juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,475
- Thread starter
- #141
Kweli kabisa aisee,yaani ukizaa bado kijana kwanza ni rahisi kumcontrol mtoto kabisa na pia inapendeza sanaNi kweli kabisa mleta mada unachozungumza.Afadhali mimi nilipata mtoto nikiwa na 20 yrs.Nikitembea na mwanangu watu huwa wanadhani ni mdogo wangu ukizingatia tunafanana sana.Inaleta raha sana kuwa na mtoto ukiwa kijana mbichi.