Miaka 9 katika ndoa - Simuelewi mume wangu naomba ushauri

Miaka 9 katika ndoa - Simuelewi mume wangu naomba ushauri

Mh eti jamani mtu unamuonea haya mumeo unaeishi naye miaka tisa sasa, bado unangojea yeye awe wa mwanzo kuanzisha tendo la ndoa siku zote na kama hajaanzisha yeye mtakaa siku zote bila ya kufanya....dah hii Noma
 
mdodoli

1. Mweleze shida yako mumeo, mwambie unasikia njaa, halafu ata ukila haushibi,
2. ukiwa kama mwanandoa hakuna aibu, weka mazingira mazuri halafu chokosa mambo mpaka joka litoke huko shimoni,
3. andaa vyakula vyenye kuhamasisha shughuli hiyo ikiwemo nuts,
4. kwani yeye hataki mtoto mwingine?

NB: jambo muhimu kuliko yote na mawasiliano i.e. kupeana feedback.
 
Last edited by a moderator:
Embu anza manjonjo toa dic yake nyonyaaa weee isiposimama ujue bwabwa...tatizo la nyie mnaojiita wacha Mungu mnajisahau sana mtaka formality ... Embu kuwa malaya kwa mumeo haraka sana acha kukaa kama upo bikra bado imeshatoka sawa mama ...ikishindikana mbake kabisa

Mmmmmh
 
mmmmhhh sijawahi sikia mara tatu kwa mwezi lazima mnamatatizo wenzenu wanagonga mara tano kwa wiki duuhhh hatari sana
 
Heeeee

Kwa mwezi mara 3??????

Mna tatizo kubwa nyie

Kaeni chini mzungumze
 
Sina ushauri ila nawapa pongezi,mara tatu kwa mwezi!!! Hongereni sana.
 
miss chagga sijawahi kucheka kwa komenti za humu JF LEO siyo siri umebikiri kicheko changu.

hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha.
 
Last edited by a moderator:
Pole, ila tatizo lipo tokea mwanzoni we mapenzi gani kukutana mara tatu kwa mwezi?!!!, hamna mzuka?.
Hebu kuwa mchokozi wa mavituuz halafu uone, anza sasa cku akionjeshwa huko nje au ukipewa vitu huko nje ndoa ndo bai bai.
 
Kabla hujammwagia lawama mumeo jichunguze wewe kwanza...inawezekana wewe ukawa ni sehemu ya tatizo...bila ya kujifahamu..na mumeo anaona aibu kukwambia...vile vile unavyokaa kimya ndio unazidi kuliongeza tatizo...funguka na umwambie mumeo kuwa tabia yake hujaipenda...
 
Embu anza manjonjo toa dic yake nyonyaaa weee isiposimama ujue bwabwa...tatizo la nyie mnaojiita wacha Mungu mnajisahau sana mtaka formality ... Embu kuwa malaya kwa mumeo haraka sana acha kukaa kama upo bikra bado imeshatoka sawa mama ...ikishindikana mbake kabisa

Aiseeeee!!"Ebu kuwa malaya kwa mmeo na kama ikishindikana mbake kabisa"hii nimeipenda bure kwa kweli@Miss chaga
 
Mna tatizo big mimi wiki mara 4 mpaka nihakishe mke ameniambiavsasa kojoa mimi nimetosheka.mumeo ana tatiso kubwa tu nendenivkwa watalamu wa sex
 
Pengine bwana ana kisukari! Em muulize vizur tatizo ni nini? Kulala na mwanamke mpaka asubuh bila kumgusa ni mtihani mzito sana japo mm niliufaulu lakn ilikuwa usiku m1 tu and she was under 12yrs japo she was ready 4 it! Niliogopa scandal na kesi pia!

kama uliogopa kesi kwann ulilala nae mkuu??
 
Ndoa ikiwa bado changa hvyo, Mara 3 kwa mwezi ?? Duh watu wanapiga kila asubuhi na saa ya kulala daily ukianza kumzoea atleast thrice a week....honestly u dnt deserve ths. Perhaps jamaa ni diabetic (ana kisukari) oneni ushauri wa daktari before its too late.
 
mnhhhhhhhhhhhhh

There are things in life that are very difficult to explain....
 
Nimeishia kucheka tu. Kama unaona aibu mtumie email ama link ya huu uzi. Lol
 
Hio ni kali ya mwaka
Yaani hiyo nyama anaigeuZia mgongo
Au una mwendesha mno nini maana kuna baadhi ya wanawake ni hatar yaani ukiwa tayar utakoma ataku zzungusha ukitoka hapo kila mahali panaum kama vile ulikuwa una nyanyua magunia
Mi nadhani kuna haja ya kumuanza wewe hata kama hana mood zitakuja tu..
 
Duh, naweza kuamini kuwa wewe ulikuwa bikra wakati unakutana na mumeo. Je una hakika naye alikuwa bikra kweli? Anyway, hiyo sio issue. Lakini inashangaza sana mume na mke mnakutana mara tatu kwa mwezi na unaona hiyo ni sawa? Mapenzi ya mwanzo, halafu mara tatu kwa mwezi!!! Ila nakupinga suala la kuachana na mumeo. Haya masuala yanazungumzika. Pole sana!
 
Hakuna sababu inayo mfanya mwanaume asimfanye mkewe kama sio mgonjwa.kwanza wewe unashida inaonekana huyo sio mumewako kama umewezakukaa uchi mbele yake unashndwa nini kuuliza?kunakitukikubwa kama uchi?

Nakujibu mimi muamini kama wewe naumri kama wako naninandoa takatifu na mtoto wamiaka nane.nasababu ya kukwambia hivyo inawezekana mumeo mgonjwa,au anachepuka,hiyo trend ya kufanya sio ya kawaida kwa umri wetu unasikia hamu sana pia mzee nae anaskia hamu, kusema asikuguse? Sio rahisi la mwisho muombee na uachekumuogopa uyo ni kifurushi chako cha moyo.

Pungua uzito na hicho kitambi,acha kugeuza kitanda mahakama,mlishe vizuri vitu vya protin,acha maigizo na kutegemea vitu ambavyo havipo, fanya kazi nyumbani, pika, hudumia watoto kwa ujumla show impact yako nyumban.
 
Back
Top Bottom