Ilo Action Dully aliuaAction
Hhmmm
Problems
So pwaa
Six in the morning
One of the finest, king wa bongo crank music. Rest In Power champ
🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Ilo Action Dully aliua
Enzi zile skongaaa.. Ndio inaanza na ipo motooo..😂😂😂😂Alitushika mno jamaa, alitupa maujanja mengi.
Mzee uwe unasoma comments kwanza ili usitoke nje ya mstari alieimba Muziki na Maisha ni huyu ameimba I don't care
Huyu ndio ameimba ule wimbo wa maisha na muziki wacha maneno leta muziki?
Jamaniiii...mda Sanaa!!!Kumbe alishakufa huyu jamaa
Daaaah umenikumbusha mbali Allan Lucky, nilikuwa namuona ana akili balaaaaEnzi zile skongaaa.. Ndio inaanza na ipo motooo..😂😂😂😂
Problems ndio ngoma nayoikubali zaidi kutoka kwake. Kuanzia beat ile ta crank kutoka ka lucci, flow, style hata kwa wakati huo ile video ya Adam.View attachment 2874344
Leo Januari 17, 2024 imetimia miaka 3 tangu kutokea kwa kifo cha Rapa Ilunga Khalifa maarufu kama CP aka Crazy Power a.k.a CPWAA au Mfalme wa Bongo Crunk aliyefariki Januari 17, 2021
Wakati wa uhai wake, CPWAA alifanya vizuri na ngoma nyingi zikiwemo 6 In The Morning, Problem, Pwaa na Action. Pia, alikuwa mmoja kati ya Wasanii waliounda kundi la Park Lane akiwa na Suma Lee ambaye kwasasa ameachana na Muziki
Unamkumbuka kwa ngoma gani mkali huyu wa Bongo Flava?
Soma TANZIA - Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili
Ndio huyo huyo badae akatoa ngoma inaitwa hakunaga.
Huyu ndio ameimba ule wimbo wa maisha na muziki wacha maneno leta muziki?
Bongo crank ndo mziki gan?Action
Hhmmm
Problems
So pwaa
Six in the morning
One of the finest, king wa bongo crank music. Rest In Power champ
🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Hapana bwana Huyu ni dizasta ft. Godzilla
Huyu ndio ameimba ule wimbo wa maisha na muziki wacha maneno leta muziki?
jamaa pengolake mpaka sasa halijazibika kitambo sana jamaa ngoma zake zilishaanza kupigwa kwenye Tv kubwa ulimwenguni jamaa angekuwepo mpaka leo bongo Crunk ingekuwa mbali sana kimataifaView attachment 2874344
Leo Januari 17, 2024 imetimia miaka 3 tangu kutokea kwa kifo cha Rapa Ilunga Khalifa maarufu kama CP aka Crazy Power a.k.a CPWAA au Mfalme wa Bongo Crunk aliyefariki Januari 17, 2021
Wakati wa uhai wake, CPWAA alifanya vizuri na ngoma nyingi zikiwemo 6 In The Morning, Problem, Pwaa na Action. Pia, alikuwa mmoja kati ya Wasanii waliounda kundi la Park Lane akiwa na Suma Lee ambaye kwasasa ameachana na Muziki
Unamkumbuka kwa ngoma gani mkali huyu wa Bongo Flava?
Soma TANZIA - Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili