HahahahahahhSitashangaa kuona kesho mleta uzi akitamba kwenye thread nyingine jinsi alivyotoboa kimaisha kabla hata hajafikisha 20 years.
Jf ina visanga vingi sana naupa muda nafasi.
Nimependa Sana ulivyoandika ubalikiwePole. Yakupasa uelewe kwamba hata vidole huwa havilingani.
Hivyo Jikune sehemu mkono wako unafika mana ukiendelea kuumiza kichwa mwishowe utajikuta unafanya kazi za haramu ilimradi nawe uwe na majumba.
Shukuru Mungu kwa hiki ulichonacho, tena una kazi serikalini, angalau una jua mwisho wa mwezi una kitu unaingiza. Bado una nafasi ya kusimama tena nakuanza upya, ukafanikiwa. Jipange upya na ongeza nguvu ya mafanikio. Mana kuna wenzio wana miaka 30 mpk ss hawana ajira na wala hawaingizi kitu mwisho wa mwezi. Shukuru Mungu una uwezo wa kuanza tena mkuu. Mungu atakupigania.
The Most Winner
Nkololo huku, Simiyu moja, karibu na Igaganulwa..Vijijini, wilaya gani.
Ni mjini kabisaItakuwa kijijini
ThanksKama uko elimu na una shahada Ina maana salary yako ni kuanzia 700k+ unaweza fanya makubwa boss hofu yako tu ishinde.
Usiishi kwa hofu kwa kuangalia maisha ya watu hata Mimi hiyo hali ilinipelekesha sana.
Hiyo "fear oc failure" uliyo nayo ni mbaya na itakuangamiza zaidi kuliko maisha unayoishi