Kwa mwanaume ni jambo tu la kawaida mbona? We ongeza wengine watano maana ndio unatanua ukoo mkuunina miaka 26 alafu nina watoto wa5 kila mtoto na mama ake hapa najuta natamani ningekuwa sina mtoto hata mmoja
Kwani we huliDuuh mkuu mimi hohehahe sina Ajira nitazaaje
Nakula Mkuu lakini sijitegemeiKwani we huli
Na kama una miaka 27 na bado unategemea wazazi basi jichunguzeNakula Mkuu lakini sijitegemei
Sina 27 mkuu nahangaika kwanza mambo yakae sawaNa kama una miaka 27 na bado unategemea wazazi basi jichunguze
Jilipue mkuu mambo mengine yatajipa mbele kwa mbeleSina 27 mkuu nahangaika kwanza mambo yakae sawa
Mkuu yani 40 ukatafute first born?Hahahhaaaaa! Thread zingine bhanaa...
Wengine hapa watapata head-ache...
Ishi kama wewe! Ishi wewe! Mwenzako akizaa ana miaka 18 sio na wewe uige...! Muda wako ukifika hata kama ni 40 utazaa tuu...!
No formula!
Kwani lazima?Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.
Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako.
Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza![]()
![]()
![]()
Tatizo lenu mnacomplicate sana na ndio maana mnashindwa kuzaa mapemahuyu arifu vipi? unataka upate chalii hata bado hujamwekea mazingira yakumpokea sio...
Inawezeka ndio,kuna watu wana watoto watatu na wanakaa single room,usikuze mambo wewe,utazeekahapana asa unaanza kupata watoto nawewe umepanga single room vp inapenya akilini brother iyo ishu