Miaka 7 nje ya Afrika si haba

Miaka 7 nje ya Afrika si haba

Hiv ulishapata kazi nyingine tofauti na kuosha vyombo?
 
mbona sijaona tusi hapo.

hebua ainisha hayo unayosema ni matusi.

@Mleta mada usithubutu kurudi huku nyumbani kuna mateso hasa kama unapenda haki na amani yako.
Ujue ukizoea kukaa karibu na choo kinachonuka, unaweza kuzoea ile harufu ya choo kunuka mpaka akaja mtu aliyetoka kwenye hewa safi akakawambia hapo ulipo pananuka, ukambishia hapanuki, ukasema anakutukana bure tu.

Ndicho unachofanya hapa.

Nilipofika New York City mara ya kwanza, kuna OG mmoja aliniambia hapa kuna machizi kibao wanataka kujionesha wao watoto wa mjini, wana vituko sana, lakini hawa wengi wakuja hapa. Ndio wanaoupa mji sifa mbaya. Akaniambia, sisi wenyewe tuliozaliwa hapa mjini wengi tuko poa sana.

Sasa ninavyoona watu wa "Johnny come lately" waliotoka nyumbani miaka saba iliyopita wanavyokuwa na machepele ya kutukana kwao, nimemkumbuka OG wangu wa New York.

Wakuja juzi huwa wana matatizo mara nyingi sana.

Ma OG waliozaliwa viwanja Brooklyn huko Wanyamwezi wenyewe kina marehemu Ruge Mutahaba ni nadra sana kuwasikia wanatukana kwao Tanzania. Ma veteran waliokaa viwanja miaka 20 na zaidi ni nadra sana kuwasikia wanasema maneno mbovumbovu.

Ni kulimbuka tu.

Sasa kama mtu ni wa kwanza kijijini kwao kwenda South Africa kwa nini asilimbuke? Wakati kuna Watanzania washaenda South Afrika tangu ipo chini ya kaburu!

Amenikumbusha rafiki yangu mmoja alirudi kutoka masomoni Uingereza miaka ya 90s kati, akawa anasema sasa amekuja kulikita bongo, hatoki tena nje. Na huyo ni mtu mwenye kila access ya kusafiri nje, tulikuwa tukisafiri naye nje tukifika immigrations za watu, anaulizwa "wewe baba yako ndiye fulani Tanzania?".

Sasa kwetu ambao hatujatoka mitini, tuna familia zenye heshima, hata Tanzania ikipigika vipi kwa mambo ya mpito ya uongozi mbovu, kuitukana kwamba ni shithole country ni jambo la huzuni sana.

Na walio na machungu na uongozi wetu kiasi cha kukubali matusi haya ya bei rahisi ya jumla, naelewa kwa nini wanaghafilika hivyo. Na nawaachia nafasi yao ya haki za binadamu na uhuru wa kujieleza.

Hata kama sikubaliani na matusi yao.
 
Ujue ukizoea kukaa karibu na choo kinachonuka, unaweza kuzoea ile harufu ya choo kunuka mpaka akaja mtu aliyetoka kwenye hewa safi akakawambia hapo ulipo pananuka, ukambishia hapanuki, ukasema anakutukana bure tu.

Ndicho unachofanya hapa.

Nilipofika New York City mara ya kwanza, kuna OG mmoja aliniambia hapa kuna machizi kibao wanataka kujionesha wao watoto wa mjini, wana vituko sana, lakini hawa wengi wakuja hapa. Ndio wanaoupa mji sifa mbaya. Akaniambia, sisi wenyewe tuliozaliwa hapa mjini wengi tuko poa sana.

Sasa ninavyoona watu wa "Johnny come lately" waliotoka nyumbani miaka saba iliyopita wanavyokuwa na machepele ya kutukana kwao, nimemkumbuka OG wangu wa New York.

Wakuja juzi huwa wana matatizo mara nyingi sana.

