dumbi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2018
- 988
- 1,545
[emoji2] [emoji2] [emoji2] we acha tu[emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana
[emoji2] [emoji2] [emoji2] we acha tu[emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana
Wadogo zako wasiwe kisingizio...wadogo zako wasaidie hata ukilala njaaa...hao ni ndugu zako.Nahisi matumizi yangu ni mabaya sana, afu wapo wadogo zangu wananitegemea, kwahiyo unajikuta salarry inaishia hewani tu.
Sishangai kwanini unateseka na maisha , kwa hii misimamo yako utateseka Sana hata ukiwa na milion 700.Mungu katuambia tutafute sana kama tutaishi milele, na tufanye ibada zaidi kama tunakufa kesho
Lilianziaga kwenye michezo ya kombolelaHivi, mkuu ulijifikiria nini kujipa hiyo username[emoji2][emoji848]
Wapo naishi nao hapa, ni wapwa wangu kwahiyo bajeti ya hawa ni daily, ndo wananiumizaUnajua hatua za kuanza kuwa na nyumba? Tafuta kiwanja, mdogo mdogo anza kujenga. Acha kulalama bila sababu ya msingi. Kusaidia ndugu kunapita, na saidia kwa kadiri ya uwezo wako sio kumsaidia mpaka unakosa kujiwekea akiba na uwekezaji.
Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
Najichanga niingie kilimo cha ufutaWadogo zako wasiwe kisingizio...wadogo zako wasaidie hata ukilala njaaa...hao ni ndugu zako.
Pambana jinsi ya kuongeza kipato, angalia biashara nyingine nje ya Mshahara. Unaweza kukopa pia hata kama Dini hairuhusu riba...ila kuna Bank zenye style inayoendana na imani, NBC nahisi inaweza kuwa moja wapo.
Pia jaribu kununua vitu/Matumizi ya nyumbani kwa mkupuo.
ThanksMuda mwingine kwenye maisha kila mtu na njia anayopitia, na wala usiangalie mwenzio kafanya nini kwenye maisha bali angalia wewe maisha yako yanaendaje. Wakati wewe una 28 unalalamika hebu pata picha kidogo. "Obama alikuwa rais wa Marekani akiwa na miaka 40 na kumaliza muda wake akiwa na miaka 48 wakati huo huo Trump amekuwa rais wa Marekani akiwa na miaka 72." "Don't panic or blame yourself for not having something in your life but work hard, be humble stay true because God is the planner of everything in our life and also you will never understand Gods plan on you"
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Nimependa sana ushauri wako.AhsanteRelax.... God's timing is the best... shukuru kwa hapo alipokufikisha ongeza bidii na juhudi atainyoosha njia yako utafika kule unapotamani
kuna watu wana 40 yrs na hawana hata uwezo wa kulipa kodi [emoji22]
Good.Najichanga niingie kilimo cha ufuta