Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

Ni kweli kabisa mleta mada unachozungumza.Afadhali mimi nilipata mtoto nikiwa na 20 yrs.Nikitembea na mwanangu watu huwa wanadhani ni mdogo wangu ukizingatia tunafanana sana.Inaleta raha sana kuwa na mtoto ukiwa kijana mbichi.
Kweli kabisa aisee,yaani ukizaa bado kijana kwanza ni rahisi kumcontrol mtoto kabisa na pia inapendeza sana
 
Unapotosha wenzako,km huna mwelekeo mzuri wa maisha utalazimisha kuzaa eti kisa ni umri? Kwanza kuzaa mtoto usiyeweza kumtunza pia ni dhambi.
 
Kwani mkuu ni matajiri wangapi wana watoto na watoto wao ni mateja?? Mateja,mashoga,Malaysia haijalishi ni familia gani wanatoka,acha uoga wa maisha zaa wewe
Mkuu siyo kwamba napinga watu kuzaa. Wazae kadiri wanatakavyoona inafaa, wasiwe wanatishwa kwa factor yoyote ile.
 
Wewe una miaka mingapi? Na una watoto wangapi....?
 
Unapotosha wenzako,km huna mwelekeo mzuri wa maisha utalazimisha kuzaa eti kisa ni umri? Kwanza kuzaa mtoto usiyeweza kumtunza pia ni dhambi.
Acha nikueleze jambo,,kwani mtoto anakula mamilioni ya fedha?? Kutomlea mtoto ni upuuzi na uamuzi tu wa mtu,ila ukiamua wala hahitaji nguvu,,watu wengi mnacompricate ndio maana mnaogopa,mtoto anahitaji kuvaa,kula,kulala pazuri,kusoma vizuri basi,hivyo ni vitu ambavyo mtu unaweza kumudu kabisa
 
Ndio sijalazimisha kusoma nyuzi zako,ila na mimi ndio nakwambia uwe japo unatafakari kidogo unapotaka kuandika jambo lolote
Wewe ni Great thinker mjomba.think twice
Acha maneno mengi wewe,zaa acha uoga wa maisha na kukwepa majukumu bob
 
Mimi ninao watatu mkuu wa mama tofauti na ninawalea wote bila chenga,wote wana miaka 10 na mimi nina miaka 30
Hongera mkuu...bila shaka ulitungisha ukiwa shule!, maana age ya 20 hivi ni kutafuna tu....malezi ndio wengi wanakimbia mkuu!!
 
Hongera mkuu...bila shaka ulitungisha ukiwa shule!, maana age ya 20 hivi ni kutafuna tu....malezi ndio wengi wanakimbia mkuu!!
Mi nilivomaliza tu shule niliweka mambo yangu, watoto wangu wanajisikia raha sana nikiwa nao maana wana baba kijana,
 
Kama unachosema ni sahihi basi wengi tupo pabaya kwa kweli.

Nchi za wenzetu walioendelea hua wanasema "Bila tafiti hakuna ruhusa ya kuzungumza"

Sina shaka kama hujafanya tafiti ya ulichozungumza. Shaka yangu ni moja tuu, Je, umefanya tafiti ya hicho ulichosema ????
Na je wale waliopata watoto wao wakiwa na zaidi ya miaka 27 inakuaje ??
Mh.Reginald Mengi amepata watoto mapacha akiwa na 50 yrs plus,
Ndugu zetu wa mitaani waliochelewa kupata watoto baada ya ndoa nao vipi ??
Waliooana mapema ktk ujana wao angali na miaka 24-25 tu lakini hawakupata watoto ndani ya ndoa kwa zaidi ya miaka mitatu mpaka mitano Je ??
Wasomi wengi huchelewa kuoa, wengi wao huoa na umri wa miaka 30, lakini hakuna tafiti inayooanisha mojakwamoja kati ya wasomi na ukosefu wa watoto. Je ??

Tunahitaji tafiti madhubuti kabla ya kuamini falsafa yako hii, vinginevyo tunaomba mtizamo wa kitaalamu wa wataalam wa Afya ktk hili.
umemuuliza maswali nna uhakika akiyasoma atajisikia vby sana.atajiona kumbe ni mwepesi kiasi gani
 
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.

Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako.

Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza

Kuzaa hakuna formula
Abraham alimpata Isaacs akiwa mzee
Mzee Mengi bado anatotoa in his 70s
Janet Jackson nae she's pregnant at 49!
Donald Trump bado nae anaendeleza libeneke
 
Tatizo maisha magumu mkuu. Mimi nilikua tayari kuzaa hata nikiwa na miaka 18 ili niwakuze wanangu nikiwa bado kijana. Maisha yamefanya watu tumegonga miaka 38 bila mke wala mtoto.
Wewe 38 sasa ni jipu.
 
Mnaoogopa majukumu mnajulikana tuu,we unazani miaka 40 uzae utakuwa na nguvu ya kulea?? Inatakiwa hapo ndio uanze kulelewa na watoto,
UNAJUA UNAPOTOA POST KWANZA TUNAANGALIA MTAZAMO WA MTOA POST KWA MAANA UMEITOA POST YAKO KWA MLENGO UPI NA KWA NAMNA IPI, CHANYA AU HASI, NA UKIJARIBU KUPITIA POST YAKO INAGUNDULIKA WAZI WEW UPO KATIKA MTAZAMO MMOJA BILA KUANGALIA UPANDE MWINGINE UKOJE AU UNASEMAJE
 
Ngoja kwanza nikadunge ka binti ka shule mimba!
 
Kuzaa hakuna formula
Abraham alimpata Isaacs akiwa mzee
Mzee Mengi bado anatotoa in his 70s
Janet Jackson nae she's pregnant at 49!
Donald Trump bado nae anaendeleza libeneke
Kwa hiyo wewe unakalili hao watu? Wewe ulimuona huyo ibrahim? Na huyo mengi na trump je first born wao unajua waliwapata wakiwa na umri gani? We jifariji
 
Back
Top Bottom