Unapoangalia sana watu wa chini yako (masikini zaidi yako) hua ni rahisi sana kunyanyua mikono na kumshukuru Mungu kwa neema na baraka alizokupatia.Nahuzunika kwa hili
Sawa mkuuAvatar inasema ivoivo, huamini kaa mbali
Kwa presha hii ya kuangalia maisha ya majirani hiyo 'kudinda' atasikilizia kwa mabaharia tu.Focus on what you have.
Uhai, afya njema...family, friends.
Hata ukidinda fresh Ni Jambo la kushkuru pia.
Mengine tia bidii, focus on your realistic goals Mungu atayaleta tu.
pole sana,mwalimu kuna,mwalimu namfaham anamiaka.11kazini anakitanda na godoro tuNiko idara ya elimu, salarry ni below 1m, bajeti ni zaidi ya 350k kwa mwezi
Mwenzako naumia sana, huku umri ukisonga
Ama kwa George FloydKwa presha hii ya kuangalia maisha ya majirani hiyo 'kudinda' atasikilizia kwa mabaharia tu.
K,ila wivu wakimaendeleo unafaa mkuuKosa kubwa sana kwenye maisha kushindana au kujilinganisha na yyte, run your own race...kila mtu hubarikiwa kwa wakati..nilipata pesa za kutosha at your age, hamna la maana nlifanya, lakin nlipofoka 39 na kupata ndio nimepiga hatua. Subiri muda wako, na usishindane na mtu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo Hapa silk tuongee vizuri sasaSimiyu ni mkoa, je ni bariadi ama? , Mm mwenyewe niko simiyu
Nimetoka hapo silk muda siyo mrefu[emoji4][emoji4],kwema mkuu??Njoo Hapa silk tuongee vizuri sasa
Uko lindi auNajichanga niingie kilimo cha ufuta