Miaka 28 sina nyumba wala gari, roho inaniuma

Miaka 28 sina nyumba wala gari, roho inaniuma

Relax.... God's timing is the best... shukuru kwa hapo alipokufikisha ongeza bidii na juhudi atainyoosha njia yako utafika kule unapotamani

kuna watu wana 40 yrs na hawana hata uwezo wa kulipa kodi [emoji22]
Good ushauri
 
Focus on what you have.

Uhai, afya njema...family, friends.

Hata ukidinda fresh Ni Jambo la kushkuru pia.

Mengine tia bidii, focus on your realistic goals Mungu atayaleta tu.
Thanks
 
Hapo ukitaka kujichimbia kaburi, OA sasa na uwe na familia yani unajizika mzima mzima huo, ila JF pia isikuogopesha humu kuna Ma bazazi kibao kwenye nyuzi wakijitamba tamba ili kunasa mbebezi
 
Wala tu usijali haujachelewa tena upo pazuri endelea kupambana na kuongeza juhudi. Kuna wenzako umri huo hata uhakika wa kipato hawana. Be grateful of what you have na jitume zaidi
 
Hapo ukitaka kujichimbia kaburi, OA sasa na uwe na familia yani unajizika mzima mzima huo, ila JF pia isikuogopesha humu kuna Ma bazazi kibao kwenye nyuzi wakijitamba tamba ili kunasa mbebezi
Sure mkuu!
Fikiria kwa hali hiyo aliyonayo mara mtoto amaumwa, mara mama mkwe kaja, mara dogo kaja, mara hivi,
Yani kwa staili hiyo sahau kusave na kuwa na maendeleo
 
Ukifika kati ya 45 mpaka 50 bado umepanga na unapuyanga kwa miguu una haki ya kulalama lakini kwa umri wa 28 yrs unatakiwa ulalamike kwa kutokuwa na mchumba lakini si nyumba au gari dimaa
Mke ninaye, naishi kota
 
Back
Top Bottom