dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,305
- 5,837
Husika na kichwa cha habari tajwa.
Mimi ni kijana, mwenye umri wa miaka 28 , roho inaniuma kuona similiki nyumba wala gari, kila nikiingia JF nahuzunika kuona majamaa yalivotusua in life.
Mara nina nyumba 3, huyu 5, mara nina gari 4, huku mimi nikijiona mnyonge kweli kweli.
Nimwajiriwa wa serikali, kilichonigharimu nimewahi kupokea ndugu sana kabla sijajipanga vizuri. Kila nilkijiitahidi kumeki lakini wapi.
Nipeni maujanja ili nami nitusue kimaisha. Mamake wenzangu tuloanza nao katika ukuaji ama kuajiriwa, wako mbali mno kimaisha.
Mimi ni kijana, mwenye umri wa miaka 28 , roho inaniuma kuona similiki nyumba wala gari, kila nikiingia JF nahuzunika kuona majamaa yalivotusua in life.
Mara nina nyumba 3, huyu 5, mara nina gari 4, huku mimi nikijiona mnyonge kweli kweli.
Nimwajiriwa wa serikali, kilichonigharimu nimewahi kupokea ndugu sana kabla sijajipanga vizuri. Kila nilkijiitahidi kumeki lakini wapi.
Nipeni maujanja ili nami nitusue kimaisha. Mamake wenzangu tuloanza nao katika ukuaji ama kuajiriwa, wako mbali mno kimaisha.