Ma OG waliozaliwa viwanja Brooklyn huko Wanyamwezi wenyewe kina marehemu Ruge Mutahaba huwezi kuwasikia wanatukana kwao. Ma veteran waliokaa viwanja miaka 20 na zaidi ni nadra sana kuwasikia wanasema maneno mbovumbovu.

Ni kulimbuka tu.

Sasa kama mtu ni wa kwanza kijijini kwao kwenda South Africa kwa nini asilimbuke?

Amenikumbusha rafiki yangu mmoja alirudi kutoka masomoni Uingereza miaka ya 90s kati, akawa anasema sasa amekuja kulikita bongo, hatoki tena nje. Na huyo ni mtu mwenye kila access ya kusafiri nje, tulikuwa tukisafiri naye nje tukifika immigrations za watu, anaulizwa "wewe baba yako ndiye fulani Tanzania?".

Sasa kwetu ambao hatujatoka mitini, tuna familia zenye heshima, hata Tanzania ikipigika vipi kwa mambo ya mpito ya uongozi mbovu, kuitukana kwamba ni shithole country ni jambo la huzuni sana.

Na walio na machungu na uongozi wetu kiasi cha kukubali matusi haya ya bei rahisi ya jumla, naelewa kwa nini wanaghafilika hivyo. Na nawaachia nafasi yao ya haki za binadamu na uhuru wa kujieleza.

Hata kama sikubaliani na matusi yao.
mkuu asante kwa somo.

kwa upande wangu nakubali maelezo yako pia nakubali maelezo la mleta mada kwa 100% pia.
 
mkuu asante kwa somo.

kwa upande wangu nakubali maelezo yako pia nakubali maelezo la mleta mada kwa 100% pia.
Mleta mada nimempa nafasi yake kubwa sana kwamba ana haki ya kujisikia hivyo na kujieleza na naelewa kiasi ni kwa nini anajisikia hivyo. Kuna watu wengi sana wanajiona hawana hisa katika nchi yao wenyewe. Mfano, Bongo kuna msoto na ujinga mwingi, ukisoma tabu, usiposoma moto. Na kukataa hilo si haki, lakini kwangu msoto huo si sababu ya kutukana nchi.

Viongozi wa Africa wakija kuona damu zinamwagika kwenye nchi zao hujifanya kushangaa hawaelewi wamefikaje huko, kumbe maumivu ya kichwa kuanza poole pole.

Sikubaliani na matusi haya hata kama nayaelewa, kwa sababu nchi ina watu wazuri wengi walio victims tu. Tumekosea kwenye uongozi na elimu, lakini hilo halina maana kwamba hatuna utu.

Kwa upande wangu siwezi kusema maneno aliyosema, kwa sababu hayana staha sahihi, lakini, uongozi mbovu wa Africa/Tanzania ulivyoweza kutufikisha watu kusema kama hivyo, na kupata mpaka support ya baadhi ya Watanzania, naweza kuelewa kabisa.
 
Nina huzuni sana kuona mtu akiandika matusi ya hivi kuhusu nchi yake ya kuzaliwa.

Ama ikiwa yeye anafanya makosa kufikiri hivyo, au ikiwa wengine wamemkosea mpaka kumfanya aseme hivyo, au hata ikiwa ni mchanganyiko wa mawili hayo, bado ni jambo la huzuni sana.

Nimekaa nje ya nchi niliyozaliwa ya Tanzania, hususan Marekani, miaka takriban 20 sasa, na kwa kweli nitakuwa muongo nikisema sijawahi kufikwa na hisia za kuhoji uzalendo wangu kutokana na mwenendo wa uongozi nyumbani, na baadhi ya tabia za kijamii, na pengine kuhoji huko ndio uzalendo wenyewe.

Lakini kamwe sijajisikia kufika kuitukana nchi yangu ya kuzaliwa kwa jinsi hii.

