuwa kama naye huwa anahitaji basi ajitahidi kuwa muwazi
kumbuka huyo ni mme wako na siyo awala.
 
Kipindi cha honeymoon mara 3 tu kwa mwezi. badala ya mara 3 kwa siku.
 
Ina maana mmefunga ndoa ukiwa 24,yeye 32.
Mumeo ana matatizo makubwa,ndio maana at that age kama unavyodai ukamkuta bikra inawezekana.

Kwa mwezi mara 3?aisee!
Ushauri wangu kwako,usijaribu kuchepuka maana ukikutana na mtu anaejua kusimamia show za kibabe vizuri utamdharau mumeo au kumuacha.
 
Du baada ya kuoana m nakutana mara 3 kwa mwezi? Hapo ndo tatizo lilipoanza ndo changa huwa kila siku .hadi ipite miaka kadhaa .
 
Mbona mtoa mada sijaona aki comment chochote, au ndio hata jf mara 3 kwa mwezi??
 
Dada mdodoli, Pokea ushauri huu Asali (honey) vijiko vitatu asubuhi na v3 jioni na hilo tunda la kustimulate sex orginsim!!
 
Last edited by a moderator:
Duhh kama kweli umesema ukweli, unahitaji msaada maana. Haya mapito kwako ni makubwa??
Nina maswali mengi ya kutafakari juu ya maisha yenu, Tafadhari tafakari harafu tupatie majibu kama utapenda kushiriki na wewe ili tupate ufumbuzi....

1) Je wakati mnaanza mahusiano kabla ya ndoa, kuna yeyote alisema ana matatizo ktk tendo la ndoa??
2) Je wakati wa honeymoon mlifanya mara ngapi?? Je mlikuwa na tatizo lolote??
3) Hii ya kufanya mara 3 kwa mwezi hapo mwanzoni mliamua au ilikuwa haiwezekani kufanya kila mara??
4) Je mume wako ukifanya naye romance au kukumbatiana??, mzee mzima huwa ananyanyuka?? Je jogoo akiwika asubuhi na yeye mzee huwa anawika asubuhi pia???
5) Je mkifanya tendo la ndoa huwa anamaliza baada ya muda gani??
6) Je umefanya utafiti wowote wa kufahamu husband wako ana kibamia, medium au large?? Au more smaller than kibamia?? Hii inaweza kuwa tatizo pia?/
7) Je wewe na husband wako hisia za kufanya mapenzi huwa hazipo kabisa au wewe zipo na mwenzio hazipo??
8) Unafikiri unaweza kuvumilia kama husband hataweza kubadilika??? Hii inanipa shida kuelewa maana yake kwa sbb umesema nyie wote ni wacha Mungu?? sasa wazo la kutengana linatoka wapi?? Kumbuka maisha siyo sex tu kwenye ndoa?? Ingawa sex ni muhimu sana ndicho kinachowafanya kuwa mwili mmoja??
 
Yaaan hata dozi ya panadol ni 2 *3 asee..huyo mmeo itakua 0715 inafanyiwa kazi si bure..na mwanaume unaanzaje kua bikra.
 
"shake well before use" huu msemo una maana ohooo haya...nisijeonekana nachochea uzinzi

Kuna mwanamke tulikua tunaenda mara 3 kwa week akasema mie napenda sana mambo mambo..nikamwambia atafte mlokole mwezie...
 
Dada yangu pole kwa yanayokukuta lkn nadhani kuna sehemu umekosea,umeweka ulokole kitandani na sasa haoni mvuto wa kimapenzi,hebu anza "umalaya" kwa mumeo,usiongee maneno yatakayomfanya asiwe na hamu nawe tena.
Kuna vipindi vinatofautiana lkn hii ilizidi,au labda kuna sehemu anatumika.
Ukimuwekea dawa za kuongeza utakuwa umesababisha tatizo lingine. Kuna mtu aliwahi kushauriwa hivyo basi kila akimuwekea dawa hizo jamaa anazitumia kwa mwanamke mwingine.
Hebu angalia style ya maisha usiishi km gogo ndani,ongea na wanawake wenzio watakuelekeza na tatizo litaisha.
Mpende mumeo mfanye akili itulie. Mumeo ni mzima ila utakuwa umejisahau tu.

lara1 njoo mpeleke huyu mdodoli kwenye ile saluni ya makungwi akapate shule km yule mlokole mwingine.
 
Last edited by a moderator:
hi ni shida tena shida kubwa yani mara 3 kwa mwezi khaaa hebu dada yangu kaeni chn mzungumze ikibidi mpate ushauri kwa wataalam wa mahusiano
 
Kuna mwanamke tulikua tunaenda mara 3 kwa week akasema mie napenda sana mambo mambo..nikamwambia atafte mlokole mwezie...

mara tatu??? hzo nyingine wamuachia nani??lol inatakiwa ratiba iwe tight yani ka mechi za UEFA bandika bandua
 
mbona hakuna jambo la kuomba ushauri hapa kaa chini ongea na mumeo acha filimbi humu
 
Back
Top Bottom