Miaka 30 ni mingi sana lazima kesi zitaishia Polisi

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Feb 9, 2019
859
1,012
Nimemsikia waziri Mkuu akiongea na ma OCD juu ya kesi 50 za wanafunzi kupata mimba kuishia POLISI.

Mawazo yangu juu hali hiyo,

Miaka 30 ni mingi mno. Hivyo hata polisi nae ni binadamu, familia nao huwa na ubinadamu miaka 30 sio kitu rahisi. Ushauri wangu utaratibu ungekuwa kama ifuatavyo:
  • Kutuhumiwa kwa kujihusisha na kutembea na mwanafunzi (kufanya nae mapenzi)@jera miaka 5
  • Kumpa mwanafunzi ujauzito Jera mpaka atakapojifungua na kupimwa DNA
  • Kama mtuhumiwa ikigundulika alijihusisha mojakwamoja kwa kumpa mimba mwanafunzi baada ya vipimo hivyo vya DNA basi iwe Jera miaka 10-15 itategemea na tukio lenyewe yaani ubakaji wenyewe.
Maana ukweli ni kuwa kesi nyingi zinaishia polisi sio kwa uzembe wa polisi hapana, mara nyingi huwa na makubaliano ya wazazi wa pande zote mbili mvulana aliyetia mimba na wazazi wa msichana aliyetiwa mimba.

Hata mzazi na hasira kiasi gani linapokuja swala la miaka 30 jera moyo wa kibinadamu huja.
 
Nimemsikia waziri Mkuu akiongea na ma OCD juu ya kesi 50 za wanafunzi kupata mimba kuishia POLISI.

Mawazo yangu juu hali hiyo,

Miaka 30 ni mingi mno. Hivyo hata polisi nae ni binadamu, familia nao huwa na ubinadamu miaka 30 sio kitu rahisi. Ushauri wangu utaratibu ungekuwa kama ifuatavyo:
  • Kutuhumiwa kwa kujihusisha na kutembea na mwanafunzi (kufanya nae mapenzi)@jera miaka 5
  • Kumpa mwanafunzi ujauzito Jera mpaka atakapojifungua na kupimwa DNA
  • Kama mtuhumiwa ikigundulika alijihusisha mojakwamoja kwa kumpa mimba mwanafunzi baada ya vipimo hivyo vya DNA basi iwe Jera miaka 10-15 itategemea na tukio lenyewe yaani ubakaji wenyewe.
Maana ukweli ni kuwa kesi nyingi zinaishia polisi sio kwa uzembe wa polisi hapana, mara nyingi huwa na makubaliano ya wazazi wa pande zote mbili mvulana aliyetia mimba na wazazi wa msichana aliyetiwa mimba.

Hata mzazi na hasira kiasi gani linapokuja swala la miaka 30 jera moyo wa kibinadamu huja.
tena anaona kabsa huyu ndo baba wa mtoto anaenda jela sio kweli aisee japokuwa kuna wazee wenhine wakaksi hatri
 
Nimemsikia waziri Mkuu akiongea na ma OCD juu ya kesi 50 za wanafunzi kupata mimba kuishia POLISI.

Mawazo yangu juu hali hiyo,

Miaka 30 ni mingi mno. Hivyo hata polisi nae ni binadamu, familia nao huwa na ubinadamu miaka 30 sio kitu rahisi. Ushauri wangu utaratibu ungekuwa kama ifuatavyo:
  • Kutuhumiwa kwa kujihusisha na kutembea na mwanafunzi (kufanya nae mapenzi)@jera miaka 5
  • Kumpa mwanafunzi ujauzito Jera mpaka atakapojifungua na kupimwa DNA
  • Kama mtuhumiwa ikigundulika alijihusisha mojakwamoja kwa kumpa mimba mwanafunzi baada ya vipimo hivyo vya DNA basi iwe Jera miaka 10-15 itategemea na tukio lenyewe yaani ubakaji wenyewe.
Maana ukweli ni kuwa kesi nyingi zinaishia polisi sio kwa uzembe wa polisi hapana, mara nyingi huwa na makubaliano ya wazazi wa pande zote mbili mvulana aliyetia mimba na wazazi wa msichana aliyetiwa mimba.

Hata mzazi na hasira kiasi gani linapokuja swala la miaka 30 jera moyo wa kibinadamu huja.
Point. Nionavyo pamoja na nia njema ya kumlinda binti asipewe mimba lakini hiyo adhabu ya miaka 30 ilitungwa kwa mihemko.
 