Licha ya hivyo, naelewa baadhi ya sababu za matusi haya na watu kuyachukulia kirahisi.
Hahaha hata wewe umepanic?! Huwa sielewi kitu kuhusu tusi, lina impact gani kwamtu?! Nchi ikitukanwa inaumia au inabadirika chochote au maisha yetu yanabadirika? Mi huwa naona sawa tu atukane asitukane sioni tofauti, hizo ni hisia zake ambazo hazina impact yoyote kwa yeyote. Muacheni atukane ajisikie vizuri, stress mbaya sana.
Huwa naona unatumia logic kwenye mijadala ya kutokuwepo Mungu, hili halina maana kabisa, huyu anajifurahisha tu.
 
Hahaha hata wewe umepanic?! Huwa sielewi kitu kuhusu tusi, lina impact gani kwamtu?! Nchi ikitukanwa inaumia au inabadirika chochote au maisha yetu yanabadirika? Mi huwa naona sawa tu atukane asitukane sioni tofauti, hizo ni hisia zake ambazo hazina impact yoyote kwa yeyote. Muacheni atukane ajisikie vizuri, stress mbaya sana.
Huwa naona unatumia logic kwenye mijadala ya kutokuwepo Mungu, hili halina maana kabisa, huyu anajifurahisha tu.

Awali ya yote, kama uliniweka kwenye list fulani ya watu fulani mpaka ukaniita "hata na wewe", naomba uniondoe, ili nikiandika chochote nisikushangaze.

Hunijui. Na ukifikiri unanijua, nitakushangaza kila siku.

Kwanza sijapanic, nikipiga chafya kwa reflex action bila kufikiria sana unaweza kuona nimepanic kwa sababu ya decibels zangu zilivyo juu.

Pili, hujaelewa kwamba nimempa nafasi yake ya kutumia haki za kibinadamu na uhuru wa kujieleza, sasa mtu nimempa nafasi yake hiyo na nitamtetea uhuru wake wa kujieleza hata kama sikubaliani na hoja zake, utasemaje nime panic?

Wapi nimemkataza kutukana?

Unaweza kunionesha hilo?

Unajua kusoma?

Unataka nikuwekee nukuu jinsi nilivyotetea haki zake za kujieleza hapa ili kama una makengeza, tongotongo au elimu ya ngumbaru tu hukuona nilivyoandika uone vizuri?
 
Nchi yetu sio shithole hata kidogo, hata kama kuna mapungufu lakini hatuwezi kukubaliana na wewe eti this is shithole hapana aisee, Wapo watu wanapambana humu humu na wametoboa tena inawezekana mara 100 zaidi yako wewe, kushindwa kwako mikikimikiki ya Bongo hakuwezi kutuaminisha nchi yetu ni shithole..
Binadamu kuhama kutoka sehemu moja na nyingine kutafuta maisha ni kawaida tu mkuu, Watu wametoka USA wako hapa wamekuja kupambana, watu wametoka UK wako hapa, wahindi wametoka India wako hapa, Chinese ziko hapa za kumwaga tu, watu wametoka SA wako hapa tunapambana, Sio ajabu pia kwako kutoka na kwenda huko kupambana ni haki yako mkuu.
bongo hata uwe Bill Gates itabaki kuwa shithole tu
 
Nina huzuni sana kuona mtu akiandika matusi ya hivi kuhusu nchi yake ya kuzaliwa.
Ama ikiwa yeye anafanya makosa kufikiri hivyo, au ikiwa wengine wamemkosea mpaka kumfanya aseme hivyo, au hata ikiwa ni mchanganyiko wa mawili hayo, bado ni jambo la huzuni sana.
Nimekaa nje ya nchi niliyozaliwa ya Tanzania, hususan Marekani, miaka takriban 20 sasa, na kwa kweli nitakuwa muongo nikisema sijawahi kufikwa na hisia za kuhoji uzalendo wangu kutokana na mwenendo wa uongozi nyumbani, na baadhi ya tabia za kijamii, na pengine kuhoji huko ndio uzalendo wenyewe.
Lakini kamwe sijajisikia kufika kuitukana nchi yangu ya kuzaliwa kwa jinsi hii.
Licha ya hivyo, naelewa baadhi ya sababu za matusi haya na watu kuyachukulia kirahisi.
Mwache aeleze hisia zake katiba inamruhusu!
Sawa tumejua na wewe umeishi Marekani takribani miaka 20.
 
