Miaka 7 nje ya Afrika si haba

Miaka 7 nje ya Afrika si haba

Uje uwachukue baadhi ya wanaume waliobak huku maana wanatusumbua tu ujuaji mwingi shithole boys
Achukue wanaume wa wapi sassa ,maana hajasema hiyo shit hole country ni ipi, au assumption zetu ni kuwa watu wote humu ni Watz
 
Nchi yetu sio shithole hata kidogo, hata kama kuna mapungufu lakini hatuwezi kukubaliana na wewe eti this is shithole hapana aisee, Wapo watu wanapambana humu humu na wametoboa tena inawezekana mara 100 zaidi yako wewe, kushindwa kwako mikikimikiki ya Bongo hakuwezi kutuaminisha nchi yetu ni shithole..

Binadamu kuhama kutoka sehemu moja na nyingine kutafuta maisha ni kawaida tu mkuu, Watu wametoka USA wako hapa wamekuja kupambana, watu wametoka UK wako hapa, wahindi wametoka India wako hapa, Chinese ziko hapa za kumwaga tu, watu wametoka SA wako hapa tunapambana, Sio ajabu pia kwako kutoka na kwenda huko kupambana ni haki yako mkuu.
Well said mkuu...congrats..

Tatizo la Wafrika ni hapo tu kudharau waliko toka ..wanafikiri ulaya ndio Mbinguni na wanaishi malaika walio wengi,sawa sisi masikin lakini tunaishi halafu tuna kufa kama wao.

Hapo ndipo mazungu walipo tuweza kutu dnanganya kuwa hao hawana shida....sisi waafrika tukabali huo upuuzi ...wao...kaama huyo jamaa aliandika huo uupuzi na laliye sema shithole..pumbuzake....Ms.....................eng..........e kabsa...shithole babake
 
Jiwe kadatisha watu. Watu walizoea wakiamka asubuhi wana nauli ya basi tu kufika mjini jioni wanarudi na milioni halafu wanapita wanaiunguza yote kesho mzunguko mzima unarudia. Leo hicho kitu hakipo unadhani tutacha kutukana? Kudata kwa kwenda mbele
Analimbuka bado.

Kulimbuka ni haki yake ya kibinadamu pia.
 
Haijalishi umetaja au hukutaja, lakini ulichomaanisha ni ulipotoka aka kwenu/nchi yenu. Jibu ni lilelile huwezi kupaita kwenu ni shithole eti kwasababu umeondoka na kwenda kwingine kutafuta maisha. Ungekuwa wamaana sana kama ungepambana kuuondoa huo ushithole na sio kusimanga kwenu...
Jamaaa ni jinga kakulia Africa ,kanya huku leo analeta dharau ......Ningewona ninge mkata kichwa...
 
Mtu anakaa miaka saba nje ya Afrika lakini bado unaandika kama upo Loliondo. Andiko lote halina hata Aya. Au huko napo ni kama Kolomije?
Muandiko mzur nimewaachia maprofesa uchwara
 
Nina huzuni sana kuona mtu akiandika matusi ya hivi kuhusu nchi yake ya kuzaliwa.

Ama ikiwa yeye anafanya makosa kufikiri hivyo, au ikiwa wengine wamemkosea mpaka kumfanya aseme hivyo, au hata ikiwa ni mchanganyiko wa mawili hayo, bado ni jambo la huzuni sana.

Nimekaa nje ya nchi niliyozaliwa ya Tanzania, hususan Marekani, miaka takriban 20 sasa, na kwa kweli nitakuwa muongo nikisema sijawahi kufikwa na hisia za kuhoji uzalendo wangu kutokana na mwenendo wa uongozi nyumbani, na baadhi ya tabia za kijamii, na pengine kuhoji huko ndio uzalendo wenyewe.

Lakini kamwe sijajisikia kufika kuitukana nchi yangu ya kuzaliwa kwa jinsi hii.

Licha ya hivyo, naelewa baadhi ya sababu za matusi haya na watu kuyachukulia kirahisi.
mbona sijaona tusi hapo.

hebua ainisha hayo unayosema ni matusi.

@Mleta mada usithubutu kurudi huku nyumbani kuna mateso hasa kama unapenda haki na amani yako.
 
Jiwe kadatisha watu. Watu walizoea wakiamka asubuhi wana nauli ya basi tu kufika mjini jioni wanarudi na milioni halafu wanapita wanaiunguza yote kesho mzunguko mzima unarudia. Leo hicho kitu hakipo unadhani tutacha kutukana? Kudata kwa kwenda mbele
Hahahaha...
 
Hata kama nchi yangu ingekuwa mbaya kiasi gani, bado ningeipenda tu kwani ndiyo nchi ya wazazi walionizaa na kunileta duniani.

Inasikitisha kumwona mtu huyu tena mwafrika tu, eti anaiita nchi yake 'shithole country' kisa hivo vi miaka saba nje ya nchi!!?? Huu ni upumbavu! Na siku zote sishabikii upuuzi.

Hivi anadhani yeye tu ndio wa kwanza kukaa nje ya nchi hasa nje ya bara la Afrika! Waafrika kama huyu mtu bado wana akili za kitwana.
 
Back
Top Bottom