Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,083
Nina watoto 4.
Nina mke na mtoto 1
Nina mke na mtoto 1
Ahaa sawa kaka ni muhimu sana kuzingatia imani yako.Tatizo dini yangu imekataza riba, napenda kweli pesa nyingi ili nifanyie jambo fulani
Hapana, nikipanga naona nitaishi nyumba nzuri zaidi kuliko nikijenga.Ww hufikirii kuwa na nyumba?
PoleUmri bado shukuru una ajira mwenzio iyo ajira naitafuta kwa tochi na namba zishasoma zaid ya iyo 28 nkikaa na kufikilia kuwa nmepoteza najiona bado nafasi zipo na nkimuangalia mtoto wangu anafurah anaenda choon najiona nami ni miongon mwa waliofanikiwa japo kwa nyanja tofauti ila nn maisha bila changamoto kama izo ni kama supu bila ndimu na pilipili ainogi
Hivi, mkuu ulijifikiria nini kujipa hiyo username😃🤔Ahaa sawa kaka ni muhimu sana kuzingatia imani yako.
Hapa nafikiria kudunduliza, afu niingie kwenye kilimo cha ufuta.Cha kwanza na cha msingi wema usizidi uwezo.
Jaribu kubana matumizi kwa kufanya yale matumizi ya msingi, Halafu kwa kipato hicho inahitaji kujidunduliza kwa muda ili uweze kufikia hayo malengo. Cha kufanya anza kuweka akiba kidogo kidogo na ukifika kiwango fulani unaweza kuongezea kwa kuchukua mkopo na kufanya hayo malengo. Naamini unakopesheka kwa kuwa ni mtumishi.
Pia unaweza kuanzisha biashara kwa mtaji mdogo kulingana na mazingira uliyopo na uhitaji wa mzunguko wa biashara husika. Kipato hicho cha ziada kitakusaidia kwa hayo majukumu ya kuwasaidia ndugu zako.
Great thanksNever lose hope you never know what tomorrow may bring.... nilipokua na miaka 26 baada ya kumaliza chuo kikuu nilikua sina chochote zaidi ya begi langu la nguo. Two years later nikiwa na miaka 28 nilipata dili moja matata sana kazini nikapata kila kitu nilichokihitaji kuanzia nyumba ya maana sana, gari na mke na mtoto juu. Hii ina maana kwamba huwezi kujua kesho yako so kukata tamaa ni dhambi kubwa sana .
Kaka angu mkubwa amepata kazi yake ya kwanza akiwa na miaka 35 baada ya kusota karibu miaka 10 bila kazi. Kazi yenyewe ya mshahara wa laki 4 as gross ila hakukata taa, amekuja kushika pesa za ajabu akiwa na miaka karibu 45. Kwa sasa ni tajiri mkubwa sana kutoa misaa ya million 5 hadi 10 kwenye familia sio kitu cha ajabu kwakwe.
So please never lose hope, you never know what tomorrow may bring.
By the way, in order to be the best you need to survive the worst.
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Great thanksNever lose hope you never know what tomorrow may bring.... nilipokua na miaka 26 baada ya kumaliza chuo kikuu nilikua sina chochote zaidi ya begi langu la nguo. Two years later nikiwa na miaka 28 nilipata dili moja matata sana kazini nikapata kila kitu nilichokihitaji kuanzia nyumba ya maana sana, gari na mke na mtoto juu. Hii ina maana kwamba huwezi kujua kesho yako so kukata tamaa ni dhambi kubwa sana .
Kaka angu mkubwa amepata kazi yake ya kwanza akiwa na miaka 35 baada ya kusota karibu miaka 10 bila kazi. Kazi yenyewe ya mshahara wa laki 4 as gross ila hakukata taa, amekuja kushika pesa za ajabu akiwa na miaka karibu 45. Kwa sasa ni tajiri mkubwa sana kutoa misaa ya million 5 hadi 10 kwenye familia sio kitu cha ajabu kwakwe.
So please never lose hope, you never know what tomorrow may bring.
By the way, in order to be the best you need to survive the worst.
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Great thanksNever lose hope you never know what tomorrow may bring.... nilipokua na miaka 26 baada ya kumaliza chuo kikuu nilikua sina chochote zaidi ya begi langu la nguo. Two years later nikiwa na miaka 28 nilipata dili moja matata sana kazini nikapata kila kitu nilichokihitaji kuanzia nyumba ya maana sana, gari na mke na mtoto juu. Hii ina maana kwamba huwezi kujua kesho yako so kukata tamaa ni dhambi kubwa sana .
Kaka angu mkubwa amepata kazi yake ya kwanza akiwa na miaka 35 baada ya kusota karibu miaka 10 bila kazi. Kazi yenyewe ya mshahara wa laki 4 as gross ila hakukata taa, amekuja kushika pesa za ajabu akiwa na miaka karibu 45. Kwa sasa ni tajiri mkubwa sana kutoa misaa ya million 5 hadi 10 kwenye familia sio kitu cha ajabu kwakwe.
So please never lose hope, you never know what tomorrow may bring.
By the way, in order to be the best you need to survive the worst.
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sanaMkuu humu kuna watu wanapiga mpaka bao 8 tena wanatumia dk45 hawajakojoa kwaiyo ukiskiliza ya humu unaweza kujiona hata nguvu za kiume huna,sembuse nyumba na magar
JF mku ina member wajinga now days! Sema uzuri ni kwamba hii ni platform tunajifunza bila Ku mja dge mtu pasenalityUSHAURI: Nina miaka 40 sina familia, nyumba, kiwanja /shamba wala mradi wowote japo nimeajiriwa Serikalini
Cheki story ya huyo jamaa[emoji115][emoji115][emoji115]