Mwache aeleze hisia zake katiba inamruhusu!
Sawa tumejua na wewe umeishi Marekani takribani miaka 20.
Mimi ndiye niliyeanzisha kusema aachwe aseme atumie haki zake za kikatiba na kibinadamu.

Halafu wewe tena unakuja kuniambia mimi nimuache aeleze hisia zake katiba inamruhusu?
 
Mimi ndiye niliyeanzisha kusema aachwe aseme atumie haki zake za kikatiba na kibinadamu.
Halafu wewe tena unakuja kuniambia mimi nimuache aeleze hisia zake katiba inamruhusu?
Nimeona mwandiko wako kama unamlaumu kwa namna fulani,any way ujumbe uwafikie wale wanaoona jamaa kakosea kusema hisia na mawazo yake!
 
Nimeona mwandiko wako kama unamlaumu kwa namna fulani,any way ujumbe uwafikie wale wanaoona jamaa kakosea kusema hisia na mawazo yake!
Mwandiko wangu kuusoma na kuuelewa mara nyingine unataka kukaa kitako.

I dissect paradoxes out of boxes, remove contradictions with my diction.
I am compassion, even as I express with a passion.
Kiranga the singularity, vulgarity with no parity.
 
Mwandiko wangu kuusoma na kuuelewa mara nyingine unataka kukaa kitako.
I dissect paradoxes out of boxes, remove contradictions with my diction.
I am compassion, even as I express with a passion.
Kiranga the singularity, vulgarity with no parity.
Tawire mtanganyika uliyeishi Marekani zaidi ya miaka 20.
 
Nyumbani ni nyumbani ugenini ni ugenitu hakuwezi kuwa nyumbani ukipata huko rudi uje ujenge taifa lako,
 
Maana ya kwanza ni kumshukur Mungu kwa kunifikisha hapa nilipo leo na pia ni happy birthday day yng kwa kuzaliwa siku kama ya leo, kuvuka boda siku kama ya leo kwa mara ya kwanza na pia ilikuwa ni siku ya kutengana na Afrika kuingia huku ukubwan ndio maana nikasema siku hii huwa ni muhimu kwng.
Wewe ni chootu tena chakike
 
Kwanza nianze kuwasalim wote mliopo humu na wale ambao hawakubahatika kuingia humu leo, najua siku wakiingia watazipata salamu zao.

Dhumuni la kuandika uzi huu kwanza kbs ni kumshukuru mola muumba kwa kunifikisha hapa nilipo leo maana bila baraka zake pengine mpaka leo ningekuwa bado nipo ndani ya shithole country.

Pengine nishakufa kwa kutekwa na wasiojulikana, au kwa stress zinazosabishwa na ugumu wa maisha wa nchi hiyo.

Naadhimisha siku hii au tareh hii ya leo ambayo ndio ilinitenganisha mimi na Afrika, pia ndio tareh ambayo pia nilivuka boda kwa mara ya kwanza kusogea bonden bila kujua kwamba kule ndio kungetokea neema ya kuwa hapa nilipo leo.

Kwahiyo naweza kusema kuwa kila mwaka tareh 25/06 huwa na kumbuka kumbu nayo kwa mambo haya na mengin mengi ya kimaisha.

Baada ya uzi huu najipongeza pia mwenyew kwa juhudi zang i can tell myself "Happy Birthday to me" kwa kufikisha miaka 7 nje ya Afrika, pia nawatakia siku njema na maisha mema.

Muda wangu wa mapumziko unakwisha ngoja niwahi niingia ndan kushughulika na majukumu ya kimaisha
Nimeandika nimefuta zaidi ya mara kumi....ngoja nipite hivi.
 
Back
Top Bottom