Du kwenye ulimwengu huu kuna kiwanja cha laki tatu kweli au umemaanisha m.3Una 300,000 Hapo nikuuzie kiwanja?
Niko idara ya elimu, salarry ni below 1m, bajeti ni zaidi ya 350k kwa mweziUnajishughulisha na kitu gani?
Kipato chako kwa mwezi kinafikia kiasi gani?
Matumizi yako yakoje? Unahisi kwamba unatumia vibaya ndio maana umeshindwa kumiliki hivyo vitu au ni kwamba kipato chako ndio hakikuruhusu kumiliki hivyo vitu?
Unganisheni nguvu mpambane yote unayotamani mtayapata mkiwa wamoja. Vile vile jengeni urafiki na familia zenye mafanikio zaidi yenu ili muige maendeleo yao badala ya kuchangamana na mlio sawa au mliowazidi kiuchumi kwani mtakuwa mnajazana ujinga tuu mara mwenye ghorofa lile ni FREEMASON mara mwenye ile gari kaiba nkMke ninaye, naishi kota
Nahisi matumizi yangu ni mabaya sana, afu wapo wadogo zangu wananitegemea, kwahiyo unajikuta salarry inaishia hewani tu.Unajishughulisha na kitu gani?
Kipato chako kwa mwezi kinafikia kiasi gani?
Matumizi yako yakoje? Unahisi kwamba unatumia vibaya ndio maana umeshindwa kumiliki hivyo vitu au ni kwamba kipato chako ndio hakikuruhusu kumiliki hivyo vitu?
Hakuna mwenzako katika maisha wangekuwa wenzako mngekuwa sawaWenzangu wamepiga hatua ndefu sana mkuu
Ujue kufanya comparison inakusaidia na wewe kufight zaidi, wote wako haiMkuu. Mi nagonga 70 Julai na sina kitu wewe 28 ndiyo unapaniki. Tulia maisha ndo yanaanza !!!
Pia epuka sana dhambi ya kujilinganisha na wengine kwa sababu hata ufanyeje kuna watu ambao watakuzidi tu. Keep your pace, muombe Mungu na makinikia sana malengo yako uliyojiwekea huku ukirekebisha mapato na matumizi yako na kuchakarika huku na huko.
Na pia kumbuka kwamba kati ya wenzio hao unaowarejelea naamini kuna wengine tayari wameshatangulia mbele ya haki. Ile kuwa hai bado ni mibaraka tosha
Kama uko elimu na una shahada Ina maana salary yako ni kuanzia 700k+ unaweza fanya makubwa boss hofu yako tu ishinde.Niko idara ya elimu, salarry ni below 1m, bajeti ni zaidi ya 350k kwa mwezi
Laki tatu tuDu kwenye ulimwengu huu kuna kiwanja cha laki tatu kweli au umemaanisha m.3
Mkuu wapi? Kama uko serious njoo PMLaki tatu tu
Mungu katuambia tutafute sana kama tutaishi milele, na tufanye ibada zaidi kama tunakufa keshoUsiwe na wasi. Nina miaka 50 lakini sina chochote. Umeona watu wengi tu wakizikwa mwaka huu. Je, yupo alizikwa na pesa na nyumba? Haya mambo ya duniani ni ubatili tu (vanity).
Nahisi matumizi yangu ni mabaya sana, afu wapo wadogo zangu wananitegemea, kwahiyo unajikuta salarry inaishia hewani tu.