[/Jaribu kumfanyia u utafiti; Chukua wembe kata vizuri kucha za kidole chako cha kati, kisha paka pilipili kwa mbaali! Akilala muingizie taratiiibu dole lenye pilipili mkun.Duni mwake! Ukiona anakifuata kidole ujue ndoa yenu inahitaji mtu wa tatu (dume la mbegu)!
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33 mume wangu ana umri wa miaka 41. Sote ni wasomi na wafanyakazi. Tumefunga ndoa miaka tisa iliyopita tuna mtoto mmoja ana umri wa miaka 7.Wakati tunafunga ndoa wote tulikua mabikra. Mimi nilikua sijawahi kuwa na mpenzi na mume wangu akuwahi kua na mpenzi.
Tulianza kushiriki tendo la ndoa siku ile tulipofunga ndoa. Kwa kweli kwa ujumla maisha yetu ya ndoa ni ya furaha kwa mambo yote lakini sio ya kiunyumba.
Mimi na mume wangu atujawahi kuwa mbali kikazi. Maisha yote hadi leo tuko Dar es salaam pamoja. Tulipofunga ndoa miaka ya mwanzoni tulikua tunaweza kukutana kimwili hata mara tatu kwa mwezi, miaka ilivyokua inazidi kwenda ikawa kukutana kimwili inakua mara moja kila baada ya miezi miwili na tukikutana ni bao moja tu.
Sasa hali imezidi kua mbaya kwani sasa imepita miezi sita tunalala kitanda kimoja mume wangu ajanigusa, hali hii inanisononesha kwani natamani mtoto wa pili. Kwakweli atuna ugomvi wowote. Mimi na mume wangu wote ni wacha Mungu.
Mume wangu ni mchapakazi sana tukitoka kazini tuko wote na sio mtu anaependa kwenda kutembea bila familia. Jumamosi na Jumapili mara nyingi tunatoka out tukirudi home akuna kinachoendelea, anageuka ukutani analala kama mtoto hadi asubuhi, wala hata anigusi nikimsogelea hata ashtuki.
Na asubuhi tukiamka tunaenda ofisini na akifika ofisini lazima anitumie message, mke wangu nakupenda sana. Simuelewi na nashindwa kumuuliza maana mimi kama mwanamke naona aibu.
Kwakweli mawazo ya kutoka nje ayapo kabisa kichwani mwangu maana simjui mwanaume mwingine zaidi yake pia namuogopa Mungu siwezi kucheat.Ila kwa hali ilipofikia naona bora nitengane nae niishi maisha yangu maana bila unyumba amna maana ya ndoa na nataka sana mtoto.
Wadau naomba ushauri je hii ni kawaida, nifanyeje.
U made me horny just by reading that, and I am married..Embu anza manjonjo toa dic yake nyonyaaa weee isiposimama ujue bwabwa...tatizo la nyie mnaojiita wacha Mungu mnajisahau sana mtaka formality ... Embu kuwa malaya kwa mumeo haraka sana acha kukaa kama upo bikra bado imeshatoka sawa mama ...ikishindikana mbake kabisa
U made me horny just by reading that, and I am married..
Ulichogusia ni kweli kabisa inabidi awe malaya kwa mume wake, we need that! Hakuna masuala ya formalities kwenye kitanda ni kujaribu ku-explore everything. Kama kila siku style ni missionary tu hata mimi nitapoteza hamu aisee.
Tatizo watu wanachukulia wokovu wrongly na mara nyingi ndoa au familia za watu wanaoclaim kuwa wameokoka ndio zinakumbwa na matatizo kwa sababu ya kukosa ufahamu. Tafuta knowledge katika vitu vyote especially kwenye sex maana hapo ndio inaonekana kuna tatizo.
Osha vizuri uke, make sure hauna harufu harufu, usikae kae uchi mbele ya mumeo infact asizoee kukuona uchi maana inafika point huwa tunaona ni jambo la kawaida kufika point ya kutokua aroused when ur naked.
So anza operation ya kumbania kukuona uchi kwa wiki kadhaa wakati ukiwa unajinoa katika hii sekta, mpe lishe bora, learn some new styles, ukiona upo tayari wewe ndio umtoe out bila familia, tafuta panties za maana halafu mpe vitu vya uhakika ambavyo hakutegemea, you will notice some improvements kwenye sex life yenu.
U made me horny just by reading that, and I am married..
Ulichogusia ni kweli kabisa inabidi awe malaya kwa mume wake, we need that! Hakuna masuala ya formalities kwenye kitanda ni kujaribu ku-explore everything. Kama kila siku style ni missionary tu hata mimi nitapoteza hamu aisee.
Tatizo watu wanachukulia wokovu wrongly na mara nyingi ndoa au familia za watu wanaoclaim kuwa wameokoka ndio zinakumbwa na matatizo kwa sababu ya kukosa ufahamu. Tafuta knowledge katika vitu vyote especially kwenye sex maana hapo ndio inaonekana kuna tatizo.
Osha vizuri uke, make sure hauna harufu harufu, usikae kae uchi mbele ya mumeo infact asizoee kukuona uchi maana inafika point huwa tunaona ni jambo la kawaida kufika point ya kutokua aroused when ur naked.
So anza operation ya kumbania kukuona uchi kwa wiki kadhaa wakati ukiwa unajinoa katika hii sekta, mpe lishe bora, learn some new styles, ukiona upo tayari wewe ndio umtoe out bila familia, tafuta panties za maana halafu mpe vitu vya uhakika ambavyo hakutegemea, you will notice some improvements kwenye sex life yenu.
Wacha mungu huwa hawaaniki mambo yao hadharan namna hii .ilaa poleee
Embu anza manjonjo toa dic yake nyonyaaa weee isiposimama ujue bwabwa...tatizo la nyie mnaojiita wacha Mungu mnajisahau sana mtaka formality ... Embu kuwa malaya kwa mumeo haraka sana acha kukaa kama upo bikra bado imeshatoka sawa mama ...ikishindikana mbake kabisa
Nimesha kutana na watu wengi wenye matatizo hayo nitafute nitawasaidia piga namba hii ya office 0689093330