Mimi nasema waozeshwe na mtaji wapewe na maisha yaende
Ila wa kufungwa maisha na kufia jela PM angekazia kwa majizi ya hela za umma
Mbona hao ndio wabaya zaidi maana wanaiba na wanahonga pia

Sheria za mimba wanatangaza hadharani ila za hongo, rushwa na wizi wanaoneana aibu

Nchi inaendelea kwa kudhibiti majizi sio mimba
 
Nimemsikia waziri Mkuu akiongea na ma OCD juu ya kesi 50 za wanafunzi kupata mimba kuishia POLISI.

Mawazo yangu juu hali hiyo,

Miaka 30 ni mingi mno. Hivyo hata polisi nae ni binadamu, familia nao huwa na ubinadamu miaka 30 sio kitu rahisi. Ushauri wangu utaratibu ungekuwa kama ifuatavyo:
  • Kutuhumiwa kwa kujihusisha na kutembea na mwanafunzi (kufanya nae mapenzi)@jera miaka 5
  • Kumpa mwanafunzi ujauzito Jera mpaka atakapojifungua na kupimwa DNA
  • Kama mtuhumiwa ikigundulika alijihusisha mojakwamoja kwa kumpa mimba mwanafunzi baada ya vipimo hivyo vya DNA basi iwe Jera miaka 10-15 itategemea na tukio lenyewe yaani ubakaji wenyewe.
Maana ukweli ni kuwa kesi nyingi zinaishia polisi sio kwa uzembe wa polisi hapana, mara nyingi huwa na makubaliano ya wazazi wa pande zote mbili mvulana aliyetia mimba na wazazi wa msichana aliyetiwa mimba.

Hata mzazi na hasira kiasi gani linapokuja swala la miaka 30 jera moyo wa kibinadamu huja.
Badala ya kupoteza huo muda wa kutunga sheria za kuwapa wanafunzi mimba, tungetunga kwanza sheria kali za kuwadhibiti wala rushwa wakubwa, mafisadi na wabadhirifu wote wa mali za umma.

Hao ndiyo tungewapeleka sasa huko Jera. Halafu hao wengine wanaowapa mimba wanafunzi, ndiyo wakitiwa hatiani wapelekwe jela. Na siyo kwa kutuhumiwa tu. Maana hakuna sheria ya namna hiyo, popote pale duniani.
 
Point. Nionavyo pamoja na nia njema ya kumlinda binti asipewe mimba lakini hiyo adhabu ya miaka 30 ilitungwa kwa mihemko.
Kabisa mkuu. Haikuwa na nia ya dhati ya kukemea hili swala hakuna mtu wa kuweza kumsweka jirani yake 30 yrs jera kisa mimba.
 
Badala ya kupoteza huo muda wa kutunga sheria za kuwapa wanafunzi mimba, tungetunga kwanza sheria kali za kuwadhibiti wala rushwa wakubwa, mafisadi na wabadhirifu wote wa mali za umma.

Hao ndiyo tungewapeleka sasa huko Jera. Halafu hao wengine wanaowapa mimba wanafunzi, ndiyo wakitiwa hatiani wapelekwe jela. Na siyo kwa kutuhumiwa tu. Maana hakuna sheria ya namna hiyo, popote pale duniani.
Safi kabisa. Maana sheria yetu ipo kwa kutuhumiwa tu miaka 30 jera. Ndio maana nikasema kwanza iwe ya mda mfupi alafu mtoto akizaliwa wapime DNA alafu ndio kifungo japo cha 15 au 10
 
Point. Nionavyo pamoja na nia njema ya kumlinda binti asipewe mimba lakini hiyo adhabu ya miaka 30 ilitungwa kwa mihemko.
Ilihusisha ubakaji. Hivyo watu wanaamini kwa kuwa mwanafunzi ni under age basi hana ridhaa na hivyo anakuwa amebakwa.
 
Kwanza tujiulize Mtunga sheria anaishi wapi? Anamtungia sheria hiyo nani? Mpaka sasa imempata nani?.

1- Mtunga sheria Anaishi mijini, hajui kabisa Maisha ya vijijini ambako umaskini umetopea na elimu ni Duni.

2- sheria hiyo ya miaka 30 moja kwa moja anatungiwa kumlinda mtoto wa jijini, kutoka familia inayojielewa na jamii yake pia.

3- sheria hiyo imewafunga watu wa vijijini ambao wao , mtoto wa kike akikua kipaumbele Chao ni kuozwa tu! Elimu ya jamii ni Duni hawelewi chochote .

