Miaka 7 nje ya Afrika si haba

Miaka 7 nje ya Afrika si haba

Kuveta

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2014
Posts
1,154
Reaction score
636
Kwanza nianze kuwasalim wote mliopo humu na wale ambao hawakubahatika kuingia humu leo, najua siku wakiingia watazipata salamu zao.

Dhumuni la kuandika uzi huu kwanza kbs ni kumshukuru mola muumba kwa kunifikisha hapa nilipo leo maana bila baraka zake pengine mpaka leo ningekuwa bado nipo ndani ya shithole country.

Pengine nishakufa kwa kutekwa na wasiojulikana, au kwa stress zinazosabishwa na ugumu wa maisha wa nchi hiyo.

Naadhimisha siku hii au tareh hii ya leo ambayo ndio ilinitenganisha mimi na Afrika, pia ndio tareh ambayo pia nilivuka boda kwa mara ya kwanza kusogea bonden bila kujua kwamba kule ndio kungetokea neema ya kuwa hapa nilipo leo.

Kwahiyo naweza kusema kuwa kila mwaka tareh 25/06 huwa na kumbuka kumbu nayo kwa mambo haya na mengin mengi ya kimaisha.

Baada ya uzi huu najipongeza pia mwenyew kwa juhudi zang i can tell myself "Happy Birthday to me" kwa kufikisha miaka 7 nje ya Afrika, pia nawatakia siku njema na maisha mema.

Muda wangu wa mapumziko unakwisha ngoja niwahi niingia ndan kushughulika na majukumu ya kimaisha
 
Uje uwachukue baadhi ya wanaume waliobak huku maana wanatusumbua tu ujuaji mwingi shithole boys
Hahahaha. Shithole boys wengi hawana future. Hata huku wanatusumbua, hasa watoto wa kipemba kaz hawataki kufanya kutwa kupigana mikuki tu
 
Wengine wameelimika ila wanatuona ambao hatujaelimika makolooo hawajui kutumia elimu zaoo uje uwabebe.
Hahahaha. Shithole boys wengi hawana future. Hata huku wanatusumbua, hasa watoto wa kipemba kaz hawataki kufanya kutwa kupigana mikuki tu
 
Mmmh "Shithole country" hii imepitiliza mipaka mkuu.
 
Hebu ngoja nijaribu kurudia kusoma labda nitaelewa ulikuwa unamaanisha nini kwenye hii thread yako mkuu
Maana ya kwanza ni kumshukur Mungu kwa kunifikisha hapa nilipo leo na pia ni happy birthday day yng kwa kuzaliwa siku kama ya leo, kuvuka boda siku kama ya leo kwa mara ya kwanza na pia ilikuwa ni siku ya kutengana na Afrika kuingia huku ukubwan ndio maana nikasema siku hii huwa ni muhimu kwng.
 
Nina huzuni sana kuona mtu akiandika matusi ya hivi kuhusu nchi yake ya kuzaliwa.

Ama ikiwa yeye anafanya makosa kufikiri hivyo, au ikiwa wengine wamemkosea mpaka kumfanya aseme hivyo, au hata ikiwa ni mchanganyiko wa mawili hayo, bado ni jambo la huzuni sana.

Nimekaa nje ya nchi niliyozaliwa ya Tanzania, hususan Marekani, miaka takriban 20 sasa, na kwa kweli nitakuwa muongo nikisema sijawahi kufikwa na hisia za kuhoji uzalendo wangu kutokana na mwenendo wa uongozi nyumbani, na baadhi ya tabia za kijamii, na pengine kuhoji huko ndio uzalendo wenyewe.

Lakini kamwe sijajisikia kufika kuitukana nchi yangu ya kuzaliwa kwa jinsi hii.

Licha ya hivyo, naelewa baadhi ya sababu za matusi haya na watu kuyachukulia kirahisi.
 
Nina huzuni sana kuona mtu akiandika matusi ya hivi kuhusu nchi yake ya kuzaliwa.

Ama ikiwa yeye anafanya makosa kufikiri hivyo, au ikiwa wengine wamemkosea mpaka kumfanya aseme hivyo, au hata ikiwa ni mchanganyiko wa mawili hayo, bado ni jambo la huzuni sana.

Nimekaa nje ya nchi niliyozaliwa ya Tanzania, hususan Marekani miaka takriban 20 sasa, na kwa kweli nitakuwa muongo nikisema sijawahi kufikwa na hisia za kuhoji uzalendo wangu kutokana na mwenendo wa uongozi nyumbani, na baadhi ya tabia za kiajmii, na pengine kuhoji huko ndio uzalendo wenyewe.

Lakini kamwe sijajisikia kufika kuitukana nchi yangu ya kuzaliwa kwa jinsi hii.

Licha ya hivyo, naelewa baadhi ya sababu za matusi haya na watu kuyachukulia kirahisi.
Pole mkuu ila hapa sikutaja jina la nchi
 
Back
Top Bottom