Natabiri tu, hizo mara tatu kwa mwezi ambazo mmewahi kufanya lazima alikuwa anakuanza wewe,sasa amechoka kuona kwamba labda yeye ndo muhitaji
wa mambo hayo,wewe huna mpango nayo.
Ameamua kukutega aone mwisho wake,
Ushauri: Leo, leo mkiingia kitandani mwanzishie mchezo uone moto wake, utagundua alikua na kiu na njaa ya ajabu siku zote hizo.
Umesema ninyi ni wacha Mungu,si ajabu alidhani kila siku kukuanza yeye ataonekana mzinzi,anasubiri siku moja na wewe umuanzishie, anajikuta hola. Anaendelea kusubiri, sasa wewe vunja ukimya.