Miaka 28 sina nyumba wala gari, roho inaniuma

Miaka 28 sina nyumba wala gari, roho inaniuma

Tatizo masikini wengi kiukweli HAWAPAMBANI kama wanavyofanya watu wenye maisha ya kati na mazuri!
Kiuhalisia masikini anatakiwa kufight zaidi sio kulialia.
KOMAA zaidi ya hapo na maendeleo yataonekana.
 
Umri bado shukuru una ajira mwenzio iyo ajira naitafuta kwa tochi na namba zishasoma zaid ya iyo 28 nkikaa na kufikilia kuwa nmepoteza najiona bado nafasi zipo na nkimuangalia mtoto wangu anafurah anaenda choon najiona nami ni miongon mwa waliofanikiwa japo kwa nyanja tofauti ila nn maisha bila changamoto kama izo ni kama supu bila ndimu na pilipili ainogi
Pole
 
Cha kwanza na cha msingi wema usizidi uwezo.

Jaribu kubana matumizi kwa kufanya yale matumizi ya msingi, Halafu kwa kipato hicho inahitaji kujidunduliza kwa muda ili uweze kufikia hayo malengo. Cha kufanya anza kuweka akiba kidogo kidogo na ukifika kiwango fulani unaweza kuongezea kwa kuchukua mkopo na kufanya hayo malengo. Naamini unakopesheka kwa kuwa ni mtumishi.

Pia unaweza kuanzisha biashara kwa mtaji mdogo kulingana na mazingira uliyopo na uhitaji wa mzunguko wa biashara husika. Kipato hicho cha ziada kitakusaidia kwa hayo majukumu ya kuwasaidia ndugu zako.
Hapa nafikiria kudunduliza, afu niingie kwenye kilimo cha ufuta.

Mungu huenda akaniinua
 
Mwajiriwa unalalamika kuna wenye miaka hiyo hawana ajira wala biashara, wapo kwao wanabangaiza,

Jitume ushajua wapi umekosea basi rekebisha baada ya miaka miwili uje na mrejesho.
 
Never lose hope you never know what tomorrow may bring.... nilipokua na miaka 26 baada ya kumaliza chuo kikuu nilikua sina chochote zaidi ya begi langu la nguo. Two years later nikiwa na miaka 28 nilipata dili moja matata sana kazini nikapata kila kitu nilichokihitaji kuanzia nyumba ya maana sana, gari na mke na mtoto juu. Hii ina maana kwamba huwezi kujua kesho yako so kukata tamaa ni dhambi kubwa sana .

Kaka angu mkubwa amepata kazi yake ya kwanza akiwa na miaka 35 baada ya kusota karibu miaka 10 bila kazi. Kazi yenyewe ya mshahara wa laki 4 as gross ila hakukata taa, amekuja kushika pesa za ajabu akiwa na miaka karibu 45. Kwa sasa ni tajiri mkubwa sana kutoa misaa ya million 5 hadi 10 kwenye familia sio kitu cha ajabu kwakwe.

So please never lose hope, you never know what tomorrow may bring.

By the way, in order to be the best you need to survive the worst.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Great thanks
 
Never lose hope you never know what tomorrow may bring.... nilipokua na miaka 26 baada ya kumaliza chuo kikuu nilikua sina chochote zaidi ya begi langu la nguo. Two years later nikiwa na miaka 28 nilipata dili moja matata sana kazini nikapata kila kitu nilichokihitaji kuanzia nyumba ya maana sana, gari na mke na mtoto juu. Hii ina maana kwamba huwezi kujua kesho yako so kukata tamaa ni dhambi kubwa sana .

Kaka angu mkubwa amepata kazi yake ya kwanza akiwa na miaka 35 baada ya kusota karibu miaka 10 bila kazi. Kazi yenyewe ya mshahara wa laki 4 as gross ila hakukata taa, amekuja kushika pesa za ajabu akiwa na miaka karibu 45. Kwa sasa ni tajiri mkubwa sana kutoa misaa ya million 5 hadi 10 kwenye familia sio kitu cha ajabu kwakwe.

So please never lose hope, you never know what tomorrow may bring.

By the way, in order to be the best you need to survive the worst.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Great thanks
 
Never lose hope you never know what tomorrow may bring.... nilipokua na miaka 26 baada ya kumaliza chuo kikuu nilikua sina chochote zaidi ya begi langu la nguo. Two years later nikiwa na miaka 28 nilipata dili moja matata sana kazini nikapata kila kitu nilichokihitaji kuanzia nyumba ya maana sana, gari na mke na mtoto juu. Hii ina maana kwamba huwezi kujua kesho yako so kukata tamaa ni dhambi kubwa sana .

Kaka angu mkubwa amepata kazi yake ya kwanza akiwa na miaka 35 baada ya kusota karibu miaka 10 bila kazi. Kazi yenyewe ya mshahara wa laki 4 as gross ila hakukata taa, amekuja kushika pesa za ajabu akiwa na miaka karibu 45. Kwa sasa ni tajiri mkubwa sana kutoa misaa ya million 5 hadi 10 kwenye familia sio kitu cha ajabu kwakwe.

So please never lose hope, you never know what tomorrow may bring.

By the way, in order to be the best you need to survive the worst.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Great thanks
 
Maisha ya mtandaoni hakuna tofauti na maisha ya tamthilia au movies.
 
Relax!! Cha muhimu uhai! Kujenga ni siku yoyote ukijaaliwa.

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Unajua hatua za kuanza kuwa na nyumba? Tafuta kiwanja, mdogo mdogo anza kujenga. Acha kulalama bila sababu ya msingi. Kusaidia ndugu kunapita, na saidia kwa kadiri ya uwezo wako sio kumsaidia mpaka unakosa kujiwekea akiba na uwekezaji.
 
Back
Top Bottom