Kibinti kinaacha shule, kijana anakitongoza hakina iana, maana kinajiona kimekua !! Wasomi toka mijini wanakuja na magari yao na mikoba yao , wakiwa wamelipwa posho na kutoa visemina vya hapa na pale kisha kuorodhesha mabinti walioacha shule kwa kadhia ya mimba .

Kesi zitafunguliwa na vijana kwenda jela! Na kuzidisha UMASKINI kwa jamii, njooni huku vijijini vibinti kwa vivulana vyenye kustahili kuwa shule, vinazurura tu.

Havina mbele wala nyuma, leteni huku VETA sajilini vijana , sifa Iwe kupenda kujifunza.

Huku ukipita nyumba kwa nyumba vijana wote 30 ni yao.tembea na HAKIMU , POLISI NA MAGEREZA.
 
Watu wanaiba billions huko, hamna sheria za kuwachukulia, hivi vidagaa vinavyofanya ngono ndo mnavikomalia vipigwe mvua 30 behind bars.
Shame
 
Nimemsikia waziri Mkuu akiongea na ma OCD juu ya kesi 50 za wanafunzi kupata mimba kuishia POLISI.

Mawazo yangu juu hali hiyo,

Miaka 30 ni mingi mno. Hivyo hata polisi nae ni binadamu, familia nao huwa na ubinadamu miaka 30 sio kitu rahisi. Ushauri wangu utaratibu ungekuwa kama ifuatavyo:
  • Kutuhumiwa kwa kujihusisha na kutembea na mwanafunzi (kufanya nae mapenzi)@jera miaka 5
  • Kumpa mwanafunzi ujauzito Jera mpaka atakapojifungua na kupimwa DNA
  • Kama mtuhumiwa ikigundulika alijihusisha mojakwamoja kwa kumpa mimba mwanafunzi baada ya vipimo hivyo vya DNA basi iwe Jera miaka 10-15 itategemea na tukio lenyewe yaani ubakaji wenyewe.
Maana ukweli ni kuwa kesi nyingi zinaishia polisi sio kwa uzembe wa polisi hapana, mara nyingi huwa na makubaliano ya wazazi wa pande zote mbili mvulana aliyetia mimba na wazazi wa msichana aliyetiwa mimba.

Hata mzazi na hasira kiasi gani linapokuja swala la miaka 30 jera moyo wa kibinadamu huja.
Mawazo yako ni mazuri tu.Sasa,"jera" ndiyo kitu gani?
 
Mimi nasema waozeshwe na mtaji wapewe na maisha yaende
Ila wa kufungwa maisha na kufia jela PM angekazia kwa majizi ya hela za umma
Mbona hao ndio wabaya zaidi maana wanaiba na wanahonga pia

Sheria za mimba wanatangaza hadharani ila za hongo, rushwa na wizi wanaoneana aibu

Nchi inaendelea kwa kudhibiti majizi sio mimba
Dah Uzi ufungwe hapa
 
Nimemsikia waziri Mkuu akiongea na ma OCD juu ya kesi 50 za wanafunzi kupata mimba kuishia POLISI.

Mawazo yangu juu hali hiyo,

Miaka 30 ni mingi mno. Hivyo hata polisi nae ni binadamu, familia nao huwa na ubinadamu miaka 30 sio kitu rahisi. Ushauri wangu utaratibu ungekuwa kama ifuatavyo:
  • Kutuhumiwa kwa kujihusisha na kutembea na mwanafunzi (kufanya nae mapenzi)@jera miaka 5
  • Kumpa mwanafunzi ujauzito Jera mpaka atakapojifungua na kupimwa DNA
  • Kama mtuhumiwa ikigundulika alijihusisha mojakwamoja kwa kumpa mimba mwanafunzi baada ya vipimo hivyo vya DNA basi iwe Jera miaka 10-15 itategemea na tukio lenyewe yaani ubakaji wenyewe.
Maana ukweli ni kuwa kesi nyingi zinaishia polisi sio kwa uzembe wa polisi hapana, mara nyingi huwa na makubaliano ya wazazi wa pande zote mbili mvulana aliyetia mimba na wazazi wa msichana aliyetiwa mimba.

Hata mzazi na hasira kiasi gani linapokuja swala la miaka 30 jera moyo wa kibinadamu huja.


Wanaofanya hivyo waache, ikithibitika pasi na shaka, wafungwe hata Maisha.
 
Back
Top